Msaada: Nina tatizo la Thyroids, nguvu za kiume zimepotea kabisa sina hamu ya kufanya mapenzi

Msaada: Nina tatizo la Thyroids, nguvu za kiume zimepotea kabisa sina hamu ya kufanya mapenzi

Nilikua namumivu makali upande wakulia washingo joto Kali siwezi kulala mapigo yamoyo mwenda mbio kusweti..nlivoenda MNH nkachekiwa nkakutwa hormones ya t3 Iko high na tsh Iko below nkaambiwa nna hyperthyroidism..nkapewa dawa carbimazole nkatumia miez mitatu ...baada ya miez3
kuja kupima Tena MNH nkakuta t3,t4 ziko normal ila TSH Iko high Iko nkaambiwa dawa zimenirudisha to hypothyroidism ....so nkapunguziwa dozi nkatumia baada ya miez miwili kuja kupima TSH,t3,t4 zote zikaja normal ndo tangu nimepima imepita miez 2 nasiku15
Ila Hali ya kukosa nguvu imekuepo kipindi chote Kuna wakati nafanikiwa sex vizir wakati mwingne nafeli kabisa nahamu imekua Sina ya sex naweza kaa wiki3 nkasex mara moja Tena kwakusua sua sana inasimama ikiwa ukeni ilala
Hilo ni tatizo la kisakolojia mkuu,nmefuatilia comments na mada zako za nyuma. Inaonyesha wazi unalo tatizo la nguvu za kiume hata kabla hujaleta mada ya kuumwa goiter.

Issue ya sex ni mindset mkuu, unahitaji kwanza kuiweka mental health katika hali nzuri,hyo hamu ya sex itakuja tu automatically
 
Unahitaji kutatua suala la akili (saikolojia) likae sawa. Hii ni mada yako ya 2021.

 
Kwa mujibu wa Mada zako,hili tatizo unalo tangu 2020. Pole sana mkuu.unatakiwa utibiwe saikolojia.

 
Nilikua namumivu makali upande wakulia washingo joto Kali siwezi kulala mapigo yamoyo mwenda mbio kusweti..nlivoenda MNH nkachekiwa nkakutwa hormones ya t3 Iko high na tsh Iko below nkaambiwa nna hyperthyroidism..nkapewa dawa carbimazole nkatumia miez mitatu ...baada ya miez3
kuja kupima Tena MNH nkakuta t3,t4 ziko normal ila TSH Iko high Iko nkaambiwa dawa zimenirudisha to hypothyroidism ....so nkapunguziwa dozi nkatumia baada ya miez miwili kuja kupima TSH,t3,t4 zote zikaja normal ndo tangu nimepima imepita miez 2 nasiku15
Ila Hali ya kukosa nguvu imekuepo kipindi chote Kuna wakati nafanikiwa sex vizir wakati mwingne nafeli kabisa nahamu imekua Sina ya sex naweza kaa wiki3 nkasex mara moja Tena kwakusua sua sana inasimama ikiwa ukeni ilala
Waone Urologist pale MNH upanga na Endocrinologist pale MNH Mloganzila.

Njoo inbox nikupe recommendations
 
Pole mkuu... Ilo tatizo ulilonalo ndio husababisha io hali kutokana na kuwepo kwa hormonal imbalance... Endelea na matibabu yako, utakapo tibika ukakaa sawa basi na io hali itaisha..
Ni vizuri pia kuongea na kupata ushauri kutoka kwa daktari wako,
jiandae kisaikolojia pia umjulishe mkeo juu ya sababu zinazopelekea kuwa na io hali...
Dahan
Sweetheart mawazo yako ni mazuri🤗🙏

Ila kuna sehem umeimiss kutoka kwa huyu Mgonjwa malembeka18 sorry tatizo alilonalo halihusiani na hormone imbalance🙅🙅🙅

Hypothyroidism anayosumbuliwa nayo imetokana na small gland iliyo located kwenye shingo zetu/yake na mda mwingine kwa Lugha ya Kitaalam iko na shape ya butterfly ikiwa highlated kwenye brain😊

Ambapo Meanwhile..at the base of the brain sits the pituitary gland.. which secretes the thyroid-stimulating hormone (TSH). TSH makes the thyroid produce and release thyroxine.. the main thyroid hormone and not hormone imbalance😊🙏
 
Habar wakuu msaada wenu tafdhali

Nimekua na tatizo la thyroids miez 7 sasa Niko ktk dozi....Hali imepekea kupungua sana kwa nguvu za kiume yaan shemeji yeni nkimuandaa Hali uume haujasimama ....

Uume ukisimama ukiingia ukeni pampu nne imelaliemo uume unalala ndani ya uke
Mkuu,
Uta kua na Tatizo lingine sio typhoid pekee
🤓🤓
 
Dahan
Sweetheart mawazo yako ni mazuri[emoji847][emoji120]

Ila kuna sehem umeimiss kutoka kwa huyu Mgonjwa malembeka18 sorry tatizo alilonalo halihusiani na hormone imbalance[emoji135][emoji135][emoji135]

Hypothyroidism anayosumbuliwa nayo imetokana na small gland iliyo located kwenye shingo zetu/yake na mda mwingine kwa Lugha ya Kitaalam iko na shape ya butterfly ikiwa highlated kwenye brain[emoji4]

Ambapo Meanwhile..at the base of the brain sits the pituitary gland.. which secretes the thyroid-stimulating hormone (TSH). TSH makes the thyroid produce and release thyroxine.. the main thyroid hormone and not hormone imbalance[emoji4][emoji120]
Ultrasound ilionyesha nna multinodular goiter pia nkafamyiwa fanc fine niddle aspiration kuona hivi vivimbe vina asili ipi kama nikansa au laa majibu nkaambiwa vinaasili ya tezi yenyewe
 
Pole mkuu.....

