Msaada: Nina 30,000 hapa, nahitaji kuanza biashara yoyote ile sasa hivi. Niko DSM

Msaada: Nina 30,000 hapa, nahitaji kuanza biashara yoyote ile sasa hivi. Niko DSM

Tafuta bangi kwa bei ya jumla 1000 kwa pc. Kwa 25000 utapata c 25. Hiyo buku tano nunua kiberiti na rizla alafu nenda hapo mabibo hostel saa moja jioni uzisukume kwa wanafunzi wa UDSM uziuze kwa 2000 kwa pc. Huo mzigo ukiisha tayari utakuwa na 50000. Na 25000 kama faida. Rule number one ya pusher usivute kabisa hata kujaribu tena kaa mbali na huo moshi. Kesho yake tena kachukue pull kwa 20000 hapa utapata pc 80. Then jion urudi tena mabibo hostel baada hizi utazisukuma kwa siku 2. Endelea hvyo hvyo mpaka ufikie uwezo wa kuchukua gunia hapa utapata zaidi ya pc 10000 Then hilo gunia lisukume ndani ya mwaka.
Rule number tu usiuzie tamaa.
Kwa siku sukuma kete 25 tu ka aloyal customer wako. Yaani walewale wa siku zote. Hizo pc 25 zinakupa 25000 faida ambayo kwa mwezi 750000 iweke kwenye legal business kama mpesa au duka la electronic. Huu ni unakaribiana mshahara wa degree mwalimu. Hizo pc 10000 utazisukuma kwa siku 400. Baada ya siku 400 utakuwa umetengeneza faida ya million 10 stafu na ufocus kwenye biashara ya kulipa Kodi TRA ujenge nchi.
Ha ha we jamaa una kitu, itabidi nije pm!
 
Sipo hapa kukukejeli, hiyo pesa haitoshi Kwa chochote kile ila mm nataka nikupe ushauri tu.. Kaombe kazi kitambaa cheupe uwe barmaid iam sure Kwa siku hutakosa kuondoka na elfu ishirini mpaka arobaini

Sio pesa ya kudanga Bali ni kuachiwa chenji za wateja na wengine wakilewa huwa wanasahau chenji lakini pia ukipewa offer ya bia wewe Tia Maji afu pesa weka mfukoni ili baada ya miezi miwili utakuwa umepata mtaji sio chini ya million moja afu utakuja nikupe wazo la biashara
Kha! Marafiki zangu wote wakiokimbilia huko wameharibikiwa, hata yule Nasra mtoto wa Ostadhi sasa hivi ukimuona huezi dhania. Nina mashaka keshautwaa. Uko sio pazuri kaka yangu
 
Hongera kwa uthubutu Mkuu, ni Wanawake wachache wa kizazi hiki cha Instagram kinaweza kuthubutu kufanya hicho unachojaribu kukifanya.

Nenda Soko la Mabibo ama Sterio ununue Matunda Mchanganyiko ya shilingi 15,000.

Tumia elfu 8 ununue deli pamoja vifungashio pamoja na Kisu.

Baada ya hapo anza biashara yako ya matunda kwa kuyapitisha kwenye maofisi hapo Posta.

Kama utatia bidii, utakuwa na miezi 6 hivi utakuwa na mabinti zako 3 ambao utakuwa umewaajiri kwa biashara hiyo hiyo huku mtaji ukikua mara dufu.

Zingatia usafi na unadhifu wa mavazi.


Kila la kheri Mkuu
 
Hello JF Members,
I'm madam Agnes, leo tena humu Jukwaani. Nisiwachoshe, niko na 30k kwenye kipochi, nahitaji kuanza biashara yoyote ile itakayowezekana sasa hivi

Mazingira ni Dar es salaam. Siko na aibu, naeza fanya yoyote ile. Ilimradi tu itoshe kunipatia mlo pamoja na saving kidogo kwa ajili ya masuala ya baadae

Sihitaji kuajiliwa, maake naondoka hivyo kwenye nyumba ya watu nilipokuwa naishi as house girl, watu hawana shukhrani jamani

Mwenye wazo lolote lile ambalo limemsaidia kuendesha maisha, ama ameona limemsaidia somebody ku run his/her own life anipatie basi. Hata kama ni idea ya kiume, I'm ready

I'm waiting...
una nia na malengo mazuri sana hata kama si wewe...

Nimeona apo juu, kwa uchache, ushauri mzuri sana wangwana wa JF wameuporomosha....

A serious human being akiaamua kuuchukua ushauri huo na kuufanyia kazi, anatoboa vizuri sana within short, middle and long period of time...

Hiyo hela sio kidogo, ukiamua ukanunua na ukafungasha mathalani karanga za mia1, mia2 na mia5, ukaongeza na peremende, pipi, sigara na bigG kwa kuanzia, mbona umejipatia ajira yako mwenyewe tayari..

Lakini pia ukafungasha maji ya mia mia, maarufu maji ya kandoro, tunayabwia sana humu kwenye vijiwe vya boda daladala, kahawa na sokoni. Wateja wapo, soko lipo kwa uwekezaji mtaji kama huo ulonao.

Lakini mwingine ameshauri wekeza kwenye nguo za ndani za kike na kiume mathalani chupi, socks , boxer, singland, tyty, sidiria n.k .Aise huku maofisini maofsaa wanapitanazo mbaya sana. Hawana muda kwenda madukani. Lakini pia mtaani zinauzika sana na haziozi...

So,
kwa uwekezaji wa mtaji huo, unaweza kufanya dogo likawa kubwa. Likakufurahisha na kukunufaisha wewe na wengine pia.

Cha muhimu zaidi ni kua na nia thabiti na uthubutu wa kuamua na kutenda.
Nakutakia kila la Kheri.
Mwenyezi Mungu akufanyie wepesi...
 
Mtaji hautoshi kaka angu. Vifaa vyenyewe huna 40k hupati, eneo la kukaangia je?

Nilipoanza kusoma hiki kifungu, moyoni nilijiambia naweza kukusaidia kuongeza mtaji...

We ni zaidi ya Motivational Speaker

Conclusion yako ikaniondolea hiyo huruma ya mwanzo...

Anyway kila la kheri, Mungu akusaidie ufanikiwe...
 
Hongera kwa uthubutu Mkuu, ni Wanawake wachache wa kizazi hiki cha Instagram kinaweza kuthubutu kufanya hicho unachojaribu kukifanya.

Nenda Soko la Mabibo ama Sterio ununue Matunda Mchanganyiko ya shilingi 15,000.

Tumia elfu 8 ununue deli pamoja vifungashio pamoja na Kisu.

Baada ya hapo anza biashara yako ya matunda kwa kuyapitisha kwenye maofisi hapo Posta.

Kama utatia bidii, utakuwa na miezi 6 hivi utakuwa na mabinti zako 3 ambao utakuwa umewaajiri kwa biashara hiyo hiyo huku mtaji ukikua mara dufu.

Zingatia usafi na unadhifu wa mavazi.


Kila la kheri Mkuu
Thanks 🙏
 
Back
Top Bottom