baby zu
JF-Expert Member
- Nov 9, 2015
- 1,816
- 4,770
Nimejitahidi kusoma uzii huu mpka hapa ninaogopa, yani siku ya leo kwangu haitokua nzuri.
Naomba kuuliza hivi unaondoaje hofu ya nyoka maana inanitesa kupitiliza. Nikiona picha yake usiku lazima nimuote, mara amepanda ukutani mara anatamba yan mradi niteseke usiku.
Naoondoaje hii hofu maana ni zaidi ya 10 yrs nahishi na fear ya nyoka, sikuwahi kugongwa na nyoka ila nikiwa nasoma shule enzi hizo, nilifua begi la shule kumbe lilidondoka sasa nyoka aliingia ndani ya begi, jioni baada ya prepo kufungua begi nieke madaftari nyoka akatoka ndani ya begi, kwanza sikuwahi kujua kua nna uwezo wa kuruka kiasi kile maana niliruka dekani nikarukia kitanda cha tatu bila kujua nliruka vipi
Naomba kuuliza hivi unaondoaje hofu ya nyoka maana inanitesa kupitiliza. Nikiona picha yake usiku lazima nimuote, mara amepanda ukutani mara anatamba yan mradi niteseke usiku.
Naoondoaje hii hofu maana ni zaidi ya 10 yrs nahishi na fear ya nyoka, sikuwahi kugongwa na nyoka ila nikiwa nasoma shule enzi hizo, nilifua begi la shule kumbe lilidondoka sasa nyoka aliingia ndani ya begi, jioni baada ya prepo kufungua begi nieke madaftari nyoka akatoka ndani ya begi, kwanza sikuwahi kujua kua nna uwezo wa kuruka kiasi kile maana niliruka dekani nikarukia kitanda cha tatu bila kujua nliruka vipi