BRAZA CHOGO
JF-Expert Member
- Jan 31, 2023
- 761
- 1,984
ππusikute ni kipande cha ini! Unakunywaga visungura?
Mkuu ebu kwanza...Yule Singo Maza Ameanza Kazi Mapema Sana Hakutakiwa Kushambulia Kwa Haraka Namna Hiyo,,Una Damu Kali Rada Zako Zimefanikiwa Kuzuia Kombora La Masafa Mafupi,,Endelea Kuwa Mwema,,Endelea Kubonyeza Raha.
Kama umetapika hicho hata router unaweza kutapika tuKuwa seriously kidogo mkuu....
Natapikaje rooter sasa..
Inamaana mimi nina mdomo gani wa kutapika dude lote lile
Yule mshamba alisema et nikile tenaDuh kumbe kinyongo kinaweza kutoka kwa kutapika! Sasa kinarudi vipi tena tumboni au ndio kinaota kingine?
Juu la rooter hapo mkuuMbona kama ni Rooter ya Airtel hio
Kwahy hii unataka kusma mi mtoto jaman namezaga tuu
Wee mkuu mtafute coy mzungu guKama umetapika hicho hata router unaweza kutapika tu
Kwamba... ππswaki kijana
Mkuu hiko kidude kikubwa ujueswaki kijana
Dactar mchawi huyu πππKwamba... ππ
Haya mkuti nyani.maninaa...
naelewa ndiomana nasema swaki kijanaMkuu hiko kidude kikubwa ujue
Mambo magumu sana hayaDactar mchawi huyu πππ
Na Thread ifungwe π πKipeleke kwa mwamposa
Kila siku napiga mswaki faza..naelewa ndiomana nasema swaki kijana
Ulishiriki mkutano wowote mkubwa kisiasa wenye wajumbe 2000 hivi karibuni