mdalla 1
Senior Member
- Aug 11, 2014
- 120
- 20
Ndugu zangu,
Nina tatizo la vidude vimenitoka kwenye uume, awali nilikuwa nikifanya mapenzi na mpenzi wangu nachubuka kwenye shina la uume imeendelea kuwa hivyo kwa muda.
Kwa sasa nipo mbali na mpenzi wangu sasa zile sehemu nilizokuwa nachubuka ndio kumetokea vipele ambavyo ni vigumu yaani nikivitumbua vinatoa damu nyingi.
Nini tatizo jamani?
Nina tatizo la vidude vimenitoka kwenye uume, awali nilikuwa nikifanya mapenzi na mpenzi wangu nachubuka kwenye shina la uume imeendelea kuwa hivyo kwa muda.
Kwa sasa nipo mbali na mpenzi wangu sasa zile sehemu nilizokuwa nachubuka ndio kumetokea vipele ambavyo ni vigumu yaani nikivitumbua vinatoa damu nyingi.
Nini tatizo jamani?