Poor Brain
JF-Expert Member
- Jul 5, 2019
- 19,644
- 40,546
- Thread starter
- #141
Haya yote umetaka ww unaona kwenye hii kesi adi shangazi dorry anahusishwa😂
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Haya yote umetaka ww unaona kwenye hii kesi adi shangazi dorry anahusishwa😂
Wenzio walijaribu wakaishiwa kupostiwa na mishumaa muulize Intelligent businessman atakuambia vizuriNakupa onyo mkuu ulifika mombasa tuu jua tayar nishakudaka sasa hapo ndo utajua hujui na uzi utakuja kuandika hapa """ Numevamiwa na jamaa wa jamii forum kwa kumchukulia poa"""
Wewe ...Kumbe una experience navyo...jamani huyu anatuchora 🤣🤣🤣
Si ni mtam lazima ahusishweHaya yote umetaka ww unaona kwenye hii kesi adi shangazi dorry anahusishwa
Mzaniaye siye...ICBM zinatestiwa dogo 🤣🤣Dorry muache hausiki kabisa labda huyu single maza..
Kwanza dorry yeye nachokosana nae ni kunywa pombe tuu mkuu ila vingine vyote yupo sawa
Intell nilimchakaza juzi kati hapo 😄 😄 😄Wenzio walijaribu wakaishiwa kupostiwa na mishumaa muulize Intelligent businessman atakuambia vizuri
Dorry awezi fanya hvo..Mzaniaye siye...ICBM zinatestiwa dogo 🤣🤣
🎤 Kwako Poor Ubongo
Acha kumtamani..Si ni mtam lazima ahusishwe
Mmmmh nakula single maza mkuu sio wake za watu ahahahKama unapiga ke za watu basi shida ni hiyo tuma advansi dawa zipo
Huyo jamaa yako amesoma Medicine chuo kipi?Kuna jamaa angu anasoma medicine nimemtumia kasema eti nikimeze tena huwenda ni kongosho et
Haha hao wote wakija watanyooka kama ruler " aaachtung" "Heil Bonjov" 🤣🤣Wewe ...
Alafu wewe kuna watu takutafutia wakudhibiti maana nakuona tu una ka ukorofi ndani yako
Hapa kampala gongo la mbotoHuyo jamaa yako amesoma Medicine chuo kipi?
Watu wanatokea jukwaa la siasa huko we jitoe akili 😄😄😄😄Haha hao wote wakija watanyooka kama ruler " aaachtung" "Heil Bonjov" 🤣🤣
Majibu yake reference zitakuwa zile kwachukwachu aka ngozi za ng'ombe 🤣🤣Hapa kampala gongo la mboto
Sasa huyo si mke wa mtu?Mmmmh nakula single maza mkuu sio wake za watu ahahah
Lete post niliyo kuitia mod, 150k IPO hapa Sasa hivi.Intell nilimchakaza juzi kati hapo 😄 😄 😄
Akaishia kuwaita mod..
Weee nakupata chap tuu
Sasa si ni mtam kweli ukweli nisiseme?Acha kumtamani..
Ndo nyie mkila ban mnaanza kulalamika kumbe mnatukana watu
Ni mtaalamu wa medicine..Majibu yake reference zitakuwa zile kwachukwachu aka ngozi za ng'ombe 🤣🤣
Kashaachika mkuuSasa huyo si mke wa mtu?
Nazingua mkuu usiogope 😅Ni mtaalamu wa medicine..
Anasoma bachela in human medicine mkuu acha kuzarau watu