Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Multiple bites sio kigezo pekee cha kutambua aina ya nyoka. Hao ni wanyama wanaweza kuwa na tabia tofauti. Lakini kwa koboko hayo ni maumbile yake hawezi kupiga dry bite, akikugonga sumu lazima itoke. Lakini kama nilivyosema hawa ni wanyama: na kama ni koboko kweli basi alijeruhiwa akawa hawezi leta madhara.Nyoka gani mwingine anafanya multiple bites? Afrika, Kenya?
Yule nyoka mwenye jicho moja mbona humuogopi? 😂 😂 😂Navyoogopa nyoka jamani
Eeh Mungu naomba nisije kutana nae
Sent from my TECNO KA7 using JamiiForums mobile app
Pia ushauri mwengine, mkipenda na mkiweza tafuteni watu wa fumigation, labda mnawezapata ufumbuzi.Msaada, kuna jirani yangu Kaingiliwa na nyoka mazingira ya nyumbani kwake, huyu nyoka ana week tangu aonekane mara ya kwanza, ila upo uwezekano ni zaidi ya week maana kabla ya hapo ilikua inatokea tuu kuku kapotea, kelele za kuku bandani, usumbufu dirishani akiwa amelala n.k n.k....
Baada ya mda ndio akaonekana live,
Kumtafuta imekua changamoto kwanza ni kwa mashaka maana yaweza kua naye anakutafuta au mshtukiziane akuwahi...
Na inaonesha ni mkali na ana sumu mbaya, Juzi paka wake alikua naye ndani, ile anatoka tuu nje paka akapiga kelele kutoka anamkuta paka ndio anakaukia, chini ya dk akawa Tayari kafa,
Japo inaonekana alimjeruhi, maana mdomoni alikua na damu na ngozi.
Imebidi ahamishe watoto huku, hawakai tena pale.
Mwenyewe anaenda kwa machale,
Nyumbani kwake kuna maua mengi sanaa yale yanayotanda mpaka ukutani, bustani ya mboga, kama mita 50 hivi kuna kijimto na nyasi nyingi,, tumepatana leo tupulize ile dawa ya kuua mimea..
kuna uwezekano anakuja na kuondoka, na si mara ya kwanza kuonekana maeneo ya nje, wanafunzi washamuona sana Kwa maelezo yao ashawahi mgonga mmoja wao kwenye kiatu..
Huyu ndugu tunamsaidiaje????
Jana kakutana na michirizi njee, akaishia nje..
Juzi katika kumsaka tukaambulia gamba tukasepa.
Mara anoe maua yanacheza au kuanguka..
Hakuna njia yyt zaidi ya kumuua, ila njia gani sasa?
Naomba imani za kishirikina uwe ushauri wa mwisho.
[emoji23][emoji23][emoji23]Ila paka wa kileo kila kitu kinawezekana maana wanakimbizwa na panya.
Dah una roho mbaya sana kwa mfano ukasikia kati ya wale vijana mmoja amefariki kwa kugongwa na nyoka utajisikiaje?Jana usiku Kama saa 6 nimeishiwa bando nilikuwa nafuatilia live fainali ya Europa Sasa kufika hatua za penati bqndo likaisha ikabidi nitoke nikaulizie matokeo Sasa ile narudi nikaona paka wawili Kama wanapigana na kimtindo palikuwa Giza.
