MWANDENDEULE
JF-Expert Member
- May 24, 2015
- 4,099
- 7,466
Ngoja niendelee kuchoma pia labda alikimbia sikumwona tuTuliitumia hii njia tulipokua wadogo, nyumba yetu ilizungukwa na shamba, nyoka walitutembelea sana hasa siku za mvua.
Mama alikua anaomba bips de vya ma tyre garage na tulichoma kila siku jioni. Tulisahau habari ya kupishana na nyoka ndani.
Mkuu tafuta dizel mwaga kwa kuzunguka nyumba na kama hayo maua huyataki yamwagie pia mwenyewe atatoka tu maana nyoka na mafuta hawaelewaniMsaada, kuna jirani yangu Kaingiliwa na nyoka mazingira ya nyumbani kwake, huyu nyoka ana week tangu aonekane mara ya kwanza, ila upo uwezekano ni zaidi ya week maana kabla ya hapo ilikua inatokea tuu kuku kapotea, kelele za kuku bandani, usumbufu dirishani akiwa amelala n.k n.k....
Baada ya mda ndio akaonekana live,
Kumtafuta imekua changamoto kwanza ni kwa mashaka maana yaweza kua naye anakutafuta au mshtukiziane akuwahi...
Na inaonesha ni mkali na ana sumu mbaya, Juzi paka wake alikua naye ndani, ile anatoka tuu nje paka akapiga kelele kutoka anamkuta paka ndio anakaukia, chini ya dk akawa Tayari kafa,
Japo inaonekana alimjeruhi, maana mdomoni alikua na damu na ngozi.
Imebidi ahamishe watoto huku, hawakai tena pale.
Mwenyewe anaenda kwa machale,
Nyumbani kwake kuna maua mengi sanaa yale yanayotanda mpaka ukutani, bustani ya mboga, kama mita 50 hivi kuna kijimto na nyasi nyingi,, tumepatana leo tupulize ile dawa ya kuua mimea..
kuna uwezekano anakuja na kuondoka, na si mara ya kwanza kuonekana maeneo ya nje, wanafunzi washamuona sana Kwa maelezo yao ashawahi mgonga mmoja wao kwenye kiatu..
Huyu ndugu tunamsaidiaje????
Jana kakutana na michirizi njee, akaishia nje..
Juzi katika kumsaka tukaambulia gamba tukasepa.
Mara anoe maua yanacheza au kuanguka..
Hakuna njia yyt zaidi ya kumuua, ila njia gani sasa?
Naomba imani za kishirikina uwe ushauri wa mwisho.
Hii pia ni nzuri sana.Achome kipande cha tyre atatoka mwenyewe
Nyoka hua hawezi kumuua pakaNyoka kamuuma paka anakukufa...[emoji849]
Then kamuuma mwanafunzi na hajakufa..[emoji56]
Ebu nyorosha maelezo mkuu, otherwise mnaweza mwagia mafuta ya taa ama diesel kuzunguka maeneo ambayo mnahisi huyo mgeni anaonekana.
Ama, nashauri mchome moto eneo linalo zunguka hiyo nyumba na hata ikiwezekana hayo maua mengi myateketeze kwa moto.
Hofu ni kitu mbaya sana
Watasema gari haina mafuta!Atoe taarifa kwa maafisa wa wanyamapori watatuma mtaalam wa nyoka atakuja kumsaka POPOTE alipo na kurudisha hifadhini
Ukubwa wa umbo la mnyama hutathmini uwezo wa sumu kusambaa mwilini.Nyoka kamuuma paka anakukufa...🙄
Then kamuuma mwanafunzi na hajakufa..😇
Ebu nyorosha maelezo mkuu, otherwise mnaweza mwagia mafuta ya taa ama diesel kuzunguka maeneo ambayo mnahisi huyo mgeni anaonekana.
