Msaada: Period (hedhi) inanitesa

Msaada: Period (hedhi) inanitesa

Habari zenu wakuu.

Nachukia the way ninakua ninapokua kwenye hedhi.

Ninapokua kwenye siku zangu mahusiano yangu na watu wengine yanakua hatarini.

Mwanzoni nilikua nachukulia kawaida ila sasa hivi nimejua hili ni tatizo tena kubwa na ninaomba anayeweza kunisaidia anisaidie nifanyaje mana hata najiuliza kama nikiolewa kuna atakayeweza kuishi na mimi kila mwezi siku tatu nakua wa ajabu😭.

Hili tatizo limesababisha nipoteze wafanyakazi wengi wazuri.

Hapa ninavyoandika nimetoka kufanya maamuzi mabaya sana na ninajutia ila sijui kama niliyemfanyia anaweza kunisamehe mahusiano yarudi.

Nimekuja kukumbuka nimefanya niliyofanya sababu ya period wakati niko bafuni naoga.

Cha ajabu ni kwamba,hizo siku tatu zikipita huwa najiahidi kutofanya maamuzi yeyote ya hasira nikiwa period ila nikiingia tu period zile siku tatu za mwanzo nakua na moody mbaya na mtu akiniudhi kidogo tu nahuzunika sana,naweza kulia tu au kuamua kujitenga na huyo mtu.

Najaribu sana kuji control ila mwishowe najikuta naharibu tu😭😭.

Msaada wenu please na please naomba msinihukumu mana jinsi ninavyojisikia hovyo muda huu anajua Mungu tu.
Olewa yatakwisha hayo. Utakuwa na pakutolea hasira zako.
 
Ukizaa hizo hasira za wakati wa period hupungua
Kuzaa kunapunguza tatizo la maumivu makali wakati wa hedhi (dysmenorrhea), lakini hakupunguzi hasira ambalo nadhani ni tatizo la kisaikolojia zaidi. Nashauri awaone medical psychologists!

What is dysmenorrhea? Pain associated with menstruation is called dysmenorrhea. More than half of women who menstruate have some pain for 1 to 2 days each month. Usually, the pain is mild. But for some women, the pain is so severe that it keeps them from doing their normal activities for several days a month.
 
Habari zenu wakuu.

Nachukia the way ninakua ninapokua kwenye hedhi.

Ninapokua kwenye siku zangu mahusiano yangu na watu wengine yanakua hatarini.

Mwanzoni nilikua nachukulia kawaida ila sasa hivi nimejua hili ni tatizo tena kubwa na ninaomba anayeweza kunisaidia anisaidie nifanyaje mana hata najiuliza kama nikiolewa kuna atakayeweza kuishi na mimi kila mwezi siku tatu nakua wa ajabu😭.

Hili tatizo limesababisha nipoteze wafanyakazi wengi wazuri.

Hapa ninavyoandika nimetoka kufanya maamuzi mabaya sana na ninajutia ila sijui kama niliyemfanyia anaweza kunisamehe mahusiano yarudi.

Nimekuja kukumbuka nimefanya niliyofanya sababu ya period wakati niko bafuni naoga.

Cha ajabu ni kwamba,hizo siku tatu zikipita huwa najiahidi kutofanya maamuzi yeyote ya hasira nikiwa period ila nikiingia tu period zile siku tatu za mwanzo nakua na moody mbaya na mtu akiniudhi kidogo tu nahuzunika sana,naweza kulia tu au kuamua kujitenga na huyo mtu.

Najaribu sana kuji control ila mwishowe najikuta naharibu tu😭😭.

Msaada wenu please na please naomba msinihukumu mana jinsi ninavyojisikia hovyo muda huu anajua Mungu tu.
Jinsi ya kufanya ukiwa katika hali hiyo:
1. Mshukuru Mungu kwa kuwa hedhi ni uthibitisho kuwa wewe ni mwanamke kamili usiyekuwa na tatizo la kiuzazi! Kuna wanawake wengine hedhi huisikia tu kwa wenzao, hawawezi kupata watoto hata wakiolewa!!
2. Tumia muda huo kuwaza na kufurahia ndoa yako tarajiwa! Jisemee kuwa leo uko mwenyewe lakini kuna siku ukiwa katika hali hiyo kuna kijana mmoja mtanashati umpendaye sana aatakukumbatia na kukuambia pole!!! usijali ni siku tatu tu hali hii itaisha, huku anakusugua kimtindo kiunoni!! Hayo mawazo yatakufanya siku zako zijae furaha na matarajio mazuri!!
 
Jinsi ya kufanya ukiwa katika hali hiyo:
1. Mshukuru Mungu kwa kuwa hedhi ni uthibitisho kuwa wewe ni mwanamke kamili usiyekuwa na tatizo la kiuzazi! Kuna wanawake wengine hedhi huisikia tu kwa wenzao, hawawezi kupata watoto hata wakiolewa!!
2. Tumia muda huo kuwaza na kufurahia ndoa yako tarajiwa! Jisemee kuwa leo uko mwenyewe lakini kuna siku ukiwa katika hali huyo kuna kijana mmoja mtanashati umpendaye sana aatakukumbatia na kukuambia pole!!! usijali ni siku tatu tu hali hii itaisha, huku anakusugua kimtindo kiunoni!! Hayo mawazo yatakufanya siku zako zijae furaha na matarajio mazuri!!
Hii ya pili huwa unafanya?
 
Kumbe, huwa unamsugua kiunoni akiwa na maumivu?
Mkono wangu unahitajika sana wakati huo kuliko wakati mwingine wowote!! Mkono wangu nafanya ku-press kidogo na kusugua taratibu kimahesabu! anafurahia sanaa!! anasikia rahaaa, maumivu yote kipindi hicho kwishney, mood inakuwa nzuri, anafurahi, hisia za hasira kipindi hicho zinayeyuka kama nta mbele ya moto!!
 
Mkono wangu unahitajika sana wakati huo kuliko wakati mwingine wowote!! Mkono wangu nafanya ku-press kidogo na kusugua taratibu kimahesabu! anafurahia sanaa!! anasikia rahaaa, maumivu yote kipindi hicho kwishney, mood inakuwa nzuri, anafurahi, hisia za hasira kipindi hicho zinayeyuka kama nta mbele ya moto!!
Hongera mkuu
 
Mkono wangu unahitajika sana wakati huo kuliko wakati mwingine wowote!! Mkono wangu nafanya ku-press kidogo na kusugua taratibu kimahesabu! anafurahia sanaa!! anasikia rahaaa, maumivu yote kipindi hicho kwishney, mood inakuwa nzuri, anafurahi, hisia za hasira kipindi hicho zinayeyuka kama nta mbele ya moto!!
Amebarikiwa sana mkeo.
.Iam sure she is a very happy woman.
Hongera sana mkuu.
Mpo wachache.
 
Back
Top Bottom