Msaada nina uvimbe shavuni nimetumia dawa lakini haujapungua

Msaada nina uvimbe shavuni nimetumia dawa lakini haujapungua

christophany

Member
Joined
Apr 6, 2024
Posts
12
Reaction score
44
Habari Wana JF, Naomba Ushauri

Niende moja kwa moja kwenye hitaji langu.

Mwezi wa saba nilipatwa na uvimbe ghafla upande wa kulia wa shavu chini ya sikio. Uvimbe ulikuwa mdogo na haukuwa na maumivu yoyote hadi nilipougusa na kuuminya minya, hivyo nikaamua kuupuuza.

Hata hivyo, baada ya miezi miwili, uvimbe ule uliongezeka na kuwa mkubwa, kiasi cha kuonekana kama mtu aliweka nyama mdomoni upande wa shavu kwa ndani.

Nikaenda hospitali na kumweleza daktari hali yangu. Alieleza kwamba ni tezi tu, jambo ambalo linatokea kitaalamu, na mwisho akanipa vidonge vifuatavyo:

1. Ampricox
2. Ibuprofen
3. Prednisone

Naomba ushauri wenu juu ya hili.

lakini hizo dawa nimetumia na Bado ivimbe uko pale pale

naomba Kwa mwenye kujua dawa ambayo inaweza nisaidia , haijalishi ni ya hospital au ya mitishamba lengo langu huu uvimbe utoke maana umeniharibia Hadi mwonekano.

sijaweka picha nimejaribu kupiga ila hazina muonekano mzuri ila naamini maelezo yameeleweka. Asanten
 
Habarini Wana JF niende Moja Kwa Moja Kwenye hitaji langu.
Mwezi wa Saba nilipatwa na uvimbe gafla tu bila kufanya chochote upande wa kulia wa shavu chini ya sikio na ulikuwa uvimbe mdogo tu usio na maumivu yoyote Hadi uushike na kuuminya Minya, hivyo nikaupotezea
Ila baada ya muda wa miez kama miwili uvimbe ule umekuwa mkubwa ni kama vile mtu ameweka nyama mdomoni upande wa shavu Kwa ndani.
Nikaamua kwenda hospital kumweleza Dr, akanielekeza kwamba ni tezi tu Huwa zinatokea kitaalamu n.k mwisho akaniandikia vidonge Fulani nitumie ambavyo ni:-
1:ampricox
2:Ibuprofen
3😛redilone

lakini hizo dawa nimetumia na Bado ivimbe uko pale pale

naomba Kwa mwenye kujua dawa ambayo inaweza nisaidia , haijalishi ni ya hospital au ya mitishamba lengo langu huu uvimbe utoke maana umeniharibia Hadi mwonekano.

sijaweka picha nimejaribu kupiga ila hazina muonekano mzuri ila naamini maelezo yameeleweka. Asanten
Go Hospital and check for Cancer😭
 
Habari Wana JF, Naomba Ushauri

Niende moja kwa moja kwenye hitaji langu.

Mwezi wa saba nilipatwa na uvimbe ghafla upande wa kulia wa shavu chini ya sikio. Uvimbe ulikuwa mdogo na haukuwa na maumivu yoyote hadi nilipougusa na kuuminya minya, hivyo nikaamua kuupuuza.

Hata hivyo, baada ya miezi miwili, uvimbe ule uliongezeka na kuwa mkubwa, kiasi cha kuonekana kama mtu aliweka nyama mdomoni upande wa shavu kwa ndani.

Nikaenda hospitali na kumweleza daktari hali yangu. Alieleza kwamba ni tezi tu, jambo ambalo linatokea kitaalamu, na mwisho akanipa vidonge vifuatavyo:

1. Ampricox
2. Ibuprofen
3. Prednisone

Naomba ushauri wenu juu ya hili.

lakini hizo dawa nimetumia na Bado ivimbe uko pale pale

naomba Kwa mwenye kujua dawa ambayo inaweza nisaidia , haijalishi ni ya hospital au ya mitishamba lengo langu huu uvimbe utoke maana umeniharibia Hadi mwonekano.

sijaweka picha nimejaribu kupiga ila hazina muonekano mzuri ila naamini maelezo yameeleweka. Asanten
Kama doctor alikusudia mumps (tezi) basi huwa haikai muda wote huo. Tezi mpk 2 weeks inakuwa ishapotea na hamna tena maumivu.
Nenda tena hospital nyengine. Pengine kuna kitu ndani labda usaha au nyama (mafuta) yameotea kwa ndani. Majipu mengine huwa hayana kichwa. Yanafanya kama tezi. Unaweza ukafanyiwa minor operation. Lkn ni bora kwenda hospital kuliko kufuga maradhi
 
Cancer Tena mkuu mbona unaanza kunitisha?
Yes mara nyingi Uvimbe kama huu unaosema ambao auna maumivu inaweza kuwa ni Cancer- So nende hospital watachukuwa kipande cha huo uvimbe na kukipima kisha watajua! Usikae na huo uvimbe muda mrefu_ Go and have proper medical checkup ndugu- Atutishani ila ukweli lazima usemwe
 
Yes mara nyingi Uvimbe kama huu unaosema ambao auna maumivu inaweza kuwa ni Cancer- So nende hospital watachukuwa kipande cha huo uvimbe na kukipima kisha watajua! Usikae na huo uvimbe muda mrefu_ Go and have proper medical checkup ndugu- Atutishani ila ukweli lazima usemwe
Majipu tu hayo unasema kansa aisee..
 
