Msaada: Nyoka Mkali anazunguka Mazingira ya Nyumbani

Msaada: Nyoka Mkali anazunguka Mazingira ya Nyumbani

Tuliitumia hii njia tulipokua wadogo, nyumba yetu ilizungukwa na shamba, nyoka walitutembelea sana hasa siku za mvua.

Mama alikua anaomba bips de vya ma tyre garage na tulichoma kila siku jioni. Tulisahau habari ya kupishana na nyoka ndani.
Ngoja niendelee kuchoma pia labda alikimbia sikumwona tu
 
Msaada, kuna jirani yangu Kaingiliwa na nyoka mazingira ya nyumbani kwake, huyu nyoka ana week tangu aonekane mara ya kwanza, ila upo uwezekano ni zaidi ya week maana kabla ya hapo ilikua inatokea tuu kuku kapotea, kelele za kuku bandani, usumbufu dirishani akiwa amelala n.k n.k....

Baada ya mda ndio akaonekana live,
Kumtafuta imekua changamoto kwanza ni kwa mashaka maana yaweza kua naye anakutafuta au mshtukiziane akuwahi...

Na inaonesha ni mkali na ana sumu mbaya, Juzi paka wake alikua naye ndani, ile anatoka tuu nje paka akapiga kelele kutoka anamkuta paka ndio anakaukia, chini ya dk akawa Tayari kafa,
Japo inaonekana alimjeruhi, maana mdomoni alikua na damu na ngozi.

Imebidi ahamishe watoto huku, hawakai tena pale.
Mwenyewe anaenda kwa machale,

Nyumbani kwake kuna maua mengi sanaa yale yanayotanda mpaka ukutani, bustani ya mboga, kama mita 50 hivi kuna kijimto na nyasi nyingi,, tumepatana leo tupulize ile dawa ya kuua mimea..

kuna uwezekano anakuja na kuondoka, na si mara ya kwanza kuonekana maeneo ya nje, wanafunzi washamuona sana Kwa maelezo yao ashawahi mgonga mmoja wao kwenye kiatu..

Huyu ndugu tunamsaidiaje????
Jana kakutana na michirizi njee, akaishia nje..
Juzi katika kumsaka tukaambulia gamba tukasepa.
Mara anoe maua yanacheza au kuanguka..

Hakuna njia yyt zaidi ya kumuua, ila njia gani sasa?
Naomba imani za kishirikina uwe ushauri wa mwisho.
Mkuu tafuta dizel mwaga kwa kuzunguka nyumba na kama hayo maua huyataki yamwagie pia mwenyewe atatoka tu maana nyoka na mafuta hawaelewani
 
Nyoka kamuuma paka anakukufa...[emoji849]
Then kamuuma mwanafunzi na hajakufa..[emoji56]
Ebu nyorosha maelezo mkuu, otherwise mnaweza mwagia mafuta ya taa ama diesel kuzunguka maeneo ambayo mnahisi huyo mgeni anaonekana.
Ama, nashauri mchome moto eneo linalo zunguka hiyo nyumba na hata ikiwezekana hayo maua mengi myateketeze kwa moto.
Hofu ni kitu mbaya sana
Nyoka hua hawezi kumuua paka
 
Nyoka kamuuma paka anakukufa...🙄
Then kamuuma mwanafunzi na hajakufa..😇
Ebu nyorosha maelezo mkuu, otherwise mnaweza mwagia mafuta ya taa ama diesel kuzunguka maeneo ambayo mnahisi huyo mgeni anaonekana.
Ama, nashauri mchome moto eneo linalo zunguka hiyo nyumba na hata ikiwezekana hayo maua mengi myateketeze kwa moto.
Hofu ni kitu mbaya sana
Ukubwa wa umbo la mnyama hutathmini uwezo wa sumu kusambaa mwilini.

Mnyama mwenye umbo dogo maana yake moyo utasukuma damu haraka haraka hivyo kurahisisha usambazaji.

Paka atawahi kufa kuliko binadamu.

Lakini binadamu atawahi kufa kuliko tembo.
 
Usiumize kichwa sana,katafute oil chafu, mwaga maeneo yote unayohisi zinawezakuwa maskaji zake na huko kwenye kuku.

Nimekwambia oil chafu, sababu ni ngumu kiasi kupotea, ila mafuta ya taa na petrol zinakimbia upesi.
 
Ukubwa wa umbo la mnyama hutathmini uwezo wa sumu kusambaa mwilini.

Mnyama mwenye umbo dogo maana yake moyo utasukuma damu haraka haraka hivyo kurahisisha usambazaji.

Paka atawahi kufa kuliko binadamu.

