Gama
JF-Expert Member
- Jan 9, 2010
- 13,265
- 4,735
Nyoka ameshakufa; nyoka haponi majerahaJapo inaonekana alimjeruhi, maana mdomoni alikua na damu na ngozi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nyoka ameshakufa; nyoka haponi majerahaJapo inaonekana alimjeruhi, maana mdomoni alikua na damu na ngozi
🤣Pia amwage mbolea ya chumvichumvi.
Ila wawe makini, wasije wakamuua halafu wakaonekana kuwa wamemuua, maana nyoka ni nyara ya serikali kwa mujibu wa Kigwangara, au kama watamuua basi wasiwe na itikadi ya upinzani
Unaamini kwamba paka yuko faster na ana agility kubwa kumzidi nyoka?Hapo sawa! Maana nyoka kwa paka hua anapigwa,zile kucha akimparua hua ni burudani sana ukiona huo ugomvi!
Elzea hapo kwa binadamuSiyo nyegere tu mnyama yeyote ambaye atadevelope kinga ya nyoka hatokufa.
Nyegere amedevelope kinga kwa nyoka waliomzunguka maeneo yake ikatokea ameenda eneo jipya akakutana na aina mpya akigongwa anaweza akafa au akazima kidogo mpaka mwili wake utakapodevelope kinga mpya dhidi ya huyo nyoka.
Kuna binadamu hafi akigongwa na koboko na wote tunakubaliana kwamba koboko ana sumu kali.
Navyoogopa [emoji216]
Eeh Mungu naomba nisije kutana nae
Sent from my TECNO KA7 using JamiiForums mobile app
Paka yupo fasta ila inategema na Weight ya nyoka kwa maelezo ya jamaa inaonesha uyo nyoka ni mbavu na sio falafalaUnaamini kwamba paka yuko faster na ana agility kubwa kumzidi nyoka?
Maafisa wetu hawahawa wa wanyamapori Au wengine?Atoe taarifa kwa maafisa wa wanyamapori watatuma mtaalam wa nyoka atakuja kumsaka POPOTE alipo na kurudisha hifadhini
Amegonga kiatu cha mwanafunzi sio kuuma mwanafunziNyoka kamuuma paka anakukufa...🙄
Then kamuuma mwanafunzi na hajakufa..😇
Ebu nyorosha maelezo mkuu, otherwise mnaweza mwagia mafuta ya taa ama diesel kuzunguka maeneo ambayo mnahisi huyo mgeni anaonekana.
Ama, nashauri mchome moto eneo linalo zunguka hiyo nyumba na hata ikiwezekana hayo maua mengi myateketeze kwa moto.
Hofu ni kitu mbaya sana
🤣Dah, hii thread yenyewe kuisoma naisoma kwa mashaka mashaka sana.
Mwili unasisimka.
Really?Nyoka ameshakufa; nyoka haponi majeraha
Wanawake sio watuKuna vingi vya kuviconsider hapo.
Afya ya mtu. Umri. Eneo la mwili lililogongwa n.k.
Kuna kesi ya mwanamke aliyeng'atwa na black mamba zaidi ya wawili na bado akapona. Na black mamba mmoja anagonga zaidi ya mara moja so zaidi ya wawili wanagonga mara nyingi nyingi na mwanamke aliishi.
Nyoka haponi vidondaReally?
Yaani ni kama mtu akiumwa surua mwili unatengeneza kinga baadaye hautaumwa tena.Elzea hapo kwa binadamu
Tafuta msukuma yeyote atakusaidiaMsaada, kuna jirani yangu Kaingiliwa na nyoka mazingira ya nyumbani kwake, huyu nyoka ana week tangu aonekane mara ya kwanza, ila upo uwezekano ni zaidi ya week maana kabla ya hapo ilikua inatokea tuu kuku kapotea, kelele za kuku bandani, usumbufu dirishani akiwa amelala n.k n.k....
Baada ya mda ndio akaonekana live,
Kumtafuta imekua changamoto kwanza ni kwa mashaka maana yaweza kua naye anakutafuta au mshtukiziane akuwahi...
Na inaonesha ni mkali na ana sumu mbaya, Juzi paka wake alikua naye ndani, ile anatoka tuu nje paka akapiga kelele kutoka anamkuta paka ndio anakaukia, chini ya dk akawa Tayari kafa,
Japo inaonekana alimjeruhi, maana mdomoni alikua na damu na ngozi.
Imebidi ahamishe watoto huku, hawakai tena pale.
Mwenyewe anaenda kwa machale,
Nyumbani kwake kuna maua mengi sanaa yale yanayotanda mpaka ukutani, bustani ya mboga, kama mita 50 hivi kuna kijimto na nyasi nyingi,, tumepatana leo tupulize ile dawa ya kuua mimea..
kuna uwezekano anakuja na kuondoka, na si mara ya kwanza kuonekana maeneo ya nje, wanafunzi washamuona sana Kwa maelezo yao ashawahi mgonga mmoja wao kwenye kiatu..
Huyu ndugu tunamsaidiaje????
Jana kakutana na michirizi njee, akaishia nje..
Juzi katika kumsaka tukaambulia gamba tukasepa.
Mara anoe maua yanacheza au kuanguka..
Hakuna njia yyt zaidi ya kumuua, ila njia gani sasa?
Naomba imani za kishirikina uwe ushauri wa mwisho.
Ni kweli kabisa na kama mpaka paka kafa inamaanisha nyoka ana sumu na mkubwa kuzidi futi 5. Ama la paka ni mdogoPaka yupo fasta ila inategema na Weight ya nyoka kwa maelezo ya jamaa inaonesha uyo nyoka ni mbavu na sio falafala
Mnatoboa kwenye kifuniko cha mdomo au pembeni ya chupa?Tulipi hamia nyumba mpya enzi zile viwanja vingine vilikuwa bado havijajengwa kulikuwa na nyoka sana. Tulichukua chupa za plastiki zili za soda tunajaza maji robo tatu na mafuta ya taa.Tunatoboa kwenye kila chupa na kuzichimbia chini mdomo ukiwa juu, nyoka hawakusogea mpk watu wakajaa.