Majipu tu hayo unasema kansa aisee..
Hapa tupo tuna mshauri kutokana na yeye alivyoelezea- akuna jipu lisilouma: Uvimbe bila maumivu mara ingine uwa ni Cancer , pia hapa wote ni wapiga ramri kikubwa aende Hospital wampime ijulikane uvimbe wake ni nini! Ata akushauriwa na watu 1 M - ukweli utajulikana pale atakapoenda hospital na kupima
 
Hapa tupo tuna mshauri kutokana na yeye alivyoelezea- akuna jipu lisilouma: Uvimbe bila maumivu mara ingine uwa ni Cancer , pia hapa wote ni wapiga ramri kikubwa aende Hospital wampime ijulikane uvimbe wake ni nini! Ata akushauriwa na watu 1 M - ukweli utajulikana pale atakapoenda hospital na kupima
Waswahili bhana unatamani mzala awe na Kansa aisee...yaani uvimbe kidogo tu kansa hiyo watu wote wangekua na Kansa basi..
 
Yes mara nyingi Uvimbe kama huu unaosema ambao auna maumivu inaweza kuwa ni Cancer- So nende hospital watachukuwa kipande cha huo uvimbe na kukipima kisha watajua! Usikae na huo uvimbe muda mrefu_ Go and have proper medical checkup ndugu- Atutishani ila ukweli lazima usemwe
Unaongea upuuzi mtupu, unazijua sifa za malignant tumor? Usipende kuelezea ishu zinazohusu afya ya maisha ya mtu kama wewe sio tabibu. Unakuja kumwingiza mtu ktk hofu ambayo inaweza ikaja kumpoteza kuliko tatizo halisi alilokuwa nalo.
 
Polee
Nenda tu hosp
Miaka ya 90 mwanzoni nilipata uvimbe chini ya kwapa mkono wa kuume, niliogopa.

Nikaenda kwenye maombi ya Kakobe pale Mbeya, miaka hiyo mnasikiliza mahubiri kupitia redio,

Niliombewa, ule uvimbe ulibaki vile vile, ukawa unaisha kidogo kidogo.

Sometimes imani inaponya.
 
Habari Wana JF, Naomba Ushauri

Niende moja kwa moja kwenye hitaji langu.

Mwezi wa saba nilipatwa na uvimbe ghafla upande wa kulia wa shavu chini ya sikio. Uvimbe ulikuwa mdogo na haukuwa na maumivu yoyote hadi nilipougusa na kuuminya minya, hivyo nikaamua kuupuuza.

Hata hivyo, baada ya miezi miwili, uvimbe ule uliongezeka na kuwa mkubwa, kiasi cha kuonekana kama mtu aliweka nyama mdomoni upande wa shavu kwa ndani.

Nikaenda hospitali na kumweleza daktari hali yangu. Alieleza kwamba ni tezi tu, jambo ambalo linatokea kitaalamu, na mwisho akanipa vidonge vifuatavyo:

1. Ampricox
2. Ibuprofen
3. Prednisone

Naomba ushauri wenu juu ya hili.

lakini hizo dawa nimetumia na Bado ivimbe uko pale pale

naomba Kwa mwenye kujua dawa ambayo inaweza nisaidia , haijalishi ni ya hospital au ya mitishamba lengo langu huu uvimbe utoke maana umeniharibia Hadi mwonekano.

sijaweka picha nimejaribu kupiga ila hazina muonekano mzuri ila naamini maelezo yameeleweka. Asanten
Kwa msaada zaidi kafanyiwe vipimo kwenye hospitali,
Kama ulienda hospitali ya ngazi ya chini mfano zahanati nakushauri uende hospitali ya ngazi ya juu kwa vipimo na uchunguzi zaidi.
 
Inaweza pia ikawa Nephrotic syndrome japo huwa inaambatana na mkojo wenye povu, macho kuvimba na vifundo vya miguu.
Jaribu kwenda hospital kubwa angalau ku-check zaidi huwa ina uhusiano na figo kutokuwa sawa na inapelekea aedema sehemu za mwili kutokana na ku-fail kwa water and salt pressure balance.

Pole sana mkuu but relax, ikimbie hofu.
/Sitanii:
 
Habari Wana JF, Naomba Ushauri

Niende moja kwa moja kwenye hitaji langu.

Mwezi wa saba nilipatwa na uvimbe ghafla upande wa kulia wa shavu chini ya sikio. Uvimbe ulikuwa mdogo na haukuwa na maumivu yoyote hadi nilipougusa na kuuminya minya, hivyo nikaamua kuupuuza.

Hata hivyo, baada ya miezi miwili, uvimbe ule uliongezeka na kuwa mkubwa, kiasi cha kuonekana kama mtu aliweka nyama mdomoni upande wa shavu kwa ndani.

Nikaenda hospitali na kumweleza daktari hali yangu. Alieleza kwamba ni tezi tu, jambo ambalo linatokea kitaalamu, na mwisho akanipa vidonge vifuatavyo:

1. Ampricox
2. Ibuprofen
3. Prednisone

Naomba ushauri wenu juu ya hili.

lakini hizo dawa nimetumia na Bado ivimbe uko pale pale

naomba Kwa mwenye kujua dawa ambayo inaweza nisaidia , haijalishi ni ya hospital au ya mitishamba lengo langu huu uvimbe utoke maana umeniharibia Hadi mwonekano.

sijaweka picha nimejaribu kupiga ila hazina muonekano mzuri ila naamini maelezo yameeleweka. Asanten

Pole sana.

Nenda hospital ukafanyiwe vipimo zaidi hasa ultrasound nk ili kujua ni aina gani ya uvimbe ili upatiwe matibabu sahihi.
Kila lakheri.
 
Back
Top Bottom