Msaada: Nina 30,000 hapa, nahitaji kuanza biashara yoyote ile sasa hivi. Niko DSM

Tafuta sure odds... Anza na 2 kwanza ... Utakua unaingiza elfu 60 kwa siku
Ukishapata hyo sitini toa elfu 20 then arobain weka tena sure odds utapata elfu 80
Siku ya tatu toa tena elfu ishirini itabaki sitini tafuta tena sure odds 2 usiwe na haraka dada hizi odds mbili zitakufaa ...
Mpaka hapa utakua na elfu 60 kama deposit sasa piga tena sure odds 2 unakuja kupiga 120k

Kwahyo unaona watu tunavyotengeneza pesa hiyo elfu 30 unaweza kuiona ndogo lakini inakwenda kubadirisha maisha yako tuseme ameen..
 
Unaweza madam. Biashara kwa huo mtaji ni matunda, chukua 7000 nunua vicontena sio disposable chukua vile vya plastick, kanunue papai 3, maembe 10, parachichi 5, ndizi 20, nanasi 3, na tikiti 2
Kata kwa ustad uweke salad then vifunge ununue na kikapu kizuri then zunguka mtaani, i promise jion utakuwa na elf 50
 
Akili kisoda
 
Last seen tarehe 5 disemba 2023, watu washapita naye na kumzuia asiingie humu. Wana Jf wanafaidi sana
 
Fanya biashara ya uji wa ulezi tafuta mahospital yaliyo karibu na wewe maana kuna wagonjwa wengi wanatafuta watu wa kuwapikia uji na hawawapati ukiwa mazingira hayo utakuwa umewasaidia sana
 
Kila siku weka mkeka wa 300. Kwaiyo kwa 30k utakua na mtaji wa kubet miezi 3. Sasa miezi 3 yote siku 90 umkose muindi ? Haiwezekani labda uwe na fundi la ukoo mzima
 
Nunua nyanya debe moja na nusu = nyanya 320.Tembeza mtaani ukiuza nyanya 4 kwa sh 500. Utapata 40000 faida 10000.
 
Ukipitia michango ya watu humu ndio utaona watanzania tulivyooza ubongo.
 
Nunua kilevi aina ya cuka, ambiance, shadow, vodka n.k. nenda kijiwe cha bodaboda kilichochangamka anza biashara. Utanishukuru badae
 
Una undugu na mr pipa ?
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]kuna wana wana mahesabu kmmk.
 
Udangaji aina mpya 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…