Msaada: Nina 30,000 hapa, nahitaji kuanza biashara yoyote ile sasa hivi. Niko DSM

Msaada: Nina 30,000 hapa, nahitaji kuanza biashara yoyote ile sasa hivi. Niko DSM

Tafuta bangi kwa bei ya jumla 1000 kwa pc. Kwa 25000 utapata c 25. Hiyo buku tano nunua kiberiti na rizla alafu nenda hapo mabibo hostel saa moja jioni uzisukume kwa wanafunzi wa UDSM uziuze kwa 2000 kwa pc. Huo mzigo ukiisha tayari utakuwa na 50000. Na 25000 kama faida. Rule number one ya pusher usivute kabisa hata kujaribu tena kaa mbali na huo moshi. Kesho yake tena kachukue pull kwa 20000 hapa utapata pc 80. Then jion urudi tena mabibo hostel baada hizi utazisukuma kwa siku 2. Endelea hvyo hvyo mpaka ufikie uwezo wa kuchukua gunia hapa utapata zaidi ya pc 10000 Then hilo gunia lisukume ndani ya mwaka.
Rule number tu usiuzie tamaa.
Kwa siku sukuma kete 25 tu ka aloyal customer wako. Yaani walewale wa siku zote. Hizo pc 25 zinakupa 25000 faida ambayo kwa mwezi 750000 iweke kwenye legal business kama mpesa au duka la electronic. Huu ni unakaribiana mshahara wa degree mwalimu. Hizo pc 10000 utazisukuma kwa siku 400. Baada ya siku 400 utakuwa umetengeneza faida ya million 10 stafu na ufocus kwenye biashara ya kulipa Kodi TRA ujenge nchi.
Umejaribu hii business
 
Mtaji hautoshi kaka angu. Vifaa vyenyewe huna 40k hupati, eneo la kukaangia je?

We ni zaidi ya Motivational Speaker
Kodi jiko kwa mtu kwanza baadae utanunua lako ila hakikasha vifaa ukosi kuanzia karai la kukaangia, deli la kuwekea vitumbua n.k
 
Mkuu aanze na elfu 30 kweli mbona itakuwa noma aisee akipigwa anaanzia wapi ? Anarud kwenye zero sio ?
Mkuu aanze na elfu 30 kweli mbona itakuwa noma aisee akipigwa anaanzia wapi ? Anarud kwenye zero sio ?
Screenshot_20231119-210538.png
Screenshot_20231121-065139.png
Screenshot_20231121-065121.png
Screenshot_20231121-064431.png
Screenshot_20231121-064419.png
Screenshot_20231121-065206.png
Screenshot_20231121-082202.png
Screenshot_20231121-063731.png
 

Attachments

  • Screenshot_20231121-065046.png
    Screenshot_20231121-065046.png
    32.6 KB · Views: 8
  • Screenshot_20231121-065020.png
    Screenshot_20231121-065020.png
    31.5 KB · Views: 8
Huu ni msimu mbaya wa mvua kwahiyo maji yapo ila ungekodisha toroli kwa siku, unatafuta wateja unaenda kununua kwa bei ya chini unayauza kwa bei ya faida kwako. Kuna dada niliona anafanya hii biashara na maisha yake anayamudu vizuri kila siku ana oda ya dumu za lita 20 sio chini ya 20 kila siku. Yeye kawatarget sana wa migahawani.
Kukodi toroli kipengere
 
Aje namuongezea 10k

Nimtumie mzigo wa bangi

Pure,dry and aunthetic weed

Debe moja hapa nilipo ni 40k,

Gharama za usafiri zangu,

Akiuza robo ya mzigo tu,ana more than 250k

Kikubwa akubali risks

Akimaliza huo mzigo,ananunua iPhone 15 mpya na chenji inabaki


Ni yeye tu

Kikubwa ale na polisi
Usimfundishe ujinga utaka mwezio aozee segerea sio??
 
