Msaada: Ninafika kileleni ndani ya dakika 1

Msaada: Ninafika kileleni ndani ya dakika 1

Mimi hasa bao la kwanza nikiona kwa mbali linakuja then nahamisha akili Yangu kabisa naipeleka kwenye kitu ambacho hakihusiani kabisa na tukio lile kama mechi ya mpira ambayo timu Yangu imefungwa...au tukio lolote tu basi hapo naweza kwenda hata dakika 20 kwa style hiyo
Mkuu hayo mambo inaweza ikazima mazima!mpira habari nyingine ,mi chama langu likidundwa natafuta kona yangu kitandani kulala waifu naye ya kwake no hamu at all!
 
Mimi hasa bao la kwanza nikiona kwa mbali linakuja then nahamisha akili Yangu kabisa naipeleka kwenye kitu ambacho hakihusiani kabisa na tukio lile kama mechi ya mpira ambayo timu Yangu imefungwa...au tukio lolote tu basi hapo naweza kwenda hata dakika 20 kwa style hiyo
Big like!!! Uko sahihi!!
 
Jombaa fanya haya utaenjoy sana, Pendelea kula tikitimaji kwa wingi kabla ya kukutana na mwenza,pili tumia asali sana hii inakupa nguvu mara dufu.
 
maziwa kikombe kimoja+vijiko v3 vya asali mbichi kunywa x3 per day. pia hilo tikiti maji ucache kutafuna zile tunda zake
Heshima itarud tu kama Lowassa ndani ya CDM
 
Back
Top Bottom