Msaada: Nina Mke ila nimekuwa mtu wa kupenda ngono sana hadi nanunua wadada na kupiga punyeto

Msaada: Nina Mke ila nimekuwa mtu wa kupenda ngono sana hadi nanunua wadada na kupiga punyeto

Kadri umri unavyokwenda hiyo hali itapingua yenyewe, ni stage tu ulivuka ndio tatizo.

Ila ktk hiki kipindi unaweza pata migogoro ya ndoa au kupata magonjwa hivyo ktk kila unalofikiria kulifanya waza kwanza kuhusiana na hayo mambo mawili.

Mwisho baada ya mda wa kazi uliyopo anzisha shughuli nyingine itakayokufanya kuwa busy nayo.
 
Ayaaaaa dah we jamaa,amini nakwambia umerogwa,wewe umerogwa kama kuna mtaalam karibu nenda kapate dawa...haraka sana!
 
Pawa Mabula huyo.
Unadhani ni ww, hapana majita wanatafuna kupitia wewe....wewe upo stoo.
 
Huna malengo makubwa kwenye maisha yako... inaonekana ukipata elfu 30 ndo tayari siku imeisha na kuanza kuwaza upuuzi. Wenye malengo makubwa kwanza wana mikopo inayowabana pamoja na miradi midogo midogo ya hapa na pale. Kwa umri huo usipokuwa makini miaka 38 itakukuta hujafanya kitu. Kaa chini tafakari upya mustakabali wa maisha yako utapata jibu unachotakiwa ufanye.
 
Futa magroup ya malaya na namba zao. Futa video za porn.

Anza kufanya mazoezi kila mara mwili uchangamke.

Mpende mke wako na mtoto.

Fanya hivyo kwa mwezi then rudi hapa tuyajenge.
 
Mnaoaga mkiwa na miaka ngapi nyie? 25 au? Mtu una 28 tayari una mtoto? Umri wa balehe uo.
 
Kuna kipindi nilifanya field ofisi fulani yani kulikua na huyo mzee anapenda ngono, yani ukienda kwenye komputa yake muda wa kazi anaangalia ngono
 
Futa magroup ya malaya na namba zao. Futa video za porn.

Anza kufanya mazoezi kila mara mwili uchangamke.

Mpende mke wako na mtoto.

Fanya hivyo kwa mwezi then rudi hapa tuyajenge.

Shida ukute mke wake anampa na jamaa hatosheki
 
Haya masimu tuwe tunayafeed na mambo mazuri, addiction ni mbaya mno
 
Back
Top Bottom