Sa si unaona kama jana sijalala nlimpa argentina alafu nikakandamiza sasa mpira hauchezwi wanapigana buti tu virugu mwanzo mwisho ni ngumi kwenda mbele yan daaah sijalala hata hapa nipo kibaruan nakimbia muda si mrefu niende nkalale nimechoka kinoma
Niliwapa under 3.5 pamoja na tz
 
Kodi mkokoteni zunguka kwenye malango ya watu unafanya huduma ya kukusanya taka gharama kulingana na wingi wa taka. Bei itaanzia Tsh 500.
Hakikisha unajua pakwenda kuzitupa.
Mji town taka utazitupa wapi ndugu[emoji23][emoji23][emoji23] utakuja kugombana na wenye viwanja vyao
 
Hongera kwa uthubutu Mkuu, ni Wanawake wachache wa kizazi hiki cha Instagram kinaweza kuthubutu kufanya hicho unachojaribu kukifanya.

Nenda Soko la Mabibo ama Sterio ununue Matunda Mchanganyiko ya shilingi 15,000.

Tumia elfu 8 ununue deli pamoja vifungashio pamoja na Kisu.

Baada ya hapo anza biashara yako ya matunda kwa kuyapitisha kwenye maofisi hapo Posta.

Kama utatia bidii, utakuwa na miezi 6 hivi utakuwa na mabinti zako 3 ambao utakuwa umewaajiri kwa biashara hiyo hiyo huku mtaji ukikua mara dufu.

Zingatia usafi na unadhifu wa mavazi.


Kila la kheri Mkuu
Safi sana
 
Hello JF Members,
I'm madam Agnes, leo tena humu Jukwaani. Nisiwachoshe, niko na 30k kwenye kipochi, nahitaji kuanza biashara yoyote ile itakayowezekana sasa hivi

Mazingira ni Dar es salaam. Siko na aibu, naeza fanya yoyote ile. Ilimradi tu itoshe kunipatia mlo pamoja na saving kidogo kwa ajili ya masuala ya baadae

Sihitaji kuajiliwa, maake naondoka hivyo kwenye nyumba ya watu nilipokuwa naishi as house girl, watu hawana shukhrani jamani

Mwenye wazo lolote lile ambalo limemsaidia kuendesha maisha, ama ameona limemsaidia somebody ku run his/her own life anipatie basi. Hata kama ni idea ya kiume, I'm ready

I'm waiting...
Then kuna Uzi wa chimbo za Kariakoo humu, ifatilie uone bidhaa gani unataka uanze nayo, mtaji wa 30K inatosha pa kuanzia. Nunua bidhaa moja tu, tafuta pics Google chomeka kwenye Instagram account. Fanya online Instagram. Lipia ads $2 kwa siku.

Wish you a good luck.
 
Fanyia nauli tu iyo kawe winga kariakoo au trngeneza mifuko ya karatasi ile kauze kwa wapik chipusi
Wewe uwinga sio rahisi mzee, asilimia kubwa ya mawinga kariakoo ni wahuni na wezi.. kwanza atakaa sana kijiweni mpaka wenye maduka wamzoe na wamuamini..

Wapiga uwinga wengi kariakoo ni wale vjana walijloairiwa na wenye maduka hivo lazima uwe na connection vinginevyo utaonekana muuni na mwizi
 
Hela yako ni kubwa Kwa boashara ndogo ndogo.lakini hizi biashara hazitaki mtu anaekaa mahali pamoja au pasipo na mzunguko.zinataka mtembezi.mfano karanga unaweza pata 8000 lakini italeta maana ukizimaliza ndani ya siku moja.nenda masoko makuu,minadaI,stand,vyuoni.unashangaa pisi 100-200 zimeisha.unatoa faida yako pembeni unandaa mzigo wa kesho Tena.
Hata maandazi,halfcake,,visheti nk

Nguvu zako ndo mtaji wako
 
Back
Top Bottom