Babkey
JF-Expert Member
- Dec 10, 2010
- 4,836
- 3,659
Mkuu sijasema ya, nimesema na..Hivi unatengenezaje maji ya matango
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu sijasema ya, nimesema na..Hivi unatengenezaje maji ya matango
Aisee..unapatikana wapiMADHARA YA KITAMBI
[emoji298]ini kuhifadhi sumu na kushindwa kutoa insulin ambayo hupelekea maradhi ya::-
[emoji298]kisukari ambayo hufanya mwili kukosa nguvu za kukabiliana na magonjwa yanayoushambulia mwili ikiwa ni pamoja na
[emoji298]nguvu za kiume, ukiwa na tatzo hili unaweza kushindwa kumuingilia mkeo au kwenda safari moja tu
[emoji298]mwanamke kupata tabu ya kupata ujauzito kwa sababu wanazalisha homini ya androgen ambayo huzuia kupata siku zake pia hufanya mzunguko wa m,mke kusumbua
[emoji298]magonjwa ya mzunguko wa damu ikihusisha moyo pamoja na mishipa yake ambayo hupelekea kupata PRESHA NA KIHARUSI
[emoji298][emoji1542][emoji1542][emoji298]cjui kwann mwanaume akipungua kitambi dhakari yake huongezeka nchi moja au zaidi
DAWA YA KUPUNGUZA MWILI NA KITAMBI
[emoji269][emoji268][emoji269][emoji268][emoji269][emoji268][emoji269]
TAFUTA UNGA WA MJAIDURU KIJIKO KIMOJA CHA CHAI VURUGA KWENYE MAJI YA UVUGU VUGU NA SI YAMOTO KIKOMBE KIMOJA
[emoji266][emoji266]KUNYWA KAMA HIVYO KUTWA MARA TATU UJE UNIPE JIBU BAADA YA CKU 21 [emoji268][emoji268]
KWA USHAURI NA TIBA WASILIANA NAMI AU DR MWINYI
WENU KATIKATI TIBA ASILIA
SULAYMAN
0655821550
Kunywa kwenye maji vugu..Shukrani... nitaanza na hilo.. si naweka kwenya mboga kama kawaida au naitumiaje?
Toa ufafanuzi vizur mi ni mtu wa bia na nyama kwa sana nimeuchoka huu mwiliKuna kitu inaitwa manjano au bizari.
Tumia hiyo kwenye misosi yako ndani ya wiki moja tu , utatamani kuanza kula mafuta kurudisha weight yako....
NdiyoUsipende kunywa soda badala au bia badala yake wew uwe mpenz wa maj ya uvugu vugu yaliyo changanywa na limao
Wewe kama Mimi. Na nlipogundua show napiga kama kawaida, nimejiachia tuMimi nina 74 mazoezi yashanipita kushoto,nimejaribu kujizuia kula nimeshindwa[emoji54]
Mkuu hii habari niliisikia kipindi kile, sijui ni kweli au somjo,, sio umri ulikuwa [emoji16]Edibily Lunyamila alishindwa majaribio Ujerumani kwa kukosa kilo 80, endelea na tizi kijana, hatutegemei mwanaume wa shoka kuwa na kilo 50, uko kwenye raiti traki,
Mwanaume unakuwaje mwembamba na wewe[emoji57] [emoji57] [emoji57]Wazee huwa mnaniacha hoi... mimi natafuta hizo kilo hazipatikani.
[emoji16]Mazoezi na kula sana utakuwa unatwanga maji tu
Nakazia hapa. Ajitahidi anywe wakati wa asubuhi au jioniUsipende kunywa soda badala au bia badala yake wew uwe mpenz wa maj ya uvugu vugu yaliyo changanywa na limao
umri walishaujua kabla hajafika, issue ilokiwa uzito mdogo na kukimbia kuangalia mpira chini ..sijui ngasa kule westham walimpa vigezo gani.Mkuu hii habari niliisikia kipindi kile, sijui ni kweli au somjo,, sio umri ulikuwa [emoji16]
Yaani hili hata mimi nalishangaa.Mwanaume unakuwaje mwembamba na wewe[emoji57] [emoji57] [emoji57]
tumejifunza kazi ya protini ni kijenga mwili, sayansi darasa la 3, mwenzako anataka kuubomoaAcha kula sukari(soda, chai, matunda km nanasi, chungwa, topetope, stafeli nk), achana na wanga(ugali, wali, ndizi, na vitu kama hivyo).......
Pendelea kula protini zaidi(nyama, mayai, maharagwe, samaki, mboga mboga, salad na matunda km parachichi nk)
Hapo utakua umefanikiwa ndani ya muda mchache utaanza kuona mabadiliko.... nimelifanyia kazi na nimeona matokeo yake.... then nikamshauri na gf wangu nae kaanza kuona mabadiliko hadi amekuwa kama mkombozi kwa watu anaowafahamu.
Hii itakusaidia kuepuka magonjwa yote unayoyajua.