Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nothing serious, wengine tunaburudika na swaga za kina Kisandu.Ifikie hatua mods wapekue PM ya mleta mada kuverify ukweli wa tuhuma zake. JF sio Facebook kila mtu anajiropokea tu kuchafua wanawake
Hii imepitishwa kwa kura zote za ndiyo. ✔️ Safi kabisa.ALaah babu usijali utakuwa unanipa kwa mwezi mafao yako nikushikie sasa mtoko unakuwaje
Akuuh siwezi kufanya hivyo babu! Mimi mtu wa kunifaa utanitafutia wewe😂Ungemfuata aisee ningekuchongelezea kwa bibi ili akucharaze viboko. Maana wewe level yako siyo ya watu wa aina hiyo.
Hairuhusu kushare public nambo ya pm ni against na JF rules adhabu yake ni ban mpaka ya miezi mitatu au mwaka.Weka hapa screenshot ya pm za hao wadada lasivyo we ni mama tu
Labda jukwaa la Chitchat.Mods peleke huu uzi jukwaa la siasa (35 people are here)
Aliandika ana lib0lo kama la punda anahitaji msaada alipunguze, sasa tumemfata analalamika.
Kijana ajibu pm asitufanye si watoto
NakaziaMods peleke huu uzi jukwaa la siasa (35 people are here)
Atakae pigwa ban hapo ni mimi au ni yeye?Hairuhusu kushare public nambo ya pm ni against na JF rules adhabu yake ni ban mpaka ya miezi mitatu au mwaka.
Ni yeye.Atakae pigwa ban hapo ni mimi au ni yeye?
Nothing serious, wengine tunaburudika na swaga za kina Kisandu.
If you need serious material nenda jukwaa la Intelligence.
😂😂😂🙌Aliandika ana lib0lo kama la punda anahitaji msaada alipunguze, sasa tumemfata analalamika.
Kijana ajibu pm asitufanye si watoto
Haya tuali bs hivyo hivyo apewe moja nzitoNi yeye.
Aliandika ana lib0lo kama la punda anahitaji msaada alipunguze, sasa tumemfata analalamika.
Kijana ajibu pm asitufanye si watoto
I deserve all this? Kosa langu ni lipi?Kwanza sijakuquote mpaka unitolee povu la kunichagulia jukwaa punguza kiherehere na kisebusebu bila kusahau kisebengo
Tulia mkuu weekend 😃 hii ujue.Kwanza sijakuquote mpaka unitolee povu la kunichagulia jukwaa punguza kiherehere na kisebusebu bila kusahau kisebengo
Aweke screenshot tumalize ubishiWeee una shida mahali afu hao waliokufuata woote ukute ni mashoga hakuna mdada anaeshobokea ujinga hivyo, we huogopi?