Relax kwanza mkuu,

Kuhusu hizo daw /za ugonjwa huo, zina uhusiano na kupunguza nguvu za kiume?


/Kaa na mke wako muelekez hali yako ya sasa

Jitahd kupumzk ata wiki 3

Tumia karanga/mihogo na mbegu za maboga
Fabya kegel exircse ...
Fanya mazoez ya kutembea hasa asubuhi na jion
Punguza kula kushba , kula mlokamili , mboga za majan kwa sana
 

malembeka18

Pambana upate among of these or both of them its among of the best cure😊

Probiotic Supplement​

Probiotics can help heal the gut and aid in nutrient absorption while reducing inflammation..Other benefits of a high-quality probiotic include helping to maintain a stronger immune system.. increasing energy from production of vitamin B12; reducing bacterial or viral growth in the gut such as candida; improving skin health and helping with appetite control and weight loss

Essential Oils​

To improve thyroid function and help treat symptoms of autoimmune disease..try some of these essential oil protocols on top of your hypothyroidism diet

  • Combine three drops of frankincense oil with five parts lemongrass oil and five parts clove oil. Rub these directly on the thyroid..which is located at the front lower part of your neck..You can also try putting two drops of frankincense oil on the roof of your mouth twice daily
  • Similarly..try rubbing two to four drops of lemongrass oil and myrrh directly on the thyroid area..along with the reflexology points on the feet (the big toes) and on the wrists multiple times per day
  • To combat muscle or joint pain..try a soothing bath using geranium..clove..myrrh and lemongrass oils
  • To fight fatigue..try a combination of peppermint and citrus oils..such as lemon and grapefruit
  • To improve your mood and reduce anxiety or irritability..use chamomile..frankincense and lavender oil.. either diffused in your home or added to a bath

Final Thoughts​

  • Hypothyroidism is a condition in which the thyroid gland is underactive and doesn’t properly make or release thyroid hormones
  • There is no cure for a hypothyroidism diagnosis, but there may be ways to naturally increase thyroid hormone production through dietary means
  • When your thyroid is underactive..your metabolism will slow down..which might mean you always feel tired or struggle to keep off weight
  • The hypothyroidism diet eliminates foods that can cause inflammation and immune reactions and instead focuses on foods that help heal the GI tract..balance hormones and reduce inflammation

Also check out low dose naltrexone as an add on therapy for thyroid issues.. It lowers autoimmune inflammation and help reduce the awful feeling that comes along with hypothyroidism😊

Psychologically- It led to Insomnia Frustration ..Isolation and Mental Disorder🤦Kubali tatizo lako then do as you advised..All the best😊🙏
 
Habar wakuu msaada wenu tafdhali

Nimekua na tatizo la thyroids miez 7 sasa Niko ktk dozi....Hali imepekea kupungua sana kwa nguvu za kiume yaan shemeji yeni nkimuandaa Hali uume haujasimama ....

Uume ukisimama ukiingia ukeni pampu nne imelaliemo uume unalala ndani ya uke

1: Ni kweli matatizo ya thyroid hypothyroidism vs hyperthyroidism yanayo nafasi ya kusababisha shida kwenye suala la tendobla ndoa. Dalili inaweza kujulikana pia mapema kabla ya kugunduliwa tatizo/thyroid issue.

2: Baadhi ya dawa zinazotumika kutibu hyperthyroidism kama beta blocker pia huleta shida husika.

3: Saikolojia yako pia inaweza kuwa na nafasi ya kuliongezea hili tatizo. Kwani ukishang'atwa na nyoka hata ukigusa ujani tu unaruka.

NB: Onana na mtaalamu wako wa afya kwa ushauri zaidi wa afya yako na tatizo husika.
 
1: Ni kweli matatizo ya thyroid hypothyroidism vs hyperthyroidism yanayo nafasi ya kusababisha shida kwenye suala la tendobla ndoa. Dalili inaweza kujulikana pia mapema kabla ya kugunduliwa tatizo/thyroid issue.

2: Baadhi ya dawa zinazotumika kutibu hyperthyroidism kama beta blocker pia huleta shida husika.

3: Saikolojia yako pia inaweza kuwa na nafasi ya kuliongezea hili tatizo. Kwani ukishang'atwa na nyoka hata ukigusa ujani tu unaruka.

NB: Onana na mtaalamu wako wa afya kwa ushauri zaidi wa afya yako na tatizo husika.
Mtaalamu wangu wa afya aliniambia tu tatizo hili pia linachangia upate shida ya kupungukiwa nguvu zakiume na libido kuwa chini hajanipa msaada nipeni msaada
 
1: Ni kweli matatizo ya thyroid hypothyroidism vs hyperthyroidism yanayo nafasi ya kusababisha shida kwenye suala la tendobla ndoa. Dalili inaweza kujulikana pia mapema kabla ya kugunduliwa tatizo/thyroid issue.

2: Baadhi ya dawa zinazotumika kutibu hyperthyroidism kama beta blocker pia huleta shida husika.

3: Saikolojia yako pia inaweza kuwa na nafasi ya kuliongezea hili tatizo. Kwani ukishang'atwa na nyoka hata ukigusa ujani tu unaruka.

NB: Onana na mtaalamu wako wa afya kwa ushauri zaidi wa afya yako na tatizo husika.
Baadhi ya dawa kama zipi hizo zabeter blocker zinaweza kuchangia tatizo la nguvu zakiume nidawa zipi hizo
 
Back
Top Bottom