Msaada: Nina tatizo la kutoa manii (ku-ejaculate) kila nipatwapo na hofu

Msaada: Nina tatizo la kutoa manii (ku-ejaculate) kila nipatwapo na hofu

Nakumbuka nilivokuwa A level kuna mdada alisahau waleti yake darasan me nikaichukua na kupekua nikakuta efu 30 mwili ulisisimka had nikamwaga wazungu
 
Kumbe tuko wengi eee..ila mimi ilinitokea skuli wakati wa pepa..zile dakika za majeruhi
 
hahahah polee sanaa mkuu umenikumbushaa form four Nectar ....kwenye prac ya chemistry kuna jamaa alitoaga manii
Hata mimi form four practical ya chemistry nilijipizia baada ya kutumia maji special kwajili ya kuchanganya chemical nikachukua ya kawaida nilipogundua ...[emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1]
 
Hizo ni athari za kisaikolojia unatakiwa tu uhakikishe unafanikiwa ktk haya

Kucontrol Anxiety
Kuavoid Fear
Kupunguza Stress

Hiyo itakusaidia sana kutomwaga hizo mbegu bila sex
 
Kumbe tuko wengi eee..ila mimi ilinitokea skuli wakati wa pepa..zile dakika za majeruhi
Sure mkuu hata Mimi nilikua napatwa na hiyo hali, pale msimamizi anaposema zimebak dk 10 afu unakuta ndo naanza swali la mwisho. Najiuliza niandika essay au nimention tu maana dk 10 haztosh hapo hapo wazungu wanatoka. Ila ni tatizo linaloisha maana Mimi nilikua nalo mwaka wa kwanza tu likaisha. Nadhani unavyopiga test nyingi kna hali flan ya uoga inaenda inapungua
 
Dogo wew unaonekana utakua na lita 1000 nakitu kama sikosei. sasa kwaushauri tafuta demu Uwe unapiga paipu ikiwezekana mara 5 kwa wiki. kumbuka kutumia kinga. laasivyo tutakuita baba kijacho. piga papuchi sana. hadi ziombe poo
 
Pole mwaya jaribu kwenda hospital umuelezee doctor huenda utapata ufumbuzi
Mie sidhani kama ni tatizo. mf mimi kwa sasa ni mzee wa 48. zamani ilikuwa inanitokea age ya sekondari nikiwa form three endapo nitaambiwa muda umeisha kwenye paper halafu naona ningekamilisha swali kwa dk lets say 1.5 basi nilikuwa nasimamisha na kupiz. Sidhani kama ni ugonjwa inaonyesha kuwa mishipa ya fahamu ni active na ina-associate na reproductive ogan.Tatizo liliisha kadiri nilivyo kua.So asiogope ki hivyo.
 
Swali la kizushi mkuu.. huko kupizi kuna kua kumeambatana na climax au ni out of the blue tuuu unashangaa pwaaaaah?
JIBU: unajisikia raha tu kama unavyopizi kwenye kifua cha ke. Mara nyingi inatokea udogoni maana production nayo ni kubwa na mwili ni sensitive!!
 
Nimesomaa mwanzo wa Uzi huu toka mwanzo na wachangiaji wake woootee sijaweza kuambulia kituu inawezekanaje ukapizi ukiwa katika mtihan icho kizaga kinasimama au vinatoka Kama usahaa tuu? Nyie vijana wa dot com inakuwajee asee me ndo nasoma Leo kitu Kama hiii au ni hizii chips fungaaa?
inatokea. mimi ni mzee 48. ilinitokea mwaka 1987 form three kwenye paper. ukishapanic ile kitu inasimama na ku ejaculate kwa raha ile ile unayoijua. Baada ya hapo ushaumia paper imekusanywa unaenda tu kufua boxer.(enzi zetu hatukuwa na boxer teh teh) Kwa watu aged kama mimi sidhani nadhani production inakuwa imepungua kiwandani.
 
Dogo, ni kawaida kupee hasa ktk mazingira fulani ya woga au kutojiamini.
Binafsi ilishawahi kunitokea wakati nafanya mtihani wa Biology Practical (NECTA) Form 4, miaka kadhaa imepita sasa.
Pamoja na hayo, naona tatizo lako ni peculiar. Jaribu kutafuta msaada wa kitabibu mapema.
 
