Msaada: Nina 30,000 hapa, nahitaji kuanza biashara yoyote ile sasa hivi. Niko DSM

Msaada: Nina 30,000 hapa, nahitaji kuanza biashara yoyote ile sasa hivi. Niko DSM

una nia na malengo mazuri sana hata kama si wewe...

Nimeona apo juu, kwa uchache, ushauri mzuri sana wangwana wa JF wameuporomosha....

A serious human being akiaamua kuuchukua ushauri huo na kuufanyia kazi, anatoboa vizuri sana within short, middle and long period of time...

Hiyo hela sio kidogo, ukiamua ukanunua na ukafungasha mathalani karanga za mia1, mia2 na mia5, ukaongeza na peremende, pipi, sigara na bigG kwa kuanzia, mbona umejipatia ajira yako mwenyewe tayari..

Lakini pia ukafungasha maji ya mia mia, maarufu maji ya kandoro, tunayabwia sana humu kwenye vijiwe vya boda daladala, kahawa na sokoni. Wateja wapo, soko lipo kwa uwekezaji mtaji kama huo ulonao.

Lakini mwingine ameshauri wekeza kwenye nguo za ndani za kike na kiume mathalani chupi, socks , boxer, singland, tyty, sidiria n.k .Aise huku maofisini maofsaa wanapitanazo mbaya sana. Hawana muda kwenda madukani. Lakini pia mtaani zinauzika sana na haziozi...

So,
kwa uwekezaji wa mtaji huo, unaweza kufanya dogo likawa kubwa. Likakufurahisha na kukunufaisha wewe na wengine pia.

Cha muhimu zaidi ni kua na nia thabiti na uthubutu wa kuamua na kutenda.
Nakutakia kila la Kheri.
Mwenyezi Mungu akufanyie wepesi...
🙏🙏Thanks
 
Fanyia nauli tu iyo kawe winga kariakoo au trngeneza mifuko ya karatasi ile kauze kwa wapik chipusi
Mkuu sio kila mtu anaweza kuwa winga Kariakoo
Kumbuka sifa kuu ya kuwa winga Kariakoo uwe unaweza kumshawishi mteja
Mimi Nina ofisi pale kariakoo huwa naona mawinga wanavyoniletea wateja kwa bei ya juu kabisa tofauti na uhalisia
 
I
Inawezekana, mm kila siku laki natia kwenye kibubu na laki nyingine natupia kwenye M-PESA ,ikifika million naitupia bank, odds zangu 2 point au chini ya hapo.
Mkuu aanze na elfu 30 kweli mbona itakuwa noma aisee akipigwa anaanzia wapi ? Anarud kwenye zero sio ?
 
Tafuta bangi kwa bei ya jumla 1000 kwa pc. Kwa 25000 utapata c 25. Hiyo buku tano nunua kiberiti na rizla alafu nenda hapo mabibo hostel saa moja jioni uzisukume kwa wanafunzi wa UDSM uziuze kwa 2000 kwa pc. Huo mzigo ukiisha tayari utakuwa na 50000. Na 25000 kama faida. Rule number one ya pusher usivute kabisa hata kujaribu tena kaa mbali na huo moshi. Kesho yake tena kachukue pull kwa 20000 hapa utapata pc 80. Then jion urudi tena mabibo hostel baada hizi utazisukuma kwa siku 2. Endelea hvyo hvyo mpaka ufikie uwezo wa kuchukua gunia hapa utapata zaidi ya pc 10000 Then hilo gunia lisukume ndani ya mwaka.
Rule number tu usiuzie tamaa.
Kwa siku sukuma kete 25 tu ka aloyal customer wako. Yaani walewale wa siku zote. Hizo pc 25 zinakupa 25000 faida ambayo kwa mwezi 750000 iweke kwenye legal business kama mpesa au duka la electronic. Huu ni unakaribiana mshahara wa degree mwalimu. Hizo pc 10000 utazisukuma kwa siku 400. Baada ya siku 400 utakuwa umetengeneza faida ya million 10 stafu na ufocus kwenye biashara ya kulipa Kodi TRA ujenge nchi.
Duh..
Akidakwa?!
 
Agawe Mara tatu, anacheza ten consecutively, tatizo markets anazijua? Timu anazijua? Betting inataka uzoefu na mtaji mkubwa na usiwe na tamaa.
Sa si unaona kama jana sijalala nlimpa argentina alafu nikakandamiza sasa mpira hauchezwi wanapigana buti tu virugu mwanzo mwisho ni ngumi kwenda mbele yan daaah sijalala hata hapa nipo kibaruan nakimbia muda si mrefu niende nkalale nimechoka kinoma
 
Tafuta bangi kwa bei ya jumla 1000 kwa pc. Kwa 25000 utapata c 25. Hiyo buku tano nunua kiberiti na rizla alafu nenda hapo mabibo hostel saa moja jioni uzisukume kwa wanafunzi wa UDSM uziuze kwa 2000 kwa pc. Huo mzigo ukiisha tayari utakuwa na 50000. Na 25000 kama faida. Rule number one ya pusher usivute kabisa hata kujaribu tena kaa mbali na huo moshi. Kesho yake tena kachukue pull kwa 20000 hapa utapata pc 80. Then jion urudi tena mabibo hostel baada hizi utazisukuma kwa siku 2. Endelea hvyo hvyo mpaka ufikie uwezo wa kuchukua gunia hapa utapata zaidi ya pc 10000 Then hilo gunia lisukume ndani ya mwaka.
Rule number tu usiuzie tamaa.
Kwa siku sukuma kete 25 tu ka aloyal customer wako. Yaani walewale wa siku zote. Hizo pc 25 zinakupa 25000 faida ambayo kwa mwezi 750000 iweke kwenye legal business kama mpesa au duka la electronic. Huu ni unakaribiana mshahara wa degree mwalimu. Hizo pc 10000 utazisukuma kwa siku 400. Baada ya siku 400 utakuwa umetengeneza faida ya million 10 stafu na ufocus kwenye biashara ya kulipa Kodi TRA ujenge nchi.
Kesi hiyo
 
Nitumie picha Yako inbox nikuone unaweza pata fursa ya huba kwa hiyo ela Yako ukawekeza hapa kwangu kwa mahaba niue niteketeze
 
Back
Top Bottom