Msaada, punyeto inanisumbua sana

Soon kuna watu watapigwa na kitu kizito hapa
 
Sawa, tutazungumza vizuri ndugu! Ahsante sana.
 
Unaulizaje kwenye chanel maana hakuna sehem unaeza comment mkuu naomba nielekeze
 
Yani mm picha nayopata mnavyokua mnapiga hiyo punyeto naona kama mnakua wehu kwa muda.

Kuna dogo wa dada yangu yuko chuo imebidi nimwambie akapange tuu hostel asije tufia hapa maana akiingia bafuni saa moja usiku anatoka saa mbili na dkk kadhaa mimi mpk naona aibu aisee.
 
Mwache ajichukulie sheria mkononi dogo

Akileta demu mnamaindi akijipimia mnamsema tena. Khaaah!!
 
Ningelikuwa karibu yako ningelikuzaba kofi [emoji35][emoji35]
 
Chukua huu ushauri
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…