Nduka Original
JF-Expert Member
- Nov 6, 2010
- 1,012
- 817
Unachukua urefu wako unagawa kwa umri kisha utakachopata ndio hiyo.
Mfano urefu 170 unagawa kwa umri 30
Duu hii kali
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Unachukua urefu wako unagawa kwa umri kisha utakachopata ndio hiyo.
Mfano urefu 170 unagawa kwa umri 30
Kuna kitu nimekosea mkuu dont memorize.Duu hii kali
Angalia normal pressure yako mkuu.Kupanic huwa napanic Ila situmii kilevi Cha Aina yoyote ile
0. pata ushauri wa daktari, mwambie KILA kitu unachopitia! KILA kitu maana huenda kuna jambo lina trigger hii presha yako!Wakuu habari zenu,
Kama nimevoandika hapo juu nimepima presha Leo na presha yangu ni kama hiyo nlioandika Ila sikuwahi kuwa na presha. Sasa wakuu ushauri wenu nianze dawa au nianze lishe ya kuacha wanga na sukari?
Achana na madawa hayo mkuu.Mimi tangu February nikipima ipo juu,but kila ninapotaka kupima nakuwa na hofu na pressure inakua juu inafika mpaka 203/113 ,nimeacha pombe,situmii chumvi nyingi,sivuti sigara,uzito wangu kg 64 umri miaka 32,nyama nyekundu nakula kwa nadra sana ,huwa natembea sana tena sana,sasa sijajua hii presha yangu inatokana na nini,kuna wakati fulani mwishoni kwa mwaka jana nilikumbwa na stress sana ,sasa sijajua kama hizo ndo chanzo au la,dokta kanipa madawa kibao ila sijaanza kutumia nataka niende hospital moja ya mwisho kikapate vipimo kamili kabla masuala mengine hayajaanza
Hapo kwenye machine ndio umekosea ukinunua kile kidude umejiroga,presha utaishi nayo mileleCha kwanza rekebisha BP tumia dawa kama unaweza pia kunywa Asprin kuzuia stroke haya uyafanye kwa ushauri wa daktari.
Badilisha life style, kula sana mboga na matunda ikiwezekana samaki. Fanya mazoezi, tembea walau kwa lisaa moja kila siku.
PB ikiwa sawa unaweza kuacha dawa kwa ushauri wa daktari pia. Nunua mashine uwe unajichek pressure kila wiki.
Itakuwa ya kurithi.pole sana kuwa makini.stroke inakunyemeleaMimi tangu February nikipima ipo juu,but kila ninapotaka kupima nakuwa na hofu na pressure inakua juu inafika mpaka 203/113 ,nimeacha pombe,situmii chumvi nyingi,sivuti sigara,uzito wangu kg 64 umri miaka 32,nyama nyekundu nakula kwa nadra sana ,huwa natembea sana tena sana,sasa sijajua hii presha yangu inatokana na nini,kuna wakati fulani mwishoni kwa mwaka jana nilikumbwa na stress sana ,sasa sijajua kama hizo ndo chanzo au la,dokta kanipa madawa kibao ila sijaanza kutumia nataka niende hospital moja ya mwisho kikapate vipimo kamili kabla masuala mengine hayajaanza
Why strokeUna hatari kubwa ya kupata stroke
Nitafute mimi kwa wakati wako ili niweze kukutibia vidonda vyako vya tumbo upate kupona.Nna kilo75 na height yangu ni 164cm..pia nna vidonda vya tumbo so ramadhani yote nimefunga nkiwa navidonda vya tumbo
Tumia binzari, nenda supermarket nunua binzari ya unga uwe unaweka kijiko cha chai kwenye maji ya moto kikombe cha kahawa unakunywa usiku kabla ya kulala, pia acha sukari kabisa ila tumia matunda ukiwa na kiu ya sukari, chai kunywa kavu bila sukari na juisi hivyo hivyo. Ukiwa vizuri urudi kulipa consultantion fee.Dawa za kuondoa bad cholestrol ni zipi maana nahisi hio ndio itakuwa inansumbua mimi hata kabla sijaipima tu manaa nakula nyama daily!
Shukrani, niitumie kwa muda ganiTumia binzari, nenda supermarket nunua binzari ya unga uwe unaweka kijiko cha chai kwenye maji ya moto kikombe cha kahawa unakunywa usiku kabla ya kulala, pia acha sukari kabisa ila tumia matunda ukiwa na kiu ya sukari, chai kunywa kavu bila sukari na juisi hivyo hivyo. Ukiwa vizuri urudi kulipa consultantion fee.
Siku saba kila mwezi au baada ya miezi 3 ukishakuwa sawa.Shukrani, niitumie kwa muda gani
Hii inasaidia kutokomeza presha au bad cholesterol?Tumia binzari, nenda supermarket nunua binzari ya unga uwe unaweka kijiko cha chai kwenye maji ya moto kikombe cha kahawa unakunywa usiku kabla ya kulala, pia acha sukari kabisa ila tumia matunda ukiwa na kiu ya sukari, chai kunywa kavu bila sukari na juisi hivyo hivyo. Ukiwa vizuri urudi kulipa consultantion fee.
Vyote viwili na faida zingine.
Poa mkuu ,nishanunua ngoja nianze kunywa Leo,ni kila siku sio?Vyote viwili na faida zingine.
Sasa mbona unamwambia aishushe mpk 140 hapo hapo asiiache ifike 130Hypertension is a Silent Killer.
TENA MSHUKURU MUNGU SANA KWA MAONO ALOKUPA UKAPME.
Kama umepimwa mara 2 -4 nyakati tofauti na Ukaona BP yako iko Juu. Basi wewe ni Mgonjwa wa BP.
Hiyo presha ipo juu,, kwa kubadili mfumo wa maisha utaishusha lkn kidogo.
Ni vema uanze Dawa angalau uishushe mpaka 140/90 wakati huohuo ndo uendelee na mfumo mpya wa maisha yako
[emoji117]Acha Pombe.
[emoji117]Usivute sigara
[emoji117]achana na vyakula vya mafuta
[emoji117]ACHANA NA MATUMIZI YA CHUMVI.
[emoji117]KUA MAKINI UNYWAJI WA MAJI, USIZIDISHE LITA 1-2 KWA SIKU.
10/// [emoji117]ACHANA NA MADEMU
11///[emoji117]ACHA KUKOPA
10 na 11 , nikwasababu mademu na madeni , vyote vinaanza na "Made..." hivi viwili vinasababisha stress za Kufa mtu[emoji23]
Sikudanganyi Bob, Ukishupaza Shingo, ukaacha DBP ifike 130 , utaanza kuisogolea parapanda adoado[emoji23]