Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nenda kwenye settings angalia kwenye sim card and mobile data then click pale kwenye internet uchague hio line ya voda yenye mb's.Habarini
Natumia simu ya itel A05 mpya tu haina hata mwaka, laini ya voda nayo ni mpya haina mwaka, hili tatizo limeanza juzi, mb nakuwa nazo tena zaidi ya 800, ila nikiwasha mobile data sipati chochote, sasa najiuliza hili tatizo ni kwangu kwenye simu yangu, au ni watoa huduma wa voda Wana matatizo.
Cha ajabu hili tatizo linakuja na kupotea lenyewe bila kulitaftia ufumbuzi, saa ingine mobile data inafanya kazi, saa ingine haifanyi kazi, hata kama una MB, sasa inakuwa ni kero maana mb unakuwa nazo hlf haziko reliable, na mda wa kifurushi unaendelea kuisha.
Hapa natumia wifi ya mtu mwingine ku-browse jf, waliokwisha kutana na hili tatizo ufumbuzi wake ni nini?
Nenda settingsHabarini
Natumia simu ya itel A05 mpya tu haina hata mwaka, laini ya voda nayo ni mpya haina mwaka, hili tatizo limeanza juzi, mb nakuwa nazo tena zaidi ya 800, ila nikiwasha mobile data sipati chochote, sasa najiuliza hili tatizo ni kwangu kwenye simu yangu, au ni watoa huduma wa voda Wana matatizo.
Cha ajabu hili tatizo linakuja na kupotea lenyewe bila kulitaftia ufumbuzi, saa ingine mobile data inafanya kazi, saa ingine haifanyi kazi, hata kama una MB, sasa inakuwa ni kero maana mb unakuwa nazo hlf haziko reliable, na mda wa kifurushi unaendelea kuisha.
Hapa natumia wifi ya mtu mwingine ku-browse jf, waliokwisha kutana na hili tatizo ufumbuzi wake ni nini?
Hongera sana kua ktk sector iyo I wish niipate pia
Ni Kweli tafuta APN pale Kwenye name andika Vodacom na kwenye type andika Internet Kisha save, tatizo litakua limeishaFanya setting upya kwenye Aced Point Name ( APN) kulingana na mtandao wa sim unaotumia
Habarini
Natumia simu ya itel A05 mpya tu haina hata mwaka, laini ya voda nayo ni mpya haina mwaka, hili tatizo limeanza juzi, mb nakuwa nazo tena zaidi ya 800, ila nikiwasha mobile data sipati chochote, sasa najiuliza hili tatizo ni kwangu kwenye simu yangu, au ni watoa huduma wa voda Wana matatizo.
Cha ajabu hili tatizo linakuja na kupotea lenyewe bila kulitaftia ufumbuzi, saa ingine mobile data inafanya kazi, saa ingine haifanyi kazi, hata kama una MB, sasa inakuwa ni kero maana mb unakuwa nazo hlf haziko reliable, na mda wa kifurushi unaendelea kuisha.
Hapa natumia wifi ya mtu mwingine ku-browse jf, waliokwisha kutana na hili tatizo ufumbuzi wake ni nini?