Ile nakaribia nikagundua hawapigani Kama wanacheza na kitu ikanibidi nipakaribie kuangalia vzr wanacheza na kitu gani
Ase kumbe nyoka walikuwa wanacheza nae huku wakimpiga makofi na kuruka sasa wkt nimewasha tochi ya simu kumulika niangalie vzr wale paka wakakimbia na ndio walikuwa kizuizi wa yule nyoka
Ikanibidi nichukue jukumu la kuokota mawe na kumpiga yule nyoka ,Sasa kwenye ile nyumba kwa dirishani nasikia vijana mabishoo wa chuo bila Shaka wale wanabishana kuhusu mpira ,nikawa nawaita waje kusaidia maana yule nyoka alikuwa anataka kuingia kwenye tobo pale kwao walivyo wajinga wakawa wananiona chizi sijui wakakaa kimya na kuacha kubishana nikaendelea kuwaita wakajikausha
Nikajisemea kwanza sio kwangu najihangaisha bure wacha aingie ndani kwao watajijua wenyewe na ubisho wao,nikazima tochi nikasepa zangu, na nyoka alikuwa mrefu kweli
Paka wanasaidia ase nimegundua Jana night
inategemea na nyoka mkuu, mimi paka wangu aliwahi kuua nyoka nikashangaa anakuja nae anataka kumuingiza kwenye mabanda ya kuku kwa kipindi hicho yalikuwa wazi. nilichofanya ni kumnyang'anya yule nyoka na kwenda kumfukia ila kadri siku silivyokuwa zinasogea paka alizidi kudhoofika nilijaribu kumtibia lkn haikuwezekana akafa ndani ya mwezi mmoja.Mkuu poleni sana,lakini nyoka hua anapigwa na paka! Sasa sijui inakuaje,Nyoka amuue paka! Anyway dawa ya nyoka ni kumwaga mafuta ya taa au diesel au chomeni mataili!
Ndiyo maana nimeuliza hivyo kama kuna nyoka mwengine anafanya hivyo.Multiple bites sio kigezo pekee cha kutambua aina ya nyoka. Hao ni wanyama wanaweza kuwa na tabia tofauti. Lakini kwa koboko hayo ni maumbile yake hawezi kupiga dry bite, akikugonga sumu lazima itoke. Lakini kama nilivyosema hawa ni wanyama: na kama ni koboko kweli basi alijeruhiwa akawa hawezi leta madhara.
Kuna msemo usemao kwamba ni wachache sana wanaogongwa na nyoka ambao huwaona nyoka waliowagonga unless huyo mtu alikuwa anacheza na nyoka anayemfahamu ni aina gani. Lakini mtu atagongwa halafu atasikia majani tu ya nyoka anayekimbia. Hii haimuhusu puff adder (kifutu) ambaye huwa haondoki eneo la tukio.
kwa hiyo mzee tangu juzi hujapupu au unapupu kwa jiranj!?Sidhani kama ni kweli, mimi nilichoma juzi baada ya kuona nyoka chooni kwangu ila hakutoka hadi leo vinginevyo iwe alifia humo baada ya kuchoma maana hakuonekana kabisa.
Mkuu, ebu ingia hata kwenye YouTube uone vile battle la nyoka na paka vile inakua..😂😂Ukubwa wa umbo la mnyama hutathmini uwezo wa sumu kusambaa mwilini.
Mnyama mwenye umbo dogo maana yake moyo utasukuma damu haraka haraka hivyo kurahisisha usambazaji.
Paka atawahi kufa kuliko binadamu.
Lakini binadamu atawahi kufa kuliko tembo.
Pia amwage mbolea ya chumvichumvi.
Ila wawe makini, wasije wakamuua halafu wakaonekana kuwa wamemuua, maana nyoka ni nyara ya serikali kwa mujibu wa Kigwangara, au kama watamuua basi wasiwe na itikadi ya upinzani
Umeambiwa mwanafunzi aligongwa na huyo nyoka kwenye kiatu.Nyoka kamuuma paka anakukufa...🙄
Then kamuuma mwanafunzi na hajakufa..😇
Ebu nyorosha maelezo mkuu, otherwise mnaweza mwagia mafuta ya taa ama diesel kuzunguka maeneo ambayo mnahisi huyo mgeni anaonekana.
Ama, nashauri mchome moto eneo linalo zunguka hiyo nyumba na hata ikiwezekana hayo maua mengi myateketeze kwa moto.
Hofu ni kitu mbaya sana
Hujamuelewa mtoa mada, mwanafunzi aling'atwa kwenye kiatuNyoka kamuuma paka anakukufa...[emoji849]
Then kamuuma mwanafunzi na hajakufa..[emoji56]
Ebu nyorosha maelezo mkuu, otherwise mnaweza mwagia mafuta ya taa ama diesel kuzunguka maeneo ambayo mnahisi huyo mgeni anaonekana.
Ama, nashauri mchome moto eneo linalo zunguka hiyo nyumba na hata ikiwezekana hayo maua mengi myateketeze kwa moto.
