Poor Brain
JF-Expert Member
- Jul 5, 2019
- 19,644
- 40,546
- Thread starter
- #121
Ahahahaha daaah...Bado hamjasema. Team Mbowe nyote mtatapika mpaka vipoints vi8 vya yanga kwny group lake
Ndo nyie watu kwenye mambo seriously mnaleta utani
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ahahahaha daaah...Bado hamjasema. Team Mbowe nyote mtatapika mpaka vipoints vi8 vya yanga kwny group lake
Nyie wakuu ebu mjiheshimu nyie ahahahIla akiwahiwa anapona huyu
Una mda gani jf mgangaMIMI MGANGA UNAWEZA FATA UTARATIBU WANGU UKO ULIPO ILA SI BURE
Ni kweli mkuu hata wataalamu wamesema hvo..Hukutafuna vizuri chakula most likely nyama au mwani...
SIoniiii🫢Nime ku tag mkuu
Mbabe wangu nani?Wewe mbabe wako namjua mkuu 😀😀😀😀
Hii nayo mpya. So hiyo nyama ilijificha wapiMkuu alhamdullilah nilienda kwa mtaalamu wanasema huwa sitafuni nyama vzr
Anasema ilikua katika tumboHii nayo mpya. So hiyo nyama ilijificha wapi
Vipi hivyo?Hicho si vile vinakaa mdomoni vinanuka kishenzi
Kaka tulia tunakufanyia mchakato wa tibaNyie wakuu ebu mjiheshimu nyie ahahah
Juzi nilikuwa hapo majumba sita, kesho kutwa nitakuwa madafu 😂Alafu wewe siku usije jichanganya ukaja huku gongo la mboto.. i will show you
Wee ujiheshimu kuna watu wanasema et kwa sababu nakunywa visungura..Kaka tulia tunakufanyia mchakato wa tiba
Hakuna tiba wala nini huyo anajifanya nocturnal animal kufanya kazi usiku...alipojisahau kusinzia mdomo wazi wazee wa kazi wakaweka tracker, mwili ukatema bungo 🤣🤣🤣Kaka tulia tunakufanyia mchakato wa tiba
Nakupa onyo mkuu ulifika mombasa tuu jua tayar nishakudaka sasa hapo ndo utajua hujui na uzi utakuja kuandika hapa """ Numevamiwa na jamaa wa jamii forum kwa kumchukulia poa"""Juzi nilikuwa hapo majumba sita, kesho kutwa nitakuwa madafu 😂
Kama unapiga ke za watu basi shida ni hiyo tuma advansi dawa zipoWee ujiheshimu kuna watu wanasema et kwa sababu nakunywa visungura..
Kuna huyu anasema kisa wake za watu..
Alafu ww unasema mara ruta sijui nini an daah
😂Hakuna tiba wala nini huyo anajifanya nocturnal animal kufanya kazi usiku...alipojisahau kusinzia mdomo wazi wazee wa kazi wakaweka tracker, mwili ukatema bungo 🤣🤣🤣
Kama kuna jirani kakununia ndo huyo huyo au Dori shangazi 🤣🤣🤣🤣
Kumbe una experience navyo...jamani huyu anatuchora 🤣🤣🤣Mkuu hiki kikubwa
Dorry muache hausiki kabisa labda huyu single maza..Hakuna tiba wala nini huyo anajifanya nocturnal animal kufanya kazi usiku...alipojisahau kusinzia mdomo wazi wazee wa kazi wakaweka tracker, mwili ukatema bungo 🤣🤣🤣
Kama kuna jirani kakununia ndo huyo huyo au Dori shangazi 🤣🤣🤣🤣