Mohamedex121
JF-Expert Member
- Jan 27, 2022
- 1,725
- 3,271
Kuuza vitafunio, kuuza uji, kuuza matunda, kuuza visheti, kutembeza chumvi za kwenye parketi mbona zipo nyingi mkuu kwa mtaji wake alafu ni mwanamke hizi biashara zinamfit sana
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kuuza vitafunio, kuuza uji, kuuza matunda, kuuza visheti, kutembeza chumvi za kwenye parketi mbona zipo nyingi mkuu kwa mtaji wake alafu ni mwanamke hizi biashara zinamfit sana
Hakuna uaminifu kwenye biashara siku hizinampa yeye awe mmiliki mimi atanipa asilimia 50 nayeye hamsini
Hadi hapo anataka kutongozwaDm tena? Toa madini hapa wengine wafaidi pia. Au wataka kumtongoza
Me nliweka washinde tz siwekag kwenye mkeka wangu siwaamini, ila huu uzi umenifundisha kitu, kama huyu dada kweli ni hause g basi huyu sister ana roho ya kihustler na kama hadanganyi kuna siku atakuja kutusua yan kama kweli ana 30000 na ana confidence ya kuanza kuiinvest hiyo hiyo kweli hapo nimemkubali aisee, akiwa na M3 huyu ni mtu hatari sana mastaaaNiliwapa under 3.5 pamoja na tz
Eeh chupi za warembo wa chuo bukuAnza na sox na chupi za wadada simama mageti ya vyuo
Nunua kwa jumla 500 uza 1000, 1500
Sent using Jamii Forums mobile app
Njoo ligi ya brazil inaelekea ukingoni cheza corners tu zinatoa balaa chukua timu mbili over 8.5/9.5/10.5 tia laki mbiliMe nliweka washinde tz siwekag kwenye mkeka wangu siwaamini, ila huu uzi umenifundisha kitu, kama huyu dada kweli ni hause g basi huyu sister ana roho ya kihustler na kama hadanganyi kuna siku atakuja kutusua yan kama kweli ana 30000 na ana confidence ya kuanza kuiinvest hiyo hiyo kweli hapo nimemkubali aisee, akiwa na M3 huyu ni mtu hatari sana mastaaa
Tatizo la jf sometimes story za kusadikika ni nyingi mno kuliko uhalisia unaweza taka saidia baadae unakuta ni mtu anajitungia tu ili watu wacomment.Me nliweka washinde tz siwekag kwenye mkeka wangu siwaamini, ila huu uzi umenifundisha kitu, kama huyu dada kweli ni hause g basi huyu sister ana roho ya kihustler na kama hadanganyi kuna siku atakuja kutusua yan kama kweli ana 30000 na ana confidence ya kuanza kuiinvest hiyo hiyo kweli hapo nimemkubali aisee, akiwa na M3 huyu ni mtu hatari sana mastaaa
Ile ya wakubwa au serie b ?Njoo ligi ya brazil inaelekea ukingoni cheza corners tu zinatoa balaa chukua timu mbili over 8.5/9.5/10.5 tia laki mbili
Waongo wamekuwa wengi, ndio tatizo la watu humu na watu wa masihara wengi ila me nimechagua kumwamini akiwa anadanganya anajidanyanya mwenyeweTatizo la jf sometimes story za kusadikika ni nyingi mno kuliko uhalisia unaweza taka saidia baadae unakuta ni mtu anajitungia tu ili watu wacomment.
Series A ila game zao ni kama NBA usiku mnene beti Mapema lala asubuhi ukutane na muamala.Ile ya wakubwa au serie b ?
Huu mwezi nataka nifunge hesabu na 10 mil, nishafikisha 7.4 mil game za weekend nishaweka Mapema nasubiri matokeo.Ile ya wakubwa au serie b ?
poaSeries A ila game zao ni kama NBA usiku mnene beti Mapema lala asubuhi ukutane na muamala.
Nlifikishaga 11m nikaongezea hela kidogo nkauza gari yangu nikanunua gari ya fuel consumpion ndogo ili nipunguze ukali wa maisha saivi nna kama 1.5m kama kepitol nataka niende nayo mdogo mdogo sitaki tamaa.Huu mwezi nataka nifunge hesabu na 10 mil, nishafikisha 7.4 mil game za weekend nishaweka Mapema nasubiri matokeo.
Safi sana mkuuHuu mwezi nataka nifunge hesabu na 10 mil, nishafikisha 7.4 mil game za weekend nishaweka Mapema nasubiri matokeo.
Duh hii imeendaTafuta bangi kwa bei ya jumla 1000 kwa pc. Kwa 25000 utapata c 25. Hiyo buku tano nunua kiberiti na rizla alafu nenda hapo mabibo hostel saa moja jioni uzisukume kwa wanafunzi wa UDSM uziuze kwa 2000 kwa pc. Huo mzigo ukiisha tayari utakuwa na 50000. Na 25000 kama faida. Rule number one ya pusher usivute kabisa hata kujaribu tena kaa mbali na huo moshi. Kesho yake tena kachukue pull kwa 20000 hapa utapata pc 80. Then jion urudi tena mabibo hostel baada hizi utazisukuma kwa siku 2. Endelea hvyo hvyo mpaka ufikie uwezo wa kuchukua gunia hapa utapata zaidi ya pc 10000 Then hilo gunia lisukume ndani ya mwaka.
Rule number tu usiuzie tamaa.
Kwa siku sukuma kete 25 tu ka aloyal customer wako. Yaani walewale wa siku zote. Hizo pc 25 zinakupa 25000 faida ambayo kwa mwezi 750000 iweke kwenye legal business kama mpesa au duka la electronic. Huu ni unakaribiana mshahara wa degree mwalimu. Hizo pc 10000 utazisukuma kwa siku 400. Baada ya siku 400 utakuwa umetengeneza faida ya million 10 stafu na ufocus kwenye biashara ya kulipa Kodi TRA ujenge nchi.
Niliwahi kuuza karanga . Nilikuwa napata faida asilimia 100 na zaidi.Nimejaribu kufuatilia kwa wauzaji wake. Hazina faida ndugu. Sio za kukurupukia kaka