Msaada: Njia rahisi za kupunguza mwili

Msaada: Njia rahisi za kupunguza mwili

Wazee huwa mnaniacha hoi... mimi natafuta hizo kilo hazipatikani.

Unene ni mzigo bro.

Mimi nanenepa tu situmii sana vitu vya sukari, mafuta sio mlaji sana labda kwasababu sifugagi mademu pasua vichwa.

Nagawa nguo zangu kibao kwasababu ya hili li mwili.
 
Unene sio mzuri aisee Kabisaaa.

Nimenenepa kirahisi kukonda ni ishu
Hilo ni kweli ila naona nimeshuka nataka kuongeza angalau nikaribie 80(nikaribie nisifike).

Mimi napenda vitu vya sukari saana. Nina sweet-teeth..Vi yoghurt, keki keki, soda, wine,...

lakini kilo nazotaka hazifiki... nile nini?

Kunywa bia sana ahaaa.
 
Shukrani... nitaanza na hilo.. si naweka kwenya mboga kama kawaida au naitumiaje?
Yap
weka kwenye mboga wakati wa kula, usiipikiemo, ukiipikia kwenye mboga unaua nutrients zote.
Pia waweza weka kwenye juice na vinginevyo.

Kiasi kidogo tu cha kinatosha, sio lazima uweke nyingi sana mpaka ikolee ibadili rangi ya chakula.

Kazi yake ni kuchoma white fat deposit(wengi wanaita kitambi) ila kiutaalamu ni akiba ya mafuta meupe ya mwili, ili yawe brown fat ambayo ndiyo mwili hutumia kuzalishia energy.

Usishangae ndani ya siku mbili tatu tabia ya kula kula hovyo hovyo kila kinachokatiza mbele yako ikakata automatically.
 
Yap
weka kwenye mboga wakati wa kula, usiipikiemo, ukiipikia kwenye mboga unaua nutrients zote.
Pia waweza weka kwenye juice na vinginevyo.

Kiasi kidogo tu cha kinatosha, sio lazima uweke nyingi sana mpaka ikolee ibadili rangi ya chakula.

Kazi yake ni kuchoma white fat deposit(wengi wanaita kitambi) ila kiutaalamu ni akiba ya mafuta meupe ya mwili, ili yawe brown fat ambayo ndiyo mwili hutumia kuzalishia energy.

Usishangae ndani ya siku mbili tatu tabia ya kula kula hovyo hovyo kila kinachokatiza mbele yako ikakata automatically.
Shukrani.. nitaitumia
 
Jamani me nina kilo 80 nahitaji kupunguza kwa haraka ninafanya mazoezi ya kukimbia huwa na zunguruka wanja mara 6 kwa siku ila ndani ya wiki mbili nipunguza kilo 1 tu hv hakuna njia za kupunguza mwili kwa haraka zaidi nimechoka na huu mwili
Punguza kula vyakula vya sukari, vilivyokaangwa kwa mafuta na wanga mfano wali, ugali n.k

Kula mboga za majani kama kabeji kwa wingi

Kunywa maji mengi

Fanya mazoezi, hakikisha yawe mazoezi ambayo yatakutoa jasho

NB: Kufanya mazoezi bila kuzingatia chakula kizuri (healthy diet) ni sawa na kujaza maji kwenye gunia.

Asante kwa kunielewa.
 
Yap
weka kwenye mboga wakati wa kula, usiipikiemo, ukiipikia kwenye mboga unaua nutrients zote.
Pia waweza weka kwenye juice na vinginevyo.

Kiasi kidogo tu cha kinatosha, sio lazima uweke nyingi sana mpaka ikolee ibadili rangi ya chakula.

Kazi yake ni kuchoma white fat deposit(wengi wanaita kitambi) ila kiutaalamu ni akiba ya mafuta meupe ya mwili, ili yawe brown fat ambayo ndiyo mwili hutumia kuzalishia energy.

Usishangae ndani ya siku mbili tatu tabia ya kula kula hovyo hovyo kila kinachokatiza mbele yako ikakata automatically.
cc MziziMkavu kuna ukweli hapa mkuu?
 
round 6 chache sana, ongeza mda wa kufanya mazoez walau dk30 kila siku na kisha baada ya apo jinyime kula na kunywa hata maji pungza kunywa baada ya mazoez utaona changes..
 
Jamani me nina kilo 80 nahitaji kupunguza kwa haraka ninafanya mazoezi ya kukimbia huwa na zunguruka wanja mara 6 kwa siku ila ndani ya wiki mbili nipunguza kilo 1 tu hv hakuna njia za kupunguza mwili kwa haraka zaidi nimechoka na huu mwili
Mchawi ni kula. Kama utaweza kupunguza kula. Ndani ya wiki utaona utofauti.
 
Back
Top Bottom