christophany
Member
- Apr 6, 2024
- 12
- 44
Habari Wana JF, Naomba Ushauri
Niende moja kwa moja kwenye hitaji langu.
Mwezi wa saba nilipatwa na uvimbe ghafla upande wa kulia wa shavu chini ya sikio. Uvimbe ulikuwa mdogo na haukuwa na maumivu yoyote hadi nilipougusa na kuuminya minya, hivyo nikaamua kuupuuza.
Hata hivyo, baada ya miezi miwili, uvimbe ule uliongezeka na kuwa mkubwa, kiasi cha kuonekana kama mtu aliweka nyama mdomoni upande wa shavu kwa ndani.
Nikaenda hospitali na kumweleza daktari hali yangu. Alieleza kwamba ni tezi tu, jambo ambalo linatokea kitaalamu, na mwisho akanipa vidonge vifuatavyo:
1. Ampricox
2. Ibuprofen
3. Prednisone
Naomba ushauri wenu juu ya hili.
lakini hizo dawa nimetumia na Bado ivimbe uko pale pale
naomba Kwa mwenye kujua dawa ambayo inaweza nisaidia , haijalishi ni ya hospital au ya mitishamba lengo langu huu uvimbe utoke maana umeniharibia Hadi mwonekano.
sijaweka picha nimejaribu kupiga ila hazina muonekano mzuri ila naamini maelezo yameeleweka. Asanten
Niende moja kwa moja kwenye hitaji langu.
Mwezi wa saba nilipatwa na uvimbe ghafla upande wa kulia wa shavu chini ya sikio. Uvimbe ulikuwa mdogo na haukuwa na maumivu yoyote hadi nilipougusa na kuuminya minya, hivyo nikaamua kuupuuza.
Hata hivyo, baada ya miezi miwili, uvimbe ule uliongezeka na kuwa mkubwa, kiasi cha kuonekana kama mtu aliweka nyama mdomoni upande wa shavu kwa ndani.
Nikaenda hospitali na kumweleza daktari hali yangu. Alieleza kwamba ni tezi tu, jambo ambalo linatokea kitaalamu, na mwisho akanipa vidonge vifuatavyo:
1. Ampricox
2. Ibuprofen
3. Prednisone
Naomba ushauri wenu juu ya hili.
lakini hizo dawa nimetumia na Bado ivimbe uko pale pale
naomba Kwa mwenye kujua dawa ambayo inaweza nisaidia , haijalishi ni ya hospital au ya mitishamba lengo langu huu uvimbe utoke maana umeniharibia Hadi mwonekano.
sijaweka picha nimejaribu kupiga ila hazina muonekano mzuri ila naamini maelezo yameeleweka. Asanten