Msaada: Nina tatizo la Thyroids, nguvu za kiume zimepotea kabisa sina hamu ya kufanya mapenzi

Msaada: Nina tatizo la Thyroids, nguvu za kiume zimepotea kabisa sina hamu ya kufanya mapenzi

Baadhi ya dawa kama zipi hizo zabeter blocker zinaweza kuchangia tatizo la nguvu zakiume nidawa zipi hizo
Atenelol/metoprolol/Carvediol/Propranalol nk.

Inategemea kama kulikuwa na haja ya kutumia. Ingawa kama ulipewa hautakiwi kuacha, ni muhimu mpaka mambo ya homoni yakiwa sawa.
 
Atenelol/metoprolol/Carvediol/Propranalol nk.

Inategemea kama kulikuwa na haja ya kutumia. Ingawa kama ulipewa hautakiwi kuacha, ni muhimu mpaka mambo ya homoni yakiwa sawa.
Ktk hizo nilipewa propranalol sababu ya mapiga ya moyo kuwa juu nkatumia mwezi baada yamajibu namapigo ya moyo kuwa sawa dokta akanambia niache kutumia
 
Mtaalamu wangu wa afya aliniambia tu tatizo hili pia linachangia upate shida ya kupungukiwa nguvu zakiume na libido kuwa chini hajanipa msaada nipeni msaada
1: Zingatia tiba yako ya kurejesha homoni sawa kwani ndio chanzo.
Ktk hizo nilipewa propranalol sababu ya mapiga ya moyo kuwa juu nkatumia mwezi baada yamajibu namapigo ya moyo kuwa sawa dokta akanambia niache kutumia

2: Ni muhimu kuendelea mpaka mambo yawe sawa.

3: Fanya mazoezi mepesi/aerobics.

4: Zingatia mlo kamili, usioathiri tatizo la msingi.

5: Pata ushauri toka kwa mwanasaikolojia ili kukabiliana vyema na haya yote.
 
Nina mashine ya presha ambapo Kila baada ya siku tatu napima na mapigo ya moyo Yako normal hapa vip
 
Tiba ya kurejesha hormones naendelea nayo Kila siku kwamiez7 Hadi sana natumia nusu kidonge Cha carbimazole
 
Mkuu hivi nikila vitasaidia maana nna ugonjwa thyroids hypor or hayper ambao umepelekea kuwa na upungufu wa nguvu zakiume
Mkuu wewe una hypothyroidism ungekua na hyperthyroidism shem angeomba poo
Ila usijali utakaa Sawa na mambo yatarud kama zaman
 
1: Zingatia tiba yako ya kurejesha homoni sawa kwani ndio chanzo.


2: Ni muhimu kuendelea mpaka mambo yawe sawa.

3: Fanya mazoezi mepesi/aerobics.

4: Zingatia mlo kamili, usioathiri tatizo la msingi.

5: Pata ushauri toka kwa mwanasaikolojia ili kukabiliana vyema na haya yote.
Mlo kamili usioathiri tatizo la msingi nikama upi
 
Mkuu wewe una hypothyroidism ungekua na hyperthyroidism shem angeomba poo
Ila usijali utakaa Sawa na mambo yatarud kama zaman
Mwanzoni kabisa wakati napewa majibu mlogazila daktar waliniambia Nina hyperthyroidism ila ashki zasex zilikuepo vizir mpaka kufikia miez 2 yakurumia dozi Sasa kurud clinic Tena kupimwa ugonjwa ukarudi to hypo ambayo hypo imesabishwa na dozi so daktar akarecormend ni scale range tu baadhi zilizokua normal zimeturn to high na baadhi zilizokua high zimeturn to low so acarecomend kupunguza dozi ili zije ziwe in normal range lakini ikiwa ni hypo due to dose
 
Nilikua namumivu makali upande wakulia washingo joto Kali siwezi kulala mapigo yamoyo mwenda mbio kusweti..nlivoenda MNH nkachekiwa nkakutwa hormones ya t3 Iko high na tsh Iko below nkaambiwa nna hyperthyroidism..nkapewa dawa carbimazole nkatumia miez mitatu ...baada ya miez3
kuja kupima Tena MNH nkakuta t3,t4 ziko normal ila TSH Iko high Iko nkaambiwa dawa zimenirudisha to hypothyroidism ....so nkapunguziwa dozi nkatumia baada ya miez miwili kuja kupima TSH,t3,t4 zote zikaja normal ndo tangu nimepima imepita miez 2 nasiku15
Ila Hali ya kukosa nguvu imekuepo kipindi chote Kuna wakati nafanikiwa sex vizir wakati mwingne nafeli kabisa nahamu imekua Sina ya sex naweza kaa wiki3 nkasex mara moja Tena kwakusua sua sana inasimama ikiwa ukeni ilala
Jitibu KWA asali mbichi na maji moto mkuu!

