Msaada: Nina MB's za kutosha kwenye smartphone yangu, ila mobile data haifanyi kazi

Msaada: Nina MB's za kutosha kwenye smartphone yangu, ila mobile data haifanyi kazi

Habarini

Natumia simu ya itel A05 mpya tu haina hata mwaka, laini ya voda nayo ni mpya haina mwaka, hili tatizo limeanza juzi, mb nakuwa nazo tena zaidi ya 800, ila nikiwasha mobile data sipati chochote, sasa najiuliza hili tatizo ni kwangu kwenye simu yangu, au ni watoa huduma wa voda Wana matatizo.

Cha ajabu hili tatizo linakuja na kupotea lenyewe bila kulitaftia ufumbuzi, saa ingine mobile data inafanya kazi, saa ingine haifanyi kazi, hata kama una MB, sasa inakuwa ni kero maana mb unakuwa nazo hlf haziko reliable, na mda wa kifurushi unaendelea kuisha.

Hapa natumia wifi ya mtu mwingine ku-browse jf, waliokwisha kutana na hili tatizo ufumbuzi wake ni nini?
Nenda kwenye settings angalia kwenye sim card and mobile data then click pale kwenye internet uchague hio line ya voda yenye mb's.

Afu Zima data washa data, ukimaliza Zima sim washa sim then weka internet data on, ikikataa ni tatizo la kimtandao either sehem uliyopo haisapoti internet au sim yako hujaiset vzr
 
Habarini

Natumia simu ya itel A05 mpya tu haina hata mwaka, laini ya voda nayo ni mpya haina mwaka, hili tatizo limeanza juzi, mb nakuwa nazo tena zaidi ya 800, ila nikiwasha mobile data sipati chochote, sasa najiuliza hili tatizo ni kwangu kwenye simu yangu, au ni watoa huduma wa voda Wana matatizo.

Cha ajabu hili tatizo linakuja na kupotea lenyewe bila kulitaftia ufumbuzi, saa ingine mobile data inafanya kazi, saa ingine haifanyi kazi, hata kama una MB, sasa inakuwa ni kero maana mb unakuwa nazo hlf haziko reliable, na mda wa kifurushi unaendelea kuisha.

Hapa natumia wifi ya mtu mwingine ku-browse jf, waliokwisha kutana na hili tatizo ufumbuzi wake ni nini?
Nenda settings
Connections
Mobile network
Access point names. Ukifika hapa:
Kama unatumia tigo, jaza kila sehemu unayotakiwa kujaza kwa kuandika tigowap.
Kama airtel au voda andika airtel/vodatz.
Nimekuelekeza kihuni* lay man's language, ila ukifanya nilivyokueleza, basi tatizo lako umelitatua. Karibu
 
Fanya setting upya kwenye Aced Point Name ( APN) kulingana na mtandao wa sim unaotumia
Ni Kweli tafuta APN pale Kwenye name andika Vodacom na kwenye type andika Internet Kisha save, tatizo litakua limeisha
 
Habarini

Natumia simu ya itel A05 mpya tu haina hata mwaka, laini ya voda nayo ni mpya haina mwaka, hili tatizo limeanza juzi, mb nakuwa nazo tena zaidi ya 800, ila nikiwasha mobile data sipati chochote, sasa najiuliza hili tatizo ni kwangu kwenye simu yangu, au ni watoa huduma wa voda Wana matatizo.

Cha ajabu hili tatizo linakuja na kupotea lenyewe bila kulitaftia ufumbuzi, saa ingine mobile data inafanya kazi, saa ingine haifanyi kazi, hata kama una MB, sasa inakuwa ni kero maana mb unakuwa nazo hlf haziko reliable, na mda wa kifurushi unaendelea kuisha.

Hapa natumia wifi ya mtu mwingine ku-browse jf, waliokwisha kutana na hili tatizo ufumbuzi wake ni nini?

Wasiliana na Vodacom ukomae nao. Yalimkuta jamaa yangu, walimtaka afanye SIM swap japo waliishia kumuwekea pesa kwenye line nyingine ya kifurushi kama MB karibu na hizo.

Angalizo: inabidi kukomaa nao. Tatizo haliko kwako.
 
Back
Top Bottom