Msaada: Period (hedhi) inanitesa

Msaada: Period (hedhi) inanitesa

Habari zenu wakuu.

Nachukia the way ninakua ninapokua kwenye hedhi.

Ninapokua kwenye siku zangu mahusiano yangu na watu wengine yanakua hatarini.

Mwanzoni nilikua nachukulia kawaida ila sasa hivi nimejua hili ni tatizo tena kubwa na ninaomba anayeweza kunisaidia anisaidie nifanyaje mana hata najiuliza kama nikiolewa kuna atakayeweza kuishi na mimi kila mwezi siku tatu nakua wa ajabu😭.

Hili tatizo limesababisha nipoteze wafanyakazi wengi wazuri.

Hapa ninavyoandika nimetoka kufanya maamuzi mabaya sana na ninajutia ila sijui kama niliyemfanyia anaweza kunisamehe mahusiano yarudi.

Nimekuja kukumbuka nimefanya niliyofanya sababu ya period wakati niko bafuni naoga.

Cha ajabu ni kwamba,hizo siku tatu zikipita huwa najiahidi kutofanya maamuzi yeyote ya hasira nikiwa period ila nikiingia tu period zile siku tatu za mwanzo nakua na moody mbaya na mtu akiniudhi kidogo tu nahuzunika sana,naweza kulia tu au kuamua kujitenga na huyo mtu.

Najaribu sana kuji control ila mwishowe najikuta naharibu tu😭😭.

Msaada wenu please na please naomba msinihukumu mana jinsi ninavyojisikia hovyo muda huu anajua Mungu tu.
Tafuta msaada wa kiroho na tafuta Muda wa kusali au kuswali ukiweza ni PM nikusaidie cha kufanya.
 
Hayana mahusiano na blid, ni tabia tu inatafuta pa kutokea, control yourself, self discipline na kutojiendekeza ni muhimu.

Ukiwa kwenye blid:

  • Umewahi chukia ukachana hela?
  • Umewahi chukua ukagonga gari?

Mbona yote mabaya unayoamua au kufanya ni kwa ajili ya kuumiza wengine?
Ndio hapo sasa hasira nyiiingi ikimtolea kibunda meno yote nje 😄
 
Nawaonea wivu kweli.
Kuna mambo huwa yanafanya nitamani kuwa mwanaume.Mna raha sana.Tukuzeni uanaume.wenu.Mmependelewa kwa mengi
Yaani ukiona mchumba mood swings zinamchanganya unaona mambo yasiwe mengi unaenda kujiteka hata siku tatu kwa mchepuko 😄
 
Habari zenu wakuu.

Nachukia the way ninakua ninapokua kwenye hedhi.

Ninapokua kwenye siku zangu mahusiano yangu na watu wengine yanakua hatarini.

Mwanzoni nilikua nachukulia kawaida ila sasa hivi nimejua hili ni tatizo tena kubwa na ninaomba anayeweza kunisaidia anisaidie nifanyaje mana hata najiuliza kama nikiolewa kuna atakayeweza kuishi na mimi kila mwezi siku tatu nakua wa ajabu😭.

Hili tatizo limesababisha nipoteze wafanyakazi wengi wazuri.

Hapa ninavyoandika nimetoka kufanya maamuzi mabaya sana na ninajutia ila sijui kama niliyemfanyia anaweza kunisamehe mahusiano yarudi.

Nimekuja kukumbuka nimefanya niliyofanya sababu ya period wakati niko bafuni naoga.

Cha ajabu ni kwamba,hizo siku tatu zikipita huwa najiahidi kutofanya maamuzi yeyote ya hasira nikiwa period ila nikiingia tu period zile siku tatu za mwanzo nakua na moody mbaya na mtu akiniudhi kidogo tu nahuzunika sana,naweza kulia tu au kuamua kujitenga na huyo mtu.

Najaribu sana kuji control ila mwishowe najikuta naharibu tu😭😭.

Msaada wenu please na please naomba msinihukumu mana jinsi ninavyojisikia hovyo muda huu anajua Mungu tu.
Polee sana acha mawazo
 
Wasichojua ni hali ambayo hata sie inatukera hizo hela unaweza mrushia nazo usoni au ukampa neno la kejeli mpaka asilisahau maisha yake yote
Heee ukute unataka 100k alafu mwamba anakutolea 20k mfuko wa nyumba lazima akaziokotee mlangoni 😄
 
Back
Top Bottom