Kilimbatz
JF-Expert Member
- Sep 15, 2020
- 4,331
- 5,865
Amuone JITU BANDIAKuna vijana watamshauri au tayari ninwewe umesha mshauri[emoji12][emoji12]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Amuone JITU BANDIAKuna vijana watamshauri au tayari ninwewe umesha mshauri[emoji12][emoji12]
🤣🤣 Mechi 1 au 2 tu kwenye mkeka, odds jumla zisizidi 2, anatoboaKuna vijana watamshauri au tayari ninwewe umesha mshauri[emoji12][emoji12]
[emoji16][emoji16]Amuone JITU BANDIA
Dar es salaam pichu ni mwiko, joto ni kali. Labda niuze zile za kudangia ambazo hata nikisimama nazo kwenye mageti ta vyuo, hawatozinunua kutokana na aibu yao ingawa watakuwa wanazitaka. Nitaziuza vipi?Anza na sox na chupi za wadada simama mageti ya vyuo
Nunua kwa jumla 500 uza 1000, 1500
Sent using Jamii Forums mobile app
Ila kuna watu wanabahati na hayo mambo sio mchezo.[emoji1787][emoji1787] Mechi 1 au 2 tu kwenye mkeka, odds jumla zisizidi 2, anatoboa
Hata karanga zinagoma ebo.Sister elfu thelathin umesema ? Sa mbona mtihani, uza karanga basi
Mtaji hautoshi kaka angu. Vifaa vyenyewe huna 40k hupati, eneo la kukaangia je?Tafuta jiko, kikaangio cha vitumbua na vifaa vingine anza kazi ya kuchoma vitumbua stendi mida ya asubuhi au jioni...
Mkuu, yani mtaji wa 30,000 una mwambia aje PM 😄😄😄Njoo dm
Hahah kwa sababu uzi umewekwa MMU?
Juzi kuna rafiki yangu wa kiume kaiegesha miguu yake barabarani baada ya kutazama matokeo ya sijui ndo ushindi, sijui ndo mechi, mara mkeka...Beti tu sister, hadi jumamosi utakuwa na 6M.
Mimi singoji uji upoe, mapemaaa kama ni fursa ninufaike wa kwanza 😃Kuna vijana watamshauri au tayari ninwewe umesha mshauri[emoji12][emoji12]
Aje namuongezea 10kMkuu yani mtaji wa 30,000, una mwambia aje PM 😄😄😄
Kama hutaki kunitakia mema si useme tu?Tafuta bangi kwa bei ya jumla 1000 kwa pc. Kwa 25000 utapata c 25. Hiyo buku tano nunua kiberiti na rizla alafu nenda hapo mabibo hostel saa moja jioni uzisukume kwa wanafunzi wa UDSM uziuze kwa 2000 kwa pc. Huo mzigo ukiisha tayari utakuwa na 50000. Na 25000 kama faida. Rule number one ya pusher usivute kabisa hata kujaribu tena kaa mbali na huo moshi. Kesho yake tena kachukue pull kwa 20000 hapa utapata pc 80. Then jion urudi tena mabibo hostel baada hizi utazisukuma kwa siku 2. Endelea hvyo hvyo mpaka ufikie uwezo wa kuchukua gunia hapa utapata zaidi ya pc 10000 Then hilo gunia lisukume ndani ya mwaka.
Rule number tu usiuzie tamaa.
Kwa siku sukuma kete 25 tu ka aloyal customer wako. Yaani walewale wa siku zote. Hizo pc 25 zinakupa 25000 faida ambayo kwa mwezi 750000 iweke kwenye legal business kama mpesa au duka la electronic. Huu ni unakaribiana mshahara wa degree mwalimu. Hizo pc 10000 utazisukuma kwa siku 400. Baada ya siku 400 utakuwa umetengeneza faida ya million 10 stafu na ufocus kwenye biashara ya kulipa Kodi TRA ujenge nchi.
Pesa ya bet ina kamserereko 😁😁Mimi singoji uji upoe, mapemaaa kama ni fursa ninufaike wa kwanza 😃
Umefanya kazi muda gani ? Ulikuwa unaweka akiba ?Nimejaribu kufuatilia kwa wauzaji wake. Hazina faida ndugu. Sio za kukurupukia kaka
Tushamuelewa😃 Kuna jukwaa la biashara!
Nashanga watu wanashindwa kufungua code nyepesi hv, yaani bei tajwa tayari!
Unamaana gani ?Hata karanga zinagoma ebo.