Ama, nashauri mchome moto eneo linalo zunguka hiyo nyumba na hata ikiwezekana hayo maua mengi myateketeze kwa moto.
Hofu ni kitu mbaya sana
Hii ni fact au maoni?Nyoka hua hawezi kumuua paka
Kuna kenge na nyegere hawafi.Ukubwa wa umbo la mnyama hutathmini uwezo wa sumu kusambaa mwilini.
Mnyama mwenye umbo dogo maana yake moyo utasukuma damu haraka haraka hivyo kurahisisha usambazaji.
Paka atawahi kufa kuliko binadamu.
Lakini binadamu atawahi kufa kuliko tembo.
Hapa maana yake ata mtu mfupi mwenye umbo dogo atakufa haraka na mwenye umbo kubwa mrefu atachelewa au kutokufa kabisa...Ukubwa wa umbo la mnyama hutathmini uwezo wa sumu kusambaa mwilini.
Mnyama mwenye umbo dogo maana yake moyo utasukuma damu haraka haraka hivyo kurahisisha usambazaji.
Paka atawahi kufa kuliko binadamu.
Lakini binadamu atawahi kufa kuliko tembo.
Siyo nyegere tu mnyama yeyote ambaye atadevelope kinga ya nyoka hatokufa.Kuna kenge na nyegere hawafi.
Aisee, dahNgoja niendelee kuchoma pia labda alikimbia sikumwona tu
Inawezekana paka alileta ubabe akazidiwa na kukimbia baadae alisahau alirudi kulala na paka walivyo wavivu, mwamba akamgonga akiwa usingizini.Mkuu poleni sana,lakini nyoka hua anapigwa na paka! Sasa sijui inakuaje,Nyoka amuue paka! Anyway dawa ya nyoka ni kumwaga mafuta ya taa au diesel au chomeni mataili!
Paka hauawi na nyoka(fact)....Msaada, kuna jirani yangu Kaingiliwa na nyoka mazingira ya nyumbani kwake, huyu nyoka ana week tangu aonekane mara ya kwanza, ila upo uwezekano ni zaidi ya week maana kabla ya hapo ilikua inatokea tuu kuku kapotea, kelele za kuku bandani, usumbufu dirishani akiwa amelala n.k n.k....
Baada ya mda ndio akaonekana live,
Kumtafuta imekua changamoto kwanza ni kwa mashaka maana yaweza kua naye anakutafuta au mshtukiziane akuwahi...
Na inaonesha ni mkali na ana sumu mbaya, Juzi paka wake alikua naye ndani, ile anatoka tuu nje paka akapiga kelele kutoka anamkuta paka ndio anakaukia, chini ya dk akawa Tayari kafa,
Japo inaonekana alimjeruhi, maana mdomoni alikua na damu na ngozi.
Imebidi ahamishe watoto huku, hawakai tena pale.
Mwenyewe anaenda kwa machale,
Nyumbani kwake kuna maua mengi sanaa yale yanayotanda mpaka ukutani, bustani ya mboga, kama mita 50 hivi kuna kijimto na nyasi nyingi,, tumepatana leo tupulize ile dawa ya kuua mimea..
kuna uwezekano anakuja na kuondoka, na si mara ya kwanza kuonekana maeneo ya nje, wanafunzi washamuona sana Kwa maelezo yao ashawahi mgonga mmoja wao kwenye kiatu..
Huyu ndugu tunamsaidiaje????
Jana kakutana na michirizi njee, akaishia nje..
Juzi katika kumsaka tukaambulia gamba tukasepa.
Mara anoe maua yanacheza au kuanguka..
Hakuna njia yyt zaidi ya kumuua, ila njia gani sasa?
Naomba imani za kishirikina uwe ushauri wa mwisho.
Kuna vingi vya kuviconsider hapo.Hapa maana yake ata mtu mfupi mwenye umbo dogo atakufa haraka na mwenye umbo kubwa mrefu atachelewa au kutokufa kabisa...