Lakini binadamu atawahi kufa kuliko tembo.
Kuna kenge na nyegere hawafi.
 
Ukubwa wa umbo la mnyama hutathmini uwezo wa sumu kusambaa mwilini.

Mnyama mwenye umbo dogo maana yake moyo utasukuma damu haraka haraka hivyo kurahisisha usambazaji.

Paka atawahi kufa kuliko binadamu.

Lakini binadamu atawahi kufa kuliko tembo.
Hapa maana yake ata mtu mfupi mwenye umbo dogo atakufa haraka na mwenye umbo kubwa mrefu atachelewa au kutokufa kabisa...
 
Kuna kenge na nyegere hawafi.
Siyo nyegere tu mnyama yeyote ambaye atadevelope kinga ya nyoka hatokufa.

Nyegere amedevelope kinga kwa nyoka waliomzunguka maeneo yake ikatokea ameenda eneo jipya akakutana na aina mpya akigongwa anaweza akafa au akazima kidogo mpaka mwili wake utakapodevelope kinga mpya dhidi ya huyo nyoka.

Kuna binadamu hafi akigongwa na koboko na wote tunakubaliana kwamba koboko ana sumu kali.
 
Mkuu poleni sana,lakini nyoka hua anapigwa na paka! Sasa sijui inakuaje,Nyoka amuue paka! Anyway dawa ya nyoka ni kumwaga mafuta ya taa au diesel au chomeni mataili!
Inawezekana paka alileta ubabe akazidiwa na kukimbia baadae alisahau alirudi kulala na paka walivyo wavivu, mwamba akamgonga akiwa usingizini.
 
Msaada, kuna jirani yangu Kaingiliwa na nyoka mazingira ya nyumbani kwake, huyu nyoka ana week tangu aonekane mara ya kwanza, ila upo uwezekano ni zaidi ya week maana kabla ya hapo ilikua inatokea tuu kuku kapotea, kelele za kuku bandani, usumbufu dirishani akiwa amelala n.k n.k....

Baada ya mda ndio akaonekana live,
Kumtafuta imekua changamoto kwanza ni kwa mashaka maana yaweza kua naye anakutafuta au mshtukiziane akuwahi...

Na inaonesha ni mkali na ana sumu mbaya, Juzi paka wake alikua naye ndani, ile anatoka tuu nje paka akapiga kelele kutoka anamkuta paka ndio anakaukia, chini ya dk akawa Tayari kafa,
Japo inaonekana alimjeruhi, maana mdomoni alikua na damu na ngozi.

Imebidi ahamishe watoto huku, hawakai tena pale.
Mwenyewe anaenda kwa machale,

Nyumbani kwake kuna maua mengi sanaa yale yanayotanda mpaka ukutani, bustani ya mboga, kama mita 50 hivi kuna kijimto na nyasi nyingi,, tumepatana leo tupulize ile dawa ya kuua mimea..

kuna uwezekano anakuja na kuondoka, na si mara ya kwanza kuonekana maeneo ya nje, wanafunzi washamuona sana Kwa maelezo yao ashawahi mgonga mmoja wao kwenye kiatu..

Huyu ndugu tunamsaidiaje????
Jana kakutana na michirizi njee, akaishia nje..
Juzi katika kumsaka tukaambulia gamba tukasepa.
Mara anoe maua yanacheza au kuanguka..

Hakuna njia yyt zaidi ya kumuua, ila njia gani sasa?
Naomba imani za kishirikina uwe ushauri wa mwisho.
Paka hauawi na nyoka(fact)....
Ok dawA kiboko ni oil chafu changanya na mafuta ya taa au diesel mwaga mwaga maeneo tarajiwa harafu endeleeni na shughuli zenu hapo hakai na kama atakaa basi ndan ya nusu saa mtamkuta vipande vipande
 
Safisha maeneo yote kuzunguka nyumba ikiwemo kung'oa maua yote na hata hiyo bustani.
Fagia kabisa pawe peupe.
Atacha mwenyewe kuja.
 
Hapa maana yake ata mtu mfupi mwenye umbo dogo atakufa haraka na mwenye umbo kubwa mrefu atachelewa au kutokufa kabisa...
Kuna vingi vya kuviconsider hapo.

Afya ya mtu. Umri. Eneo la mwili lililogongwa n.k.

Kuna kesi ya mwanamke aliyeng'atwa na black mamba zaidi ya wawili na bado akapona. Na black mamba mmoja anagonga zaidi ya mara moja so zaidi ya wawili wanagonga mara nyingi nyingi na mwanamke aliishi.
 
Back
Top Bottom