Msaada: Nina 30,000 hapa, nahitaji kuanza biashara yoyote ile sasa hivi. Niko DSM

Msaada: Nina 30,000 hapa, nahitaji kuanza biashara yoyote ile sasa hivi. Niko DSM

Anza na sox na chupi za wadada simama mageti ya vyuo
Nunua kwa jumla 500 uza 1000, 1500

Sent using Jamii Forums mobile app
Dar es salaam pichu ni mwiko, joto ni kali. Labda niuze zile za kudangia ambazo hata nikisimama nazo kwenye mageti ta vyuo, hawatozinunua kutokana na aibu yao ingawa watakuwa wanazitaka. Nitaziuza vipi?
 
Huu ni msimu mbaya wa mvua kwahiyo maji yapo ila ungekodisha toroli kwa siku, unatafuta wateja unaenda kununua kwa bei ya chini unayauza kwa bei ya faida kwako. Kuna dada niliona anafanya hii biashara na maisha yake anayamudu vizuri kila siku ana oda ya dumu za lita 20 sio chini ya 20 kila siku. Yeye kawatarget sana wa migahawani.
 
Mkuu yani mtaji wa 30,000, una mwambia aje PM 😄😄😄
Aje namuongezea 10k

Nimtumie mzigo wa bangi

Pure,dry and aunthetic weed

Debe moja hapa nilipo ni 40k,

Gharama za usafiri zangu,

Akiuza robo ya mzigo tu,ana more than 250k

Kikubwa akubali risks

Akimaliza huo mzigo,ananunua iPhone 15 mpya na chenji inabaki


Ni yeye tu

Kikubwa ale na polisi
 
Tafuta bangi kwa bei ya jumla 1000 kwa pc. Kwa 25000 utapata c 25. Hiyo buku tano nunua kiberiti na rizla alafu nenda hapo mabibo hostel saa moja jioni uzisukume kwa wanafunzi wa UDSM uziuze kwa 2000 kwa pc. Huo mzigo ukiisha tayari utakuwa na 50000. Na 25000 kama faida. Rule number one ya pusher usivute kabisa hata kujaribu tena kaa mbali na huo moshi. Kesho yake tena kachukue pull kwa 20000 hapa utapata pc 80. Then jion urudi tena mabibo hostel baada hizi utazisukuma kwa siku 2. Endelea hvyo hvyo mpaka ufikie uwezo wa kuchukua gunia hapa utapata zaidi ya pc 10000 Then hilo gunia lisukume ndani ya mwaka.
Rule number tu usiuzie tamaa.
Kwa siku sukuma kete 25 tu ka aloyal customer wako. Yaani walewale wa siku zote. Hizo pc 25 zinakupa 25000 faida ambayo kwa mwezi 750000 iweke kwenye legal business kama mpesa au duka la electronic. Huu ni unakaribiana mshahara wa degree mwalimu. Hizo pc 10000 utazisukuma kwa siku 400. Baada ya siku 400 utakuwa umetengeneza faida ya million 10 stafu na ufocus kwenye biashara ya kulipa Kodi TRA ujenge nchi.
Kama hutaki kunitakia mema si useme tu?
 
Back
Top Bottom