Hii nayo ni moja ya chanzo. Uko sahh sanaWatu waliokulea mpaka unakuwa mkubwa watakuwa walikulea Kwa kukukaripia na kukugombeza hovyohovyo ndo maana unakuwa na hiyo hali. Fanya uchunguzi. Watoto wa wazungu Wanajiamini hata wanaweza kuimba mbele ya jukwaa kubwa la watu. Lakini watoto wa kibongo ni kukaripiwa Mda wote.
Zinapatikana wapi mkuu?
Asilimia 80 chanzo ni malezi .Kwa hiyo mkuu unamaanisha malezi ya naweza sababisha tatizo hili?
Shukrani sana mkuu[emoji1666][emoji1666]Kwenye pharmacy kubwa kubwa. Ila kabla ya kununua nenda hospital daktari akucheki level yako kama ni kubwa au kidogo ndo atachagua akupe ipi kati ya hizo na kwa kiwango gani. Ila zinasaidia mno. Ndani ya mwezi tu.
Achen hiz habar..wanangu wanapozingua nawafokea kishenzi. Sema pia na socialize nao vya kutosha ila sekunde wakizingua nawageuzia kibao na wako fresh tu. Na mimi nililelewa hivyo na sina shida hiyo.Watu waliokulea mpaka unakuwa mkubwa watakuwa walikulea Kwa kukukaripia na kukugombeza hovyohovyo ndo maana unakuwa na hiyo hali. Fanya uchunguzi. Watoto wa wazungu Wanajiamini hata wanaweza kuimba mbele ya jukwaa kubwa la watu. Lakini watoto wa kibongo ni kukaripiwa Mda wote.
Aya bana[emoji1787][emoji1787][emoji1787]miaka 22 bado mdogo usiwaze sana dogo utakaa sawa tu. ngoja mb.oo ianze kusumbua utawatafuta madem mwenyewe na kutongoza ovyoovyo laivu bila cheng na fulu kujiamini. ila acha au punguza kujichua (nyeto) kwanza