Hofu ni kitu mbaya sana
Chief paka atamuua kwa urahisi nyoka ambaye hazidi futi 5 ambaye atazidi kila kitu kinakua 50/ 50Mkuu, ebu ingia hata kwenye YouTube uone vile battle la nyoka na paka vile inakua..😂😂
Sasa nilivyokuwa nawaita tena dirisha la nyavu wananisikia lkn wakauchuna Kama vile chizi nisiye na maana wananiona ,je na mm ningegongwa na huyo nyoka na wao wakistarehe ndani wakibishana upuuzi tu ingeleta faida gani kwangu na eneo sio languDah una roho mbaya sana kwa mfano ukasikia kati ya wale vijana mmoja amefariki kwa kugongwa na nyoka utajisikiaje?
pakaa wanauwa nyoka Sana sio panya tu!Jana usiku Kama saa 6 nimeishiwa bando nilikuwa nafuatilia live fainali ya Europa Sasa kufika hatua za penati bqndo likaisha ikabidi nitoke nikaulizie matokeo Sasa ile narudi nikaona paka wawili Kama wanapigana na kimtindo palikuwa Giza.
Ile nakaribia nikagundua hawapigani Kama wanacheza na kitu ikanibidi nipakaribie kuangalia vzr wanacheza na kitu gani
Ase kumbe nyoka walikuwa wanacheza nae huku wakimpiga makofi na kuruka sasa wkt nimewasha tochi ya simu kumulika niangalie vzr wale paka wakakimbia na ndio walikuwa kizuizi wa yule nyoka
Ikanibidi nichukue jukumu la kuokota mawe na kumpiga yule nyoka ,Sasa kwenye ile nyumba kwa dirishani nasikia vijana mabishoo wa chuo bila Shaka wale wanabishana kuhusu mpira ,nikawa nawaita waje kusaidia maana yule nyoka alikuwa anataka kuingia kwenye tobo pale kwao walivyo wajinga wakawa wananiona chizi sijui wakakaa kimya na kuacha kubishana nikaendelea kuwaita wakajikausha
Nikajisemea kwanza sio kwangu najihangaisha bure wacha aingie ndani kwao watajijua wenyewe na ubisho wao,nikazima tochi nikasepa zangu, na nyoka alikuwa mrefu kweli
Paka wanasaidia ase nimegundua Jana night
Aende idara ya wanyama pori atapata msaadaMsaada, kuna jirani yangu Kaingiliwa na nyoka mazingira ya nyumbani kwake, huyu nyoka ana week tangu aonekane mara ya kwanza, ila upo uwezekano ni zaidi ya week maana kabla ya hapo ilikua inatokea tuu kuku kapotea, kelele za kuku bandani, usumbufu dirishani akiwa amelala n.k n.k.
Baada ya mda ndio akaonekana live,
Kumtafuta imekua changamoto kwanza ni kwa mashaka maana yaweza kua naye anakutafuta au mshtukiziane akuwahi...
Na inaonesha ni mkali na ana sumu mbaya, Juzi paka wake alikua naye ndani, ile anatoka tuu nje paka akapiga kelele kutoka anamkuta paka ndio anakaukia, chini ya dk akawa Tayari kafa
Japo inaonekana alimjeruhi, maana mdomoni alikua na damu na ngozi.
Imebidi ahamishe watoto huku, hawakai tena pale.
Mwenyewe anaenda kwa machale,
Nyumbani kwake kuna maua mengi sanaa yale yanayotanda mpaka ukutani, bustani ya mboga, kama mita 50 hivi kuna kijimto na nyasi nyingi,, tumepatana leo tupulize ile dawa ya kuua mimea..
kuna uwezekano anakuja na kuondoka, na si mara ya kwanza kuonekana maeneo ya nje, wanafunzi washamuona sana Kwa maelezo yao ashawahi mgonga mmoja wao kwenye kiatu..
Huyu ndugu tunamsaidiaje?
Jana kakutana na michirizi njee, akaishia nje.
Juzi katika kumsaka tukaambulia gamba tukasepa.
Mara anoe maua yanacheza au kuanguka.
Hakuna njia yoyote zaidi ya kumuua, ila njia gani sasa?
Naomba imani za kishirikina uwe ushauri wa mwisho.