Half american
JF-Expert Member
- Sep 21, 2018
- 38,283
- 97,793
Mimi siiti mtu, jeshi la mutu mmoyaIntell nilimchakaza juzi kati hapo π π π
Akaishia kuwaita mod..
Weee nakupata chap tuu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mimi siiti mtu, jeshi la mutu mmoyaIntell nilimchakaza juzi kati hapo π π π
Akaishia kuwaita mod..
Weee nakupata chap tuu
Kama mmewe ajafa shauri yakoKashaachika mkuu
ukikimeza tena kitaenda kukaa sehemu yake sioπππKuna jamaa angu anasoma medicine nimemtumia kasema eti nikimeze tena huwenda ni kongosho et
boya wee tulia, hao washamba uli wabahatisha coz chuo cha mafunzo hawa kuhudhuriaππ.Wenzio walijaribu wakaishiwa kupostiwa na mishumaa muulize Intelligent businessman atakuambia vizuri
ππππππππππ uyu dogo vipi, mbona ana leta pigo za kindunya aseme ka ana taka kuoga au kunya??Lete post niliyo kuitia mod, 150k IPO hapa Sasa hivi.
Half american uyu dogo vipi, mbona ana leta pigo za kindunya aseme ka ana taka kuoga au kunya??
Post naleta hapa mkuu waitLete post niliyo kuitia mod, 150k IPO hapa Sasa hivi.
Half american uyu dogo vipi, mbona ana leta pigo za kindunya aseme ka ana taka kuoga au kunya??
We jichanganye mkuuboya wee tulia, hao washamba uli wabahatisha coz chuo cha mafunzo hawa kuhudhuriaππ.
jaribu kwetu, uone ka hauta ishia kulia.
Ndio mwanzoni alisema vile..ukikimeza tena kitaenda kukaa sehemu yake sioπππ
Dogo mbona una wenge, ka jf isha kushinda sema tukupare na nyembeππππππππππ uyu dogo vipi, mbona ana leta pigo za kindunya aseme ka ana taka kuoga au kunya??
We jamaa una maneno hovyo sana daaah πππππππππππππππππππ
Daah wee intel unatumia bangi sioππππ
nasubiriPost naleta hapa mkuu wait
Huyu muache uzuri huwa anabeba dawa za kuchua ngoja nimkandeWe jichanganye mkuu
oya golden fork una papata ??We jichanganye mkuu
πππππ Mkuu unanishambulia sana an hata unipi mda wa kunywa maji..Dogo mbona una wenge, ka jf isha kushinda sema tukupare na nyembe
mtaalam gani huyo aliekuelekezaNdio mwanzoni alisema vile..
Ila nilivoenda kwa mtaalam akanielekeza
Hata wewe ungeambiwa kimeze si ungemeza ..Nazingua mkuu usiogope π
Utapata msaada humu kwa taabu sana dakika za jionii πHata wewe ungeambiwa kimeze si ungemeza ..
Sema mm nilikua najitambua nikasema sikimezi mpaka nnipate ushauri humu ππππππ
Mtaalamu nilienda pharmacy pale gomzi mkuu..mtaalam gani huyo aliekuelekeza
Dogo amua uta para samaki au uta para miwa ??πππππ Mkuu unanishambulia sana an hata unipi mda wa kunywa maji..
Kwanza mpaka sasa ushanipiga Ko yaani nikisoma zile stanza za kusema sijui nataka kuoga au ....
Mkuu unanishambulia ila mimi zangu huwa napiga kwenye mshono
Ahahaha ila nilipata japo kwa mbinde sna..Utapata msaada humu kwa taabu sana dakika za jionii π