Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ipo dawa ya kupulizakama fammigation.. itamtoa mafichoniMsaada, kuna jirani yangu Kaingiliwa na nyoka mazingira ya nyumbani kwake, huyu nyoka ana week tangu aonekane mara ya kwanza, ila upo uwezekano ni zaidi ya week maana kabla ya hapo ilikua inatokea tu kuku kapotea, kelele za kuku bandani, usumbufu dirishani akiwa amelala n.k n.k.
Baada ya muda ndio akaonekana live. Kumtafuta imekua changamoto kwanza ni kwa mashaka maana yaweza kua naye anakutafuta au mshtukiziane akuwahi.
Na inaonesha ni mkali na ana sumu mbaya, Juzi paka wake alikua naye ndani, ile anatoka tuu nje paka akapiga kelele kutoka anamkuta paka ndio anakaukia, chini ya dk akawa tayari kafa.
Japo inaonekana alimjeruhi, maana mdomoni alikua na damu na ngozi.
Imebidi ahamishe watoto huku, hawakai tena pale. Mwenyewe anaenda kwa machale.
Nyumbani kwake kuna maua mengi sanaa yale yanayotanda mpaka ukutani, bustani ya mboga, kama mita 50 hivi kuna kijimto na nyasi nyingi, tumepatana leo tupulize ile dawa ya kuua mimea.
Kuna uwezekano anakuja na kuondoka, na si mara ya kwanza kuonekana maeneo ya nje, wanafunzi washamuona sana Kwa maelezo yao ashawahi mgonga mmoja wao kwenye kiatu.
Huyu ndugu tunamsaidiaje?
Jana kakutana na michirizi nje, akaishia nje.
Juzi katika kumsaka tukaambulia gamba tukasepa.
Mara anoe maua yanacheza au kuanguka.
Hakuna njia yoyote zaidi ya kumuua, ila njia gani sasa?
Naomba imani za kishirikina uwe ushauri wa mwisho.
Labda awe nyoka mdogo kiumri ila aliyekomaa kuku anafyekwa kabisa. Akiingia kwenye banda kama kuku ni wengi hapo labda ndo wanaweza kumuua na hapo ameshafyeka kadhaa na mara huwa wanapiga kelele na kukimbia na si kushambulia. Nyoka ni kiumbe chenye akili sana hauwawi kizembe.Nyoka kwa kuku hasogei labda wa kizungu, kuku anaua nyoka! Choma Tyre mwaga disel. Mmefanya kosa kubwa kuhama mmempa utulivu na nafasi ya kutafuta makazi yake vizuri.
Mbona yeye aligonga twiga,Kigwangala aliwahi kumtaka kiingozi mmoja toka upinzani aka report kwa kosa la kuua nyoka aliyeingia kwenye eneo lake.
Mbolea ya chumvi inazuiaje snakeKweli kabisa...watoke humo ndani, hii inapalia, wanunue pilipili kavu, wazichome humo, wenye jiko la mkaa au chetezo.
Nje machine matairi, lakini wakimwaga urea, kwenye majani na maua, watambamba tu.
Everyday is Saturday 😎
Nashauri wakuu msiue nyoka. Ni moja ya viumbe wanaosaidia kutuepusha na magonjwa na uharibifu wa mali na mazao.
Ni pest controllers.
Pia sio kila nyoka ana sumu kuna wengine ni nyoka wa nyumbani tu (house snakes) hawana madhara. Kama unamjua unaweza kumkamata na ukamtoa nje ya nyumba (uwe na uhakika 100% lakini).
Kama huna uhakika au kama unajua ni nyoka sumu jaribu kuwasiliana na maliasili walipo karibu watakuja kumtoa.
Huwa inawaka mda gani baada ya kuichomaNyoka wahaina gan? mwambie ande kwenye maduka ya asili anunue dawa inaitwa kibiliti upele af haichome harufu yake inafukuza wadudu
Nasubiri wamalize kukushauri nikupe USHAURI WA MWISHO.Msaada, kuna jirani yangu Kaingiliwa na nyoka mazingira ya nyumbani kwake, huyu nyoka ana week tangu aonekane mara ya kwanza, ila upo uwezekano ni zaidi ya week maana kabla ya hapo ilikua inatokea tu kuku kapotea, kelele za kuku bandani, usumbufu dirishani akiwa amelala n.k n.k.
Baada ya muda ndio akaonekana live. Kumtafuta imekua changamoto kwanza ni kwa mashaka maana yaweza kua naye anakutafuta au mshtukiziane akuwahi.
