Poor Brain
JF-Expert Member
- Jul 5, 2019
- 19,644
- 40,546
- Thread starter
- #81
Kila siku napiga mswaki faza..naelewa ndiomana nasema swaki kijana
Mbona unaniabisha kusem huu uchafu au
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kila siku napiga mswaki faza..naelewa ndiomana nasema swaki kijana
Ety mi sipigi mswakiMambo magumu sana haya
😂Umetapika 5G rooter, connect device
Umejuaje mkuuUlishiriki mkutano wowote mkubwa kisiasa wenye wajumbe 2000 hivi karibuni
Mkuu mi sio mlafi sasaKufakamia chakula ukiwa na njaa haya ndio matokeo yake unaweza kumeza mpaka vijiko
Wewe una kesi kule jukwaa la burundiNa Thread ifungwe 😅😅
Wapi tena huko mkuu😁Wewe una kesi kule jukwaa la burundi
piga sawasawa ndugu acha ubishiKila siku napiga mswaki faza..
Mbona unaniabisha kusem huu uchafu au
Jukwaa la burundi... Au ujaona wameku tagWapi tena huko mkuu😁
Dactar hii nimetapikapiga sawasawa ndugu acha ubishi
Umetapika spleen
Yesssss ni kweli mkuuuu...Umetapika spleen
Baada ya kukitapika mwili uko sawa au unahisi Kuna changesYesssss ni kweli mkuuuu...
We jamaa kuna kitu unacho.
Kuna jamaa alisema hii ni kongosho
Mwili upo sawa ila nilitaka kukimeza tena maana jamaa angu anasoma medicine alinishauri hivoBaada ya kukitapika mwili uko sawa au unahisi Kuna changes
Sijaona mkuu 😃Jukwaa la burundi... Au ujaona wameku tag
Kwani wewe una urai wa tz hapa au ni wa huko maana walikua wanaongea lugha yao ila kila mda wanataja "rubii is source ""Sijaona mkuu 😃
Haaa yaani ukimeze Tena hiko KITU mmmh sidhani kama utakuwa ni suluhishoMwili upo sawa ila nilitaka kukimeza tena maana jamaa angu anasoma medicine alinishauri hivo
Ebu kidogoMwili upo sawa ila nilitaka kukimeza tena maana jamaa angu anasoma medicine alinishauri hivo
Ndio alisema hvo et anadai kimetoka kwa bahati mbaya hiko makazi yake ni tumboni huko huko etHaaa yaani ukimeze Tena hiko KITU mmmh sidhani kama utakuwa ni suluhisho
Lazima tungekijua labda muongo kidogo unaweza patikana HAPA 👇👇Ndio alisema hvo et anadai kimetoka kwa bahati mbaya hiko makazi yake ni tumboni huko huko et