I deserve all this? Kosa langu ni lipi?
Aweke harakaAweke screenshot tumalize ubishi
Aseee comment zako 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣😂😂la punda eti hahahahAliandika ana lib0lo kama la punda anahitaji msaada alipunguze, sasa tumemfata analalamika.
Kijana ajibu pm asitufanye si watoto
I think utakuwa kwenye siku nzito, wacha nikusamehe bure tu.Kosa ni Kunichagulia jukwaa. Uzi nimeukuta kwenye new post na sikujua ni jukwaa gani mpaka ulipoleta mipasho
Acha kabisa ilo goma, ni mwendo wa kuita waiters tu.!!Hawa ni watu muhimu JF kutuburudisha.
Weekend kama hii una pesa ya mawazo unavuta muda kwanza hapa kijiweni kwetu jua likizama sasa ndio tunakwenda kula vyombo uku may day inakupa burudani hewani.
Babu mbona huongei kuhusu mkopo???Hii imepitishwa kwa kura zote za ndiyo. ✔️ Safi kabisa.
I think utakuwa kwenye siku nzito, wacha nikusamehe bure tu.
Ukiacha akili yako ifanye kazi hapo anajidhalilisha yeye mwenyewe na uko siku za usoni ataikimbia ID yake mwenyewe atakuja kurealize kumbe alikuwa ni mpumbavu tu.Siku nyepesi sana hii, anyway majukwaa yote nayafahamu ila mada za udhalilishaji hazina excuse za kuwatumia akina kisandu kulazimisha wote tuunge hoja isiyo na mashiko
Kumbe kuna gender imechafuliwa apo, naanza kumuamini mtoa mada sasaIfikie hatua mods wapekue PM ya mleta mada kuverify ukweli wa tuhuma zake. JF sio Facebook kila mtu anajiropokea tu kuchafua wanawake
Kumbe kuna gender imechafuliwa apo, naanza kumuamini mtoa mada sasa
Nasikia wewe ndo chanzo cha mtoa mada kuleta uziMpe na rinda alitatue vizuri mkuu
Nasikia wewe ndo chanzo cha mtoa mada kuleta uzi
Kaogopa bro 😹Nilitegemea kuona Ile Comment Eve🤣