Msaada Nissan xtrail inajizima sana

Msaada Nissan xtrail inajizima sana

a
Wakuu poleni na majukumu,

Naomba msaada wenu Gar yangu imekua na Tatizo la kuzima ninapokua naendesha na huwasha taa za check engine, taa ya gear box, handbreak na kadhalika lakini ikijizima naisha hapo hapo na inawaka bila shida naendelea na safari mpaka itakapo jizima tena.

Kwahiyo nilikua naomba kwa mwenye uelewa anisaidie mana nataka nilijue tatizo kabla sijaenda kwa fundi kuogopa kupigwa hela nyingi maana uchumi wenyewe kama mnavyoujua
Matatizo yanaweza kuwa mengi lakini kwa haraka haraka! k

angalia mfumo wa mafuta kwenye gari yako, kwa kiasi kikubwa hili linaweza kuwa chanzo. Anza na pump, kisha pipes na uchomaji wa mafuta. Kuna uwezekano mkubwa kuna muda mafuta hayafiki au yanafika kiasi kidogo so gari linazima, ukiwasha linawaka.

lakini pia nashauri uweke maelezo zaidi ili kujua
1. je gari unavyoendesha linakuwa lina-mis?
2.. gari ukisimama inatetemeke?
3. Je inazima ukiwa katikati ya safari au ukiwa umeweka N/P?
 
a

Matatizo yanaweza kuwa mengi lakini kwa haraka haraka! k

angalia mfumo wa mafuta kwenye gari yako, kwa kiasi kikubwa hili linaweza kuwa chanzo. Anza na pump, kisha pipes na uchomaji wa mafuta. Kuna uwezekano mkubwa kuna muda mafuta hayafiki au yanafika kiasi kidogo so gari linazima, ukiwasha linawaka.

lakini pia nashauri uweke maelezo zaidi ili kujua
1. je gari unavyoendesha linakuwa lina-mis?
2.. gari ukisimama inatetemeke?
3. Je inazima ukiwa katikati ya safari au ukiwa umeweka N/P?
Ikiwa katikati ya safar
 
Wakuu poleni na majukumu,

Naomba msaada wenu Gar yangu imekua na Tatizo la kuzima ninapokua naendesha na huwasha taa za check engine, taa ya gear box, handbreak na kadhalika lakini ikijizima naisha hapo hapo na inawaka bila shida naendelea na safari mpaka itakapo jizima tena.

Kwahiyo nilikua naomba kwa mwenye uelewa anisaidie mana nataka nilijue tatizo kabla sijaenda kwa fundi kuogopa kupigwa hela nyingi maana uchumi wenyewe kama mnavyoujua
Hii gari yako itakuwa ina shida zaidi ya 1 cha msingi tafuta fundi mzuri kama JituMirabaMinne, master magari ila hela lazima zikutoke hapo
 
Wakuu poleni na majukumu,

Naomba msaada wenu Gar yangu imekua na Tatizo la kuzima ninapokua naendesha na huwasha taa za check engine, taa ya gear box, handbreak na kadhalika lakini ikijizima naisha hapo hapo na inawaka bila shida naendelea na safari mpaka itakapo jizima tena.

Kwahiyo nilikua naomba kwa mwenye uelewa anisaidie mana nataka nilijue tatizo kabla sijaenda kwa fundi kuogopa kupigwa hela nyingi maana uchumi wenyewe kama mnavyoujua
Inazima ghafla au inaanza kumisi ndio inazima!?
 
Kuna jamaa katika kuoshwa, engine iliingia maji ndio tatizo kama hilo likaanza

Subiri boda boda wa JF wapaki, watakuja kuharibu huu uzi, hawa watu akili zao ni Mabisi,
Wanadhani kila mtu mpiga kiki
Kwani boda boda tumekukosea nini mkuu😂😂😂😂
 
Wakuu poleni na majukumu,

Naomba msaada wenu Gar yangu imekua na Tatizo la kuzima ninapokua naendesha na huwasha taa za check engine, taa ya gear box, handbreak na kadhalika lakini ikijizima naisha hapo hapo na inawaka bila shida naendelea na safari mpaka itakapo jizima tena.

Kwahiyo nilikua naomba kwa mwenye uelewa anisaidie mana nataka nilijue tatizo kabla sijaenda kwa fundi kuogopa kupigwa hela nyingi maana uchumi wenyewe kama mnavyoujua
Peleka wakufanyie diagnosis na mashine
 
Wakuu poleni na majukumu,

Naomba msaada wenu Gari yangu imekuwa na Tatizo la kuzima ninapokuwa naendesha na huwasha taa za check engine, taa ya gear box, handbreak na kadhalika lakini ikijizima naisha hapo hapo na inawaka bila shida naendelea na safari mpaka itakapojizima tena.

Kwahiyo nilikuwa naomba kwa mwenye uelewa anisaidie maana nataka nilijue tatizo kabla sijaenda kwa fundi kuogopa kupigwa hela nyingi maana uchumi wenyewe kama mnavyoujua.
Safii
 
Back
Top Bottom