MSAADA PLEASE! (Wanaume)

mwana ushakuwa nyuki wa mashine.
yani inamaana hata ile sa kumi na moja bado kitu inakosa chaji?
pole mkuu, tafuta kiagra, au mkongoraa kama unatokea maeneo ya mstuni.
 
mwana ushakuwa nyuki wa mashine.
yani inamaana hata ile sa kumi na moja bado kitu inakosa chaji?
pole mkuu, tafuta kiagra, au mkongoraa kama unatokea maeneo ya mstuni.

Chaji ipo mwana, sema ndiyo hayo mauoga. si kwamba sifanyi naye kabisa, ile nikiamba ikiwa imechachamaa nado the needful lakini pale mwanzoni ilipogoma huwa namuonea huruma sana demu sbb anakuwa kalegea kabisa lakini mi wapii!! usiku na asubuhi jamaa anachachamaa mbaya!
 

Mkuu nashukuru kwa ushauri mzuri, nitaufanyia kazi aisee. Yawezekana ni sbb moja wapo kwani huwa akamia kinoma may b its a reason! Thanx
 
Pole sana mpenzi mbaya sana hiyo jamani, bahati mbaya mimi sio mwanaume nashindwa hata cha kukushauri hope wakiamka walengwa utapata msaada

Nadhani ndo ungekuwa na nafasi nzuri ya kumshauri, imagine angekuwa ndo mpenzi wako au mmeo ungefanyeje? ungependa kila siku mpge desh.....
 
Hili ni tatizo la kisaikolojia tu na linatokana na mambo mengi. mengine yameshasemwa mfano hofu ya kupata maradhi, kufumaniwa n.k. mimi nakumbuka wakati niko chuo na kabla sijaoa hali hiyo ilikuwa inanitokea. mwenzangu akawa ananiletea chocolate natafuna kabla ya kuanza mechi.
tatizo likaishana na tukaoana na tunaishi kwa amani
 

Mkuu nashukuru kwa ushauri, bila shaka kama nimekuelewa vyema ni kwamba chocolate zasaidia. samahani wawezafafnua kidogo? mfano chocolate aina ipi hasa? ahsante sana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…