Na inaonesha ni mkali na ana sumu mbaya, Juzi paka wake alikua naye ndani, ile anatoka tuu nje paka akapiga kelele kutoka anamkuta paka ndio anakaukia, chini ya dk akawa tayari kafa.
Japo inaonekana alimjeruhi, maana mdomoni alikua na damu na ngozi.
Imebidi ahamishe watoto huku, hawakai tena pale. Mwenyewe anaenda kwa machale.
Nyumbani kwake kuna maua mengi sanaa yale yanayotanda mpaka ukutani, bustani ya mboga, kama mita 50 hivi kuna kijimto na nyasi nyingi, tumepatana leo tupulize ile dawa ya kuua mimea.
Kuna uwezekano anakuja na kuondoka, na si mara ya kwanza kuonekana maeneo ya nje, wanafunzi washamuona sana Kwa maelezo yao ashawahi mgonga mmoja wao kwenye kiatu.
Huyu ndugu tunamsaidiaje?
Jana kakutana na michirizi nje, akaishia nje.
Juzi katika kumsaka tukaambulia gamba tukasepa.
Mara anoe maua yanacheza au kuanguka.
Hakuna njia yoyote zaidi ya kumuua, ila njia gani sasa?
Naomba imani za kishirikina uwe ushauri wa mwisho.
Soma vizuri .kamgonga kwenye kiatuNyoka kamuuma paka anakukufa. 🙄
Then kamuuma mwanafunzi na hajakufa.😇
Ebu nyorosha maelezo mkuu, otherwise mnaweza mwagia mafuta ya taa ama diesel kuzunguka maeneo ambayo mnahisi huyo mgeni anaonekana.
Ama, nashauri mchome moto eneo linalo zunguka hiyo nyumba na hata ikiwezekana hayo maua mengi myateketeze kwa moto.
Hofu ni kitu mbaya sana
[emoji3][emoji3][emoji3]
Mwanafunzi ameng'atwa kwa kiatu yaani kiatu ndo kilicuong'atwaNyoka kamuuma paka anakukufa. [emoji849]
Then kamuuma mwanafunzi na hajakufa.[emoji56]
Ebu nyorosha maelezo mkuu, otherwise mnaweza mwagia mafuta ya taa ama diesel kuzunguka maeneo ambayo mnahisi huyo mgeni anaonekana.
Ama, nashauri mchome moto eneo linalo zunguka hiyo nyumba na hata ikiwezekana hayo maua mengi myateketeze kwa moto.
Hofu ni kitu mbaya sana
[emoji3][emoji3][emoji3]we jamaaJana usiku Kama saa 6 nimeishiwa bando nilikuwa nafuatilia live fainali ya Europa Sasa kufika hatua za penati bqndo likaisha ikabidi nitoke nikaulizie matokeo Sasa ile narudi nikaona paka wawili Kama wanapigana na kimtindo palikuwa Giza.
Ile nakaribia nikagundua hawapigani Kama wanacheza na kitu ikanibidi nipakaribie kuangalia vzr wanacheza na kitu gani
Ase kumbe nyoka walikuwa wanacheza nae huku wakimpiga makofi na kuruka sasa wkt nimewasha tochi ya simu kumulika niangalie vzr wale paka wakakimbia na ndio walikuwa kizuizi wa yule nyoka
Ikanibidi nichukue jukumu la kuokota mawe na kumpiga yule nyoka ,Sasa kwenye ile nyumba kwa dirishani nasikia vijana mabishoo wa chuo bila Shaka wale wanabishana kuhusu mpira ,nikawa nawaita waje kusaidia maana yule nyoka alikuwa anataka kuingia kwenye tobo pale kwao walivyo wajinga wakawa wananiona chizi sijui wakakaa kimya na kuacha kubishana nikaendelea kuwaita wakajikausha
Nikajisemea kwanza sio kwangu najihangaisha bure wacha aingie ndani kwao watajijua wenyewe na ubisho wao,nikazima tochi nikasepa zangu, na nyoka alikuwa mrefu kweli
Paka wanasaidia ase nimegundua Jana night
Hivi huyu kwenye ana madhara?
Huyo sio nyoka acha ujingaUnaogopa nyoka yupi???
nyoka kama nyoka wako wengi....
wengine wanatunzwa kati ya suruali
Hapana after all huyo sio nyoka unayemsemelea[emoji16]I am just joking around.... Apologies kama nimeku offend or u found the joke silly.
Tuko pamoja!
Joka lile ....
Timing tu.Nyoka hua hawezi kumuua paka