Mwaliko huo mtoa madaAisee ulivyosema mdigo umenikumbusha mdigo wangu mmoja anachakata huyo balaa na yeye mawazo ya threesome alikuwa nayo hatari ndio aliyonifanya nianze huu mchezo wa threesome. Kumbe wadigo ndio michezo yenuuu[emoji848][emoji848][emoji848][emoji848]
Sasa bwana nimetongwa kuwa karibu i kutakuwa na house party moja matata...warembo kama wote. Kwa uzoefu uliosema hapa naona uwepo wako ni muhimu sana.
Kazi haiondoi tabia ya mtu wala raho ya mapepo kwa mtu inayompelekea kufanya tabia mbayaTafuta kazi ya kukuweka bize ikibidi anza kubeba mizigo Yani kuwa kuli
Hujamsaidia sasa,yeye kesha gundua hayo yote,na ndiyo maana kaja hapa, ili uonyeshe unajua hilo tatizo ungeanza kwa kumwambia afanye kadha wa kadha na atafanikiwa kutoka kwenye hilo boxi,yaani mpe mbinu unazozijua wewe,kusema tu ana ugonjwa wa akili ndiyo umemsaidia nini sasa?wabongo muwe mnapunguza ujuajiPole mleta mada maana una ugonjwa wa akili. Sijamaanisha kukutukana ika ndio ukweli tayari akili yako imeshapata maradhi.
Sasa inatakiwa utafute namna ya kujitibia. Hakuna haja ya kumsingizia shetani wala nini hapo. Ni kwamba akili yako imepungua uwezo wa kupuuzia mambo kadhaa, akili yako imepoteza uwezo wa kuwa na kiasi, akili yako imepoteza uwezo wa kujua kikomo na mipaka.
Hivyo nakushauri shughulika zaidi na afya ya akili yako.
Jamaa atajienjoy sana kama anaweza muda foursome basi jamaa ni hodari katika kuchakata mbususuMwaliko huo mtoa mada
Kama ni kweli unahitaji msaada na hautanii basi msaada wa kweli umeshaupata. Maelekezo ni haya:Habari ndugu zangu....
Nahitaji msaada wa kimawazo kutoka kwenu. Mimi ni kijana wa miaka 28 na nimeoa nina mtoto mmoja, Kabila langu ni Mdigo mtu wa Tanga.
Maisha yangu ni ya kawaida, nafanya kazi kwa masaa I mean naweza ingia kazini saa 10 Alfajiri mpaka saa 5 asubuhi nipo nyumbani. Suala la kupata elfu 30 kwa siku kwangu ni la kawaida sana. Napata muda mwingi wa kushinda nyumbani na mke wangu.
Tatizo langu nasumbuliwa na kuwaza ngono tena nawaza haswa, naweza cheki XX sometime napiga punyeto, naweza nunua madada poa telegram, naweza kwenda Kimboka yani nina vurugu japo nina mke yupo ndani
Nimejaribu kuikataa hii hali nikidhani kuoa ni kutibu hili tatizo ila nimekuwa vile vile. Nikitoka kazini nalala kidogo, nikiamka naingia telegram nacheki mademu wanavojiuza nanunua naenda lala nae.
SILIDHIKI kingono kesho nataka tena na tena na tena. Nikiwa sina hela labda majukumu yameingiliana basi nadili kuangalia tu picha zao na viji-crip vyao hata saa 4 nachezea simu mpk ni ugomvi kwa wife.
Nahitaji msaada aisee, najiuliza nimelogwa? Nina jini? najiendekeza? Au ni mwili wangu tu.
Katika ukuaji wangu nilikuwa naogopa sana mademu nilikuwa mtu wa punyeto tu. Nimekuja kumuingilia mwanamke nikiwa na miaka 21 ila idadi ya Wanawake niliolala nao tangu hapo mpaka sasa tena kwa kasi ya ajabu Yani sio chini ya mia mbili(200)
Sio utani kabisaa aisee mpaka 4some nimefanya sana (mwanaume mmoja wanawake wa3)
Nahitaji msadaa niachane na hii hali nibaki na mke wangu. Nimepima juzi UKIMWI sina nikajiapiza sitaki demu ila asubuhi ya leo kipindi natoka kazini nishapitia kwa demu nimefanya (3some). Nimewanunua nimesex nao na si kwamba nitapiga kimoja nilale nop show show.
