SuperImpressor
JF-Expert Member
- Oct 17, 2012
- 1,505
- 648
Kwa matumizi hayo usilalamike mkuu. Kuna jamaa ana freezer mpya ya Boss lita 150 imeandikwa 98watts lakini masaa 24 inatwanga unit 2na vipoint sembuse hivyo vifaa vyako mkuu. Ridhika mkuu au tafuta bidhaa za energy saver (siyo kampuni ila ni power rating yake ya ulaji umeme)Taa watt 15 ziko 7 masaa almost 13
Friji watt 500 (auto) masaa 24
Hisense Tv 55" 4k maa 9
Pasi, watts 1000 nusu saa
Redio (sub ufa za kichina) na Azam decoder 9hrs
Blender (inatumika almost mara 5 kwa mwezi chini ya dakika 15)
28 ni unit kidogo sana kama una fridge na blender angalau fanya ziwe 75 ama nenda kaombe tarrif 4 ukitoa elf 10 upate unit 75Salam wakuu,
Mwaka Jana rasmi niliunganishwa na Tanesco umeme nikaanza kupata huduma. Waliniweka kwenye Ile tariff ambayo ukiweka umeme wa elfu kumi unapata units 28. Sasa ndugu zangu changamoto iliyokua inanikabili ni kwamba hizo 28 mwezi sitoboi lazima ninunue tena umeme. Nikaenda tanesco nikaongea na mhasibu mwezi December akasema nije February wanihamishe tarrif. Cha ajabu juzi nimeenda ananiambia mbona nina matumizi makubwa sana (January takribani units 131 nimetumia). Sasa nikashangaa kwa maana ndani nina friji dogo tu (hisense) TV, subwoofer na Xbox (ambayo siitumii ipo tu). Lakini matumizi yanakua makubwa, mhasibu akaniambia kunaweza kukawa na tatizo somewhere kwenye wiring. Tatizo fundi aliyenifanyia wiring kwa sasa hayupo. Hivyo kwa wataalam WA umeme naomba mnishauri nikimtafuta fundi nimwambie aangalie vitu gani ambavyo vinapelekea umeme kutumika mkubwa kiasi hiko. Jama saa SITA mchana nilirekodi units zilizokua zimebaki ambazo NI 6.65, kuja kuangalia mchana WA Leo nimekuta zimebaki units 2.79b(takribani units 3.86) zimetumika ndani ya masaa 24. Je, shida iko wapi wakuu? Shukrani. View attachment 2526613
Mm hadi napikia umeme ila natumia umeme wa elf9 kwa mwezi na hauishiSalam wakuu,
Mwaka Jana rasmi niliunganishwa na Tanesco umeme nikaanza kupata huduma. Waliniweka kwenye Ile tariff ambayo ukiweka umeme wa elfu kumi unapata units 28. Sasa ndugu zangu changamoto iliyokua inanikabili ni kwamba hizo 28 mwezi sitoboi lazima ninunue tena umeme. Nikaenda tanesco nikaongea na mhasibu mwezi December akasema nije February wanihamishe tarrif. Cha ajabu juzi nimeenda ananiambia mbona nina matumizi makubwa sana (January takribani units 131 nimetumia). Sasa nikashangaa kwa maana ndani nina friji dogo tu (hisense) TV, subwoofer na Xbox (ambayo siitumii ipo tu). Lakini matumizi yanakua makubwa, mhasibu akaniambia kunaweza kukawa na tatizo somewhere kwenye wiring. Tatizo fundi aliyenifanyia wiring kwa sasa hayupo. Hivyo kwa wataalam WA umeme naomba mnishauri nikimtafuta fundi nimwambie aangalie vitu gani ambavyo vinapelekea umeme kutumika mkubwa kiasi hiko. Jama saa SITA mchana nilirekodi units zilizokua zimebaki ambazo NI 6.65, kuja kuangalia mchana WA Leo nimekuta zimebaki units 2.79b(takribani units 3.86) zimetumika ndani ya masaa 24. Je, shida iko wapi wakuu? Shukrani. View attachment 2526613
Mkuu bado unapata unit hizo hizoDuh mm umeme wa elf 10 napata unit 74nspikia, nanyooshs, nna fridgekubwa urefu nalingana nayo nna cm175,
Hiyo tarrif 4 utaratibu wake wa kuomba upoje28 ni unit kidogo sana kama una fridge na blender angalau fanya ziwe 75 ama nenda kaombe tarrif 4 ukitoa elf 10 upate unit 75