Duu watu na bahat zenu bana, unapata uroda bila jashoo
 
Dah pole sana mkuu. Nakumbuka mwaka 2008 chuoni niliwahi kukumbwa na tatizo hilo pale nilipokuwa nafanya mtihani wa engineering mathematics, naambiwa muda umeisha halafu bado maswali kibao sijayafanya. Nilichanganyikiwa kinoma aisee. Sasa nilivyomuona mwalimu anapita kuchukua karatasi yangu basi nikashangaa tu chini nako kumejibu. Nilizidi kuchanganyikiwa aisee yaani natoka chumba cha mtihani huku najishtukia mwenyewe kama watu wanaona vile. Ila nashukuru Mungu ile hali ilikuwa ni mara ya kwanza na ya mwisho, sijapatwa tena hilo tatizo
Aisee. Huu uzi umenikumbusha mbali sana kipindi nipo form 4 tulikuwa tunapiga paper muda ukawa umeisha na cjafanya kitu, ile hofu ikanifanya nianze kujihisi nataka ku ejaculate then nikaejaculate, ilinifikirisha sana ila haijawah kutokea tena ktk maisha yangu.
Ushauri kwa mleta uzi, km unajiona kuwa unawoga/hofu fulani jitahidi kuuondoa yaan tune mind yako kukabiliana na sio kuogopa inaweza kukusaidia.
 
Nimesomaa mwanzo wa Uzi huu toka mwanzo na wachangiaji wake woootee sijaweza kuambulia kituu inawezekanaje ukapizi ukiwa katika mtihan icho kizaga kinasimama au vinatoka Kama usahaa tuu? Nyie vijana wa dot com inakuwajee asee me ndo nasoma Leo kitu Kama hiii au ni hizii chips fungaaa?
Hata ww sidhani mtu akisoma comment yako anaweza kuambulia kitu.
In level za kunavyochukulia mambo inatofautiana na ndo mana kuna mtu mwingine akipatwa na jambo la ghafla anafight, mwingine anaflight, mwingine ana pause then anafight kwaiyo na ww chukulia ni jambo la kujifunza sio unaanza kusema ooh sijui nyie vijana wa dot com!!
 
ondoa hofu mkuu, hiyo ni hali ya kawaida ni sawa na mtu anayejikojolea akiwa kwenye hatari. Hilo la kujikojolea ndotoni ni kutokana na wewe kutofanya mapenzi tu, ni sawa na ndoto nyevu, unaota unakojoa au unafanya mapenzi, ile kujizuia usikojoe unajikuta unapizi. Dawa ni kuepuka hiyo hofu, kama ni kwenye mtihani uwe unakuwa mtulivu na kuikubali hali kama paper ni ngumu.

Wasalaam wanabodi!!!

Kama kichwa cha habari kinavojieleza hapo juu, ndugu yenu nina tatizo la kujipizia hasa nikiwa na hofu kubwa. Hii hali ilinianza nikiwa kidato cha nne.

Nakumbuka nilikua nafanya mtihani muda ukaisha, mwalimu akaja kukusanya mitihani na jinsi mtihani ulivyokuwa mgumu halafu sijamaliza kwa hofu niliyokuwa nayo nikajikuta najipizia nikiwa nimkaa kwenye kiti.

Tangu kipind kile nilijitahidi sana hali hiyo isinitokee tena, bahati nzuri niliweza kujizuia but hali ilkuja tena kujirudia nikiwa form five lakini nilijitahidi sana siku hiyo sikupizi pia nilikuwa kwenye mtihani.

Sasa kinachonipa shida ni kuwa kwa sasa nikiwa nimelala nikiota ndoto mbaya lazima nijipizie(ni-ejaculate) na hii inanitokea mara kwa mara kwa wiki inaweza tokea hata mara 3.

Kwa kifupi ni kuwa sijawahi kupiga punyeto so sijui hata inavofanywa, pia sijawahi kufanya mapenzi na msichana hata mara moja, umri wangu ni miaka 22 kwa sasa.

Hapa najiuliza je hili tatizo ni kutokana na kutokufanya mapenzi ndio maana kitu kama hiki kinanitokea au ni psychological problem!??

Msaada ndugu zangu sina amani kabisa najihisi kama siko sawa kabsa!!!
 
Dogo, ni kawaida kupee hasa ktk mazingira fulani ya woga au kutojiamini.
Binafsi ilishawahi kunitokea wakati nafanya mtihani wa Biology Practical (NECTA) Form 4, miaka kadhaa imepita sasa.
Pamoja na hayo, naona tatizo lako ni peculiar. Jaribu kutafuta msaada wa kitabibu mapema.
Oky,, nashukuru
 
Dogo wew unaonekana utakua na lita 1000 nakitu kama sikosei. sasa kwaushauri tafuta demu Uwe unapiga paipu ikiwezekana mara 5 kwa wiki. kumbuka kutumia kinga. laasivyo tutakuita baba kijacho. piga papuchi sana. hadi ziombe poo
Mmmh,,, huu ushauri c mchezo, so ni bora tu nianze kugegedan co!!
 
Back
Top Bottom