Kipindi sina kazi maalumu sina kipato chochote nilikuwa sina hela ila napiga sound mademu na huwa hawakatai so nilikuwa malaya wa kutongoza yaani sikumbuki kama nani alinikataaga nikitongoza hukatai yani kama vile wananiona LIMINIHOO...
Msaada, USHAURI....
Ukikua utaacha tuHabari ndugu zangu....
Nahitaji msaada wa kimawazo kutoka kwenu. Mimi ni kijana wa miaka 28 na nimeoa nina mtoto mmoja, Kabila langu ni Mdigo mtu wa Tanga.
Maisha yangu ni ya kawaida, nafanya kazi kwa masaa I mean naweza ingia kazini saa 10 Alfajiri mpaka saa 5 asubuhi nipo nyumbani. Suala la kupata elfu 30 kwa siku kwangu ni la kawaida sana. Napata muda mwingi wa kushinda nyumbani na mke wangu.
Tatizo langu nasumbuliwa na kuwaza ngono tena nawaza haswa, naweza cheki XX sometime napiga punyeto, naweza nunua madada poa telegram, naweza kwenda Kimboka yani nina vurugu japo nina mke yupo ndani
Nimejaribu kuikataa hii hali nikidhani kuoa ni kutibu hili tatizo ila nimekuwa vile vile. Nikitoka kazini nalala kidogo, nikiamka naingia telegram nacheki mademu wanavojiuza nanunua naenda lala nae.
SILIDHIKI kingono kesho nataka tena na tena na tena. Nikiwa sina hela labda majukumu yameingiliana basi nadili kuangalia tu picha zao na viji-crip vyao hata saa 4 nachezea simu mpk ni ugomvi kwa wife.
Nahitaji msaada aisee, najiuliza nimelogwa? Nina jini? najiendekeza? Au ni mwili wangu tu.
Katika ukuaji wangu nilikuwa naogopa sana mademu nilikuwa mtu wa punyeto tu. Nimekuja kumuingilia mwanamke nikiwa na miaka 21 ila idadi ya Wanawake niliolala nao tangu hapo mpaka sasa tena kwa kasi ya ajabu Yani sio chini ya mia mbili(200)
Sio utani kabisaa aisee mpaka 4some nimefanya sana (mwanaume mmoja wanawake wa3)
Nahitaji msadaa niachane na hii hali nibaki na mke wangu. Nimepima juzi UKIMWI sina nikajiapiza sitaki demu ila asubuhi ya leo kipindi natoka kazini nishapitia kwa demu nimefanya (3some). Nimewanunua nimesex nao na si kwamba nitapiga kimoja nilale nop show show.
Kipindi sina kazi maalumu sina kipato chochote nilikuwa sina hela ila napiga sound mademu na huwa hawakatai so nilikuwa malaya wa kutongoza yaani sikumbuki kama nani alinikataaga nikitongoza hukatai yani kama vile wananiona LIMINIHOO...
Msaada, USHAURI....
Wewe kweli mzinzi bro yaani comment zote za wajuba huja quote ila ya madame s umeonyesha ushababi wako [emoji23][emoji23][emoji23]Mke wangu anasimama kama mke kwenye majukumu yote..kitandani yup0 p0a sana...mimi ndio tatizo..
Unamjaza mwenzako ujinga hii hali inatokana na mtu kutokuishi kwa mahesabu tu hakuna cha nguvu nyingi wala nini,ni kujiendekeza.Una nguvu nyingi, hiyo hali itakuwa inapungua kila umri unaposogea
Umeeleza vyema sana. UbarikiweUnamjaza mwenzako ujinga hii hali inatokana na mtu kutokuishi kwa mahesabu tu hakuna cha nguvu nyingi wala nini,ni kujiendekeza.
Kawaida ya watu dizain hii utamkuta amepanga chumba na sebule,amening’iniza flat ukutani ana sabufa seapiano lake dressing table ya mkewe kitanda kimtungi kidogo cha gas anaona sasa maisha amemaliza ale starehe,hizo 50K anazotupa kwenye lodges na kuhonga hao malaya angekuwa mtu wa hesabu angewaza cha kufanya na hizo pesa kitakachomsaidia miaka 20 ijayo.