Yaani chemsha maji weka KWA chupa !

Chukua Kikombe cha nusu lita weka maji moto HADI kijae kias halafu weka vijiko vitatu au vinne vya asali changanya kunywa asubuhi na jioni ACHANA na sukari ya kawaida kabisa mkuu!utanishukuru baadae!

ACHANA na dawa hizo zitafanya sumu keep nao mwilini mkuu na utapata shida baadae!!
 
Dahan
Sweetheart mawazo yako ni mazuri🤗🙏

Ila kuna sehem umeimiss kutoka kwa huyu Mgonjwa malembeka18 sorry tatizo alilonalo halihusiani na hormone imbalance🙅🙅🙅

Hypothyroidism anayosumbuliwa nayo imetokana na small gland iliyo located kwenye shingo zetu/yake na mda mwingine kwa Lugha ya Kitaalam iko na shape ya butterfly ikiwa highlated kwenye brain😊

Ambapo Meanwhile..at the base of the brain sits the pituitary gland.. which secretes the thyroid-stimulating hormone (TSH). TSH makes the thyroid produce and release thyroxine.. the main thyroid hormone and not hormone imbalance😊🙏

Basically ni hormone/s imbalance at the end TRH vs TSH vs T3 vs T4 etc.
 
Mwanzoni kabisa wakati napewa majibu mlogazila daktar waliniambia Nina hyperthyroidism ila ashki zasex zilikuepo vizir mpaka kufikia miez 2 yakurumia dozi Sasa kurud clinic Tena kupimwa ugonjwa ukarudi to hypo ambayo hypo imesabishwa na dozi so daktar akarecormend ni scale range tu baadhi zilizokua normal zimeturn to high na baadhi zilizokua high zimeturn to low so acarecomend kupunguza dozi ili zije ziwe in normal range lakini ikiwa ni hypo due to dose
Nakuelewa sasa hapo tumia dawa ufike kwenye normal range
Muda mwingine kutibu hypo ni rahisi kulko hyper
 
Jitibu KWA asali mbichi na maji moto mkuu!

Yaani chemsha maji weka KWA chupa !

Chukua Kikombe cha nusu lita weka maji moto HADI kijae kias halafu weka vijiko vitatu au vinne vya asali changanya kunywa asubuhi na jioni ACHANA na sukari ya kawaida kabisa mkuu!utanishukuru baadae!

ACHANA na dawa hizo zitafanya sumu keep nao mwilini mkuu na utapata shida baadae!!
Ni vyema kujua kuwa asali ina Iodine ndani yake, madini ambayo ni muhimu kuchukuliwa kwa kiasi kwa mgonjwa wa aina hii. Ni kama unazima moto ukimwagilia matone ya petroli.
 
Ni vyema kujua kuwa asali ina Iodine ndani yake, madini ambayo ni muhimu kuchukuliwa kwa kiasi kwa mgonjwa wa aina hii. Ni kama unazima moto ukimwagilia matone ya petroli.
Kwaiyo mim natakiwa Nile vyakula vyenye iodine au visivyo na iodine
 
Kwaiyo mim natakiwa Nile vyakula vyenye iodine au visivyo na iodine

Unatakiwa kula vyakula ambavyo kiasi chake cha Iodine ni mlinganyo/kidogo kulingana na kiasi cha tatizo. Hii utaifanya kwa kuhusisha daktari wa tatizo lako na daktari bingwa wa chakula/dietician.

Pia soma👇
 
kama upo Kigoma njoo nikupe dawa itakusaidia japo inabidi kila baada ya miezi sita uwe unaitumia, ni dawa ya asili za kiarabu.
 
Back
Top Bottom