Msaada: Nina presha 162/103 umri wangu miaka 33. Je, nianze dawa au nibadilishe lifestyle?

Msaada: Nina presha 162/103 umri wangu miaka 33. Je, nianze dawa au nibadilishe lifestyle?

Safi sana mkuu , Huwa nawashangaa watu wanamcheka Dr Janabi eti wanashindwa kuacha kula sukari.

Sukari ya kiwandani ni Jini inasababisha matatizo mengi sana sana Kwa Binadamu ni vile watu tumeshaingia kwenye chain kutoka ni ngumu.

Mtu akiacha kula sukari ndani ya mwezi mmoja ataona mabadiriko mengi sana sana. Kubwa zaidi ukiacha sukari ni Moja ya njia za Anti-aging. Utaonekana kama hukui kumbe umri unaenda.

Leo unakuta mtu anakunywa soda Kila siku na keki na mavyakula mengine ya sukari. Mtu anakuwa na miaka 25 ila anaonekana kama ana miaka 60. Hatari sana!

Mimi tangu mwaka 2017 sijawahi kuweka sukari mdomoni kwangu! Sina kitambi.


Tangu mwaka 2017 sijawahi kunywa hata hiyo chai ya asubuhi sijui. Na nimeshasahau kama watu Huwa wanakula asubuhi.
Yeah mwanzoni utapata craving kiasi na kama kupungukiwa nguvu hivi unakuwa kama unalegea kama siku mbili hivi. Ila matokeo ni ya ajabu hasa
 
Juzi usiku nlipika chapati za Maji nliweka sukari Na chumvi nikala nlivomaliza nikashushia Na Pepsi nikaenda kulala usiku kwenye SAA 9 nliharisha Sana tangu Muda Huo mpaka Sasa najisikia Vibaya nkilala nahisi kama Moyo unaelemewa nakosa pumzi pia nahisi kama kitu kina nichoki shingoni
Hcl iyo pole mkuu
 
Kinywaji chako ni Nini hasa Mkuu.... breakfast yako lunch Na dinner zikoje
Ninakunywa majani fulani ya kichina bila sukari. Yaani unajua sukari iko addictive kama cocaine. Ukiacha kutumia unasahahu kama ulikuwa unatia sukari kwenye chai.
Yaani sukari ni shetani mbaya ktk afya za watu wengi sana. Yaani presha, kisukari, magonjwa ya moyo sijui chanzo hasa kikubwa ni sukari ambayo ndio huwa inaleta shida hizi. Nilipomsikiliza huyo daktari nimeshea nanyi ndani ya mwezi mmoja sikuamini kabisa
 
Ninakunywa majani fulani ya kichina bila sukari. Yaani unajua sukari iko addictive kama cocaine. Ukiacha kutumia unasahahu kama ulikuwa unatia sukari kwenye chai.
Yaani sukari ni shetani mbaya ktk afya za watu wengi sana. Yaani presha, kisukari, magonjwa ya moyo sijui chanzo hasa kikubwa ni sukari ambayo ndio huwa inaleta shida hizi. Nilipomsikiliza huyo daktari nimeshea nanyi ndani ya mwezi mmoja sikuamini kabisa
Kwaio huli wali pilau Dona viazi
 
Wakuu habari zenu,

Kama nimevoandika hapo juu nimepima presha Leo na presha yangu ni kama hiyo nlioandika Ila sikuwahi kuwa na presha. Sasa wakuu ushauri wenu nianze dawa au nianze lishe ya kuacha wanga na sukari?
Pima zaidi ya mara moja kwa wakati tofauti tofauti ili kujiridhisha.
 
Nina miezi 6 leo bila kutumia sukari. Nafanya steps aerobics nyumbani aisee hata enzi za ujana sikuwa hivi. Sitii sukari kwenye chai, sinywi tena soda, keki wala ice cream. Wala asali. Nimepunguza ubwabwa na ugali. Nakamata mdudu na nyama choma nasindikiza na wine glass moja. Makunyanzi ya uso kwisha. Ninashangaa hata siamini. My belly fats zimepungua dramatically. Weka bundle halafu bofya hapa

View: https://youtu.be/-si1MZD5MFE?si=7wX1kOfQABtfRSG4

Hongera sana mkuu, mazoezi ni tiba
 
Ninakunywa majani fulani ya kichina bila sukari. Yaani unajua sukari iko addictive kama cocaine. Ukiacha kutumia unasahahu kama ulikuwa unatia sukari kwenye chai.
Yaani sukari ni shetani mbaya ktk afya za watu wengi sana. Yaani presha, kisukari, magonjwa ya moyo sijui chanzo hasa kikubwa ni sukari ambayo ndio huwa inaleta shida hizi. Nilipomsikiliza huyo daktari nimeshea nanyi ndani ya mwezi mmoja sikuamini kabisa
Sasa jitahidi uache na mafuta ya kupikia
Binafsi sukari nimefanikiwa Sasa Niko kwenye mafuta nadhani ni mwezi Sasa siandai chakula kwa mafuta
Yes naweza kupata pale napokula breakfast nje ya Ile nayoandaa Mimi ila situmii
 
Wakuu habari zenu,

Kama nimevoandika hapo juu nimepima presha Leo na presha yangu ni kama hiyo nlioandika Ila sikuwahi kuwa na presha. Sasa wakuu ushauri wenu nianze dawa au nianze lishe ya kuacha wanga na sukari?
Tumia kifo cha mende au mbuzi kagoma
 
Wakuu habari zenu,

Kama nimevoandika hapo juu nimepima presha Leo na presha yangu ni kama hiyo nlioandika Ila sikuwahi kuwa na presha. Sasa wakuu ushauri wenu nianze dawa au nianze lishe ya kuacha wanga na sukari?
Mkuu hili bandiko lako lilileta michango mingi yenye miongozo chanya kuhusu maradhi ya moyo.

Ni almost miaka mitatu sasa, vipi maendeleo yako?
Mrejesho tafadhali.
 
Wakuu habari zenu,

Kama nimevoandika hapo juu nimepima presha Leo na presha yangu ni kama hiyo nlioandika Ila sikuwahi kuwa na presha. Sasa wakuu ushauri wenu nianze dawa au nianze lishe ya kuacha wanga na sukari?
Hakikisha unaattend 'ambulatory clinic' kabla hujaanzishiwa dawa na dr wa moyo
 
Wakuu habari zenu,

Kama nimevoandika hapo juu nimepima presha Leo na presha yangu ni kama hiyo nlioandika Ila sikuwahi kuwa na presha. Sasa wakuu ushauri wenu nianze dawa au nianze lishe ya kuacha wanga na sukari?
Pima kama siku 5 mfululizo na u record somewhere, iwapo itakuwa juu kila wakati inabidi uanze dawa hakuna ujanja pia kubadili life style, pata ushauri kutoka kwa daktari
 
Pima kama siku 5 mfululizo na u record somewhere, iwapo itakuwa juu kila wakati inabidi uanze dawa hakuna ujanja pia kubadili life style, pata ushauri kutoka kwa daktari
Kwa miaka 33 presha yake sio mbaya sana..better kubadili life style kwanzaa..!
 
Kwa miaka 33 presha yake sio mbaya sana..better kubadili life style kwanzaa..!
Mkuu ebu nipe elimu kidogo, mbona tunaambiwa ikizidi tu 140 ni hatari.. Na wewe unasema sio mbaya kwa umri wake? Naomba ufafanuzi kidogo uhusiano wa hatari ya presha na umri wa mtu.
 
Back
Top Bottom