Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Achome miba ya samaki ataibuka tuMsaada, kuna jirani yangu Kaingiliwa na nyoka mazingira ya nyumbani kwake, huyu nyoka ana week tangu aonekane mara ya kwanza, ila upo uwezekano ni zaidi ya week maana kabla ya hapo ilikua inatokea tu kuku kapotea, kelele za kuku bandani, usumbufu dirishani akiwa amelala n.k n.k.
Baada ya muda ndio akaonekana live. Kumtafuta imekua changamoto kwanza ni kwa mashaka maana yaweza kua naye anakutafuta au mshtukiziane akuwahi.
Na inaonesha ni mkali na ana sumu mbaya, Juzi paka wake alikua naye ndani, ile anatoka tuu nje paka akapiga kelele kutoka anamkuta paka ndio anakaukia, chini ya dk akawa tayari kafa.
Japo inaonekana alimjeruhi, maana mdomoni alikua na damu na ngozi.
Imebidi ahamishe watoto huku, hawakai tena pale. Mwenyewe anaenda kwa machale.
Nyumbani kwake kuna maua mengi sanaa yale yanayotanda mpaka ukutani, bustani ya mboga, kama mita 50 hivi kuna kijimto na nyasi nyingi, tumepatana leo tupulize ile dawa ya kuua mimea.
Kuna uwezekano anakuja na kuondoka, na si mara ya kwanza kuonekana maeneo ya nje, wanafunzi washamuona sana Kwa maelezo yao ashawahi mgonga mmoja wao kwenye kiatu.
Huyu ndugu tunamsaidiaje?
Jana kakutana na michirizi nje, akaishia nje.
Juzi katika kumsaka tukaambulia gamba tukasepa.
Mara anoe maua yanacheza au kuanguka.
Hakuna njia yoyote zaidi ya kumuua, ila njia gani sasa?
Naomba imani za kishirikina uwe ushauri wa mwisho.
Aliuma kiatu cha mwanafunzi ina maana hakuifikia ngozi ya mwanafunziNyoka kamuuma paka anakukufa. [emoji849]
Then kamuuma mwanafunzi na hajakufa.[emoji56]
Ebu nyorosha maelezo mkuu, otherwise mnaweza mwagia mafuta ya taa ama diesel kuzunguka maeneo ambayo mnahisi huyo mgeni anaonekana.
Ama, nashauri mchome moto eneo linalo zunguka hiyo nyumba na hata ikiwezekana hayo maua mengi myateketeze kwa moto.
Hofu ni kitu mbaya sana
Awe tayari kufanyaje...Katakakata vitunguu saumu na vitunguu maji kishwa vitowe nje sehemu mbali mbali za nyumba...kama yupo ndani atatoka tu! Uwe tu tayari...
Itakuwani paka wa kisasa.Mkuu poleni sana, lakini nyoka hua anapigwa na paka! Sasa sijui inakuaje. Nyoka amuue paka! Anyway dawa ya nyoka ni kumwaga mafuta ya taa au diesel au chomeni mataili!
Mkuu usiogepe wewe pambana tu hivyo hivyo.Nimeacha kabisa nachungulia tu na kumlika tochi pale kwenye sink kuona kama amejitokeza
factHii ni fact au maoni?
Achana na kigwangala mpuuzi yule 😃Pia amwage mbolea ya chumvichumvi.
Ila wawe makini, wasije wakamuua halafu wakaonekana kuwa wamemuua, maana nyoka ni nyara ya serikali kwa mujibu wa Kigwangara, au kama watamuua basi wasiwe na itikadi ya upinzani.
🤣
Funua lile tank la choon umwage ndani yake mafuta ya taa kama Lita tano hiv,km yumo humo na wenzake watakufaAlipita wapi mpk kuingia kwenye chooni?
Chooni sehemu gani?!Sidhani kama ni kweli, mimi nilichoma juzi baada ya kuona nyoka chooni kwangu ila hakutoka hadi leo vinginevyo iwe alifia humo baada ya kuchoma maana hakuonekana kabisa.
Nyoka huyo kwenye pochi lako.Navyoogopa nyoka jamani
Eeh Mungu naomba nisije kutana nae
Sent from my TECNO KA7 using JamiiForums mobile app
[emoji16][emoji16]Nyoka huyo kwenye pochi lako.
Nyoka nyoka au nyoka wa kwenye surualiNavyoogopa nyoka jamani
Eeh Mungu naomba nisije kutana nae
Sent from my TECNO KA7 using JamiiForums mobile app
Kwenye sink zile sehemu za pembeni ila alitokomea kurudi ndani kabisa labda alienda hadi kwenye karo nahisiChooni sehemu gani?!
Huyo sio nyoka acheni kujipaisha, kilichoko kwenye suruali ni fungus na bacteria [emoji16][emoji16][emoji1787]Nyoka nyoka au nyoka wa kwenye suruali