HV kuwaona madanga tele gram nafanyaje. Mnk nasiki tu madanga yamo umo Ila mm cwaoniMkuu pole porn limekua janga la kitaifa hasa vijana kama wewe
Tena ilivyokuja telegram ndo imeharibu kabisa yani
Wewe tayari umeshakua addicted na maswala haya ya ngono na kisaikolojia hauko sawa its better kuwaona kwanza wataalamu wa saikolojia ujue nini watakushauri
Hahahahaha unazipenda comments zangu ehh[emoji4] G recognise G, nawaza tu nimwambiaje nini tena maana kumshauri mtu aliekua addicted na kitu fulani kumbadilisha itachukua muda na sio siku moja tu[emoji3526]Nipo nasubiri comment Yako nyingine
Mdigo wa wapi kaka, Duga, gombero, daluni, mwabza, petukiza, gezani, pongwe, kisimatuwi, gezani, kibiboni,stakishari, mwahako, usagara, vuo, kasera, manza, mwenza mwenye, mtombwani, monga, kwale, zingibari, gaurekeni au wapi, Fanya xn dhikri kaka,mtaje xn Allah kila mara, kumbuka xn umauti na siku ambayo utakua mbele ya Mola wako.
Ikiwezekana aende Milembe Hospital DodomaPole mleta mada maana una ugonjwa wa akili. Sijamaanisha kukutukana ika ndio ukweli tayari akili yako imeshapata maradhi.
Sasa inatakiwa utafute namna ya kujitibia. Hakuna haja ya kumsingizia shetani wala nini hapo. Ni kwamba akili yako imepungua uwezo wa kupuuzia mambo kadhaa, akili yako imepoteza uwezo wa kuwa na kiasi, akili yako imepoteza uwezo wa kujua kikomo na mipaka.
Hivyo nakushauri shughulika zaidi na afya ya akili yako.
Kwa nini lazima iwe TAG we nae? We mwambie amrudie MUNGU basi, MUNGU yupo popote na si TAG pekee, punguzeni mihemko ya kimadhehebuKama ni kweli unahitaji msaada na hautanii basi msaada wa kweli umeshaupata. Maelekezo ni haya:
1. Mwombe Mungu kwa JINA la YESU akuokoe. Ili kuokoka omba sala ya toba. Toba ni kukubali kuwa wewe ni mwenye dhambi na KUKATA SHAURI ya kuomba msamaha wa dhambi huku ukiwa umedhamiria kutokuzirudia tena dhambi. Ukidhamiria hivyo na kuomba sala ya toba nitakayokuelekeza hivi pumbe, Mungu atakusamehe dhambi zako zote, atakuzaa kwa mara ya pili na kupata nguvu ya kuikataa na kuishinda dhambi. Tafuta mahali pa utulivu, piga magoti (kama unaweza) na kuomba sala hii kwa sauti, sala yenyewe ni: Bwana Yesu naja kwako, mimi ni mwenye dhambi. Naomba unisamehe dhambi zangu zote ninazozikumbuka na ambazo nimezisahau. Tangu sasa ninamkataa shetani na kazi zake zote. Ninakukaribisha Yesu katika moyo wangu uwe Bwana na Mwokozi wangu. Asante Yesu kwa kunisamehe, na ninaomba uniponye magonjwa yote hata yale ambayo sijui kama ninayo. Ninaomba na kushukuru katika Jina la YESU-Amen. Kama umeomba sala hii kwa kumaanisha hongera sana maana UMEOKOKA. Kwa sasa una nguvu na uwezo wa kusema HAPANA kwa kishawishi chote chote cha dhambi.
2. Tafuta kanisa la Tanzania Assemblies of God (TAG) lililo karibu na wewe na uende hapo kusali kila sikunya ibada. Ukifika hapo omba kuonana na mchungaji au mzee wa kanisa na mweleze kuwa umeokoka na utakuwa mshirika hapo kanisani. Watakupa msaada wa kiroho na mafundisho kwa ajili ya waamini wapya (waliookoka hivi karibuni.
3. Anza kumshuhudia mke wako, wazazi, ndugu na marafiki zako kuwa umeokoka. Wengine watakupinga, watakucheka nk. Usikate tamaa endelea mbele na uamuzi wako.
3. Amua kivishinda vikwazo. Kikwazo cha kwanza ni cha dini yako uliyokuta wazazi wanaiamini. Ujue kuwa hiyo dini haikuweza kukuokoa hivyo achana nayo.
4. Pia usiache kuleta mrejesho hapa Jf na ushuhuda wako utakuwa baraka sana kwa vijana wengi.
Nakutakia mafanikio katika safari yako ya kujisua kutoka kwenye utumwa wa dhambi hususan dhambi ya uzinzi!