Jana Ulirudi Usiku
JF-Expert Member
- Sep 9, 2021
- 2,360
- 2,269
- Thread starter
-
- #61
Hawarudishi change? Why?Manzese kwa Wahaya:
Ni 3k mkuu ashindwe yeye tu
7k na style anapewa
Ila aende na pesa kamili asitegemee kurudishiwa chenji
Shida ni kuacha sasaDogo acha ujinga hiyo ni moja ya development stage tulia kila mwanaume rijali amepitia hyo stage
Soon kuna watu watapigwa na kitu kizito hapaKwani ni nani aliyekuthibitishia kuwa hajapata watoto au hasimamishi kwasababu alikuwa anapiga punyeto?
Acheni upumbavu kula raha wewe.
Turudi kwenye mada.
Kama unataka kuondoka katika kadhia hiyo dawa ninayo ambayo ufanisi wake ni 100% , utaiandaa mwenyewe, bidhaa yenyewe inauzwa jero tu . Inatibu kila aina ya addiction.
Je, utanilipa sh ngapi?
Sawa, tutazungumza vizuri ndugu! Ahsante sana.Nimwage mambo kivipi.
Nitumie elfu 10 ya soda nikupe dawa ya kuacha punyeto.
Madhara ya punyeto
-Mikosi itakuandama.
- Akili inalala
- Afya inadhorota hasa afya ya viungo
- Mpiga punyeto hana uwezo wa kuwa kiongozi bora
- Utachapiwa mke wako kirahisi hata kama una pesa.
Njoo pm nitumie hata buku 7 tu nikupe dawa upone.
Siuzi dawa ya kuacha punyeto bali nakupa tu kishkaji.
Kwa doctor Mwaka utatoa mpaka laki 2 kuponywa hilo tatizo
Unaulizaje kwenye chanel maana hakuna sehem unaeza comment mkuu naomba nielekezeJiunge na group hili la telegram. Uliza maswali yote huko na utajibiwa. Kuna mbinu kadhaa wanajadili na kuna vitabu vya kisaikolojia vyenye njia za kuacha punyeto zilizothibitishwa. Kila la heri mkuu [emoji1545][emoji1545][emoji1545]
NoFap Community
🔥 SUPPORT CHANNEL FOR QUITTING PMO AND SELF-IMPROVEMENT 🔥 🎊 ᴡᴇʟᴄᴏᴍᴇ ᴛᴏ 1% ᴄʟᴜʙ 🎊 • ᴍᴇᴍᴇs • ʙᴏᴏᴋs • ꜰᴀᴄᴛs • ᴍᴜsɪᴄ • ᴛɪᴘs ©️ ᴅᴍᴄᴀ: @NoFapReportBot 🗂 sᴇɴᴅ ᴄᴏɴᴛᴇɴᴛ: @NoFapContentBot Copyright: https://t.me/NoFapChallenge100/2982t.me
Wahuni wale watakujazia watu tuHawarudishi change? Why?
Hata kwa wanaume hakuna shida, hayo madhara wanayosema ni vitisho tuSijui kwa wanaume, ila kwa wanawake mi sijaona madhara bado...full utam😅😀
Mwache ajichukulie sheria mkononi dogoYani mm picha nayopata mnavyokua mnapiga hiyo punyeto naona kama mnakua wehu kwa muda.
Kuna dogo wa dada yangu yuko chuo imebidi nimwambie akapange tuu hostel asije tufia hapa maana akiingia bafuni saa moja usiku anatoka saa mbili na dkk kadhaa mimi mpk naona aibu aisee.
Ningelikuwa karibu yako ningelikuzaba kofi [emoji35][emoji35]Nimwage mambo kivipi.
Nitumie elfu 10 ya soda nikupe dawa ya kuacha punyeto.
Madhara ya punyeto
-Mikosi itakuandama.
- Akili inalala
- Afya inadhorota hasa afya ya viungo
- Mpiga punyeto hana uwezo wa kuwa kiongozi bora
- Utachapiwa mke wako kirahisi hata kama una pesa.
Njoo pm nitumie hata buku 7 tu nikupe dawa upone.
Siuzi dawa ya kuacha punyeto bali nakupa tu kishkaji.
Kwa doctor Mwaka utatoa mpaka laki 2 kuponywa hilo tatizo
Akajichukulie huko room kwake,watu wanataka kuingia bafuni washindwe aseeMwache ajichukulie sheria mkononi dogo
Akileta demu mnamaindi akijipimia mnamsema tena. Khaaah!!
Kwasababu umesema wewe kidume mi ni nani nibishe mkuuHata kwa wanaume hakuna shida, hayo madhara wanayosema ni vitisho tu
Mwaka wa 20 huu mi sijawahi kuona hayo madhara wanasema....Kwasababu umesema wewe kidume mi ni nani nibishe mkuu
uwongo1. Kuathirika kisaikolojia sababu kitendo unachokifanya sio maadili mazuri
2. Kushindwa kuhimili tendo la ndoa kwa mwanamke yaan ukishamwaga cha kwanza tu haurudii tena.
3. Premature ejaculation
4. Kuumwa mgongo na uti wa mgongo
5. Uume kusinyaa yaan unakuwa mdogo kama wa mtoto
Chukua huu ushauriKwanza hauwezi kuwa hanith kwa kujichua, pia hauwezi kushindwa kupata watoto sababu ya kujichua
Madhara yanayoambatana na kujichua ni haya
1. Kuathirika kisaikolojia sababu kitendo unachokifanya sio maadili mazuri
2. Kushindwa kuhimili tendo la ndoa kwa mwanamke yaan ukishamwaga cha kwanza tu haurudii tena.
3. Premature ejaculation
4. Kuumwa mgongo na uti wa mgongo
5. Uume kusinyaa yaan unakuwa mdogo kama wa mtoto
Madhara haya si lazima yakutokee yote,
Hali uliyonayo hupitiwa na vijana karibu wote ila wengi huacha mapema sana sasa wewe 27 ni umri mkubwa sana kwa amaana una zaidi ya miaka 10 unajichua
Way forward.
Kwanza hatua ya kutambua kuwa kitendo hicho sio kizuri na kina madhara ndo hatua ya kwanza na nzuri kuanza safari yako mpya
Pili dhamira yako ya kutaka kuacha punyeto ni hatua ya pili na nzuri tu ambayo dereva mkuu ni wewe mwenyewe
Tatu: kamwe usijaribu kuudanganya moyo wako, najua hujanielewa kwamba umeamua kuacha halafu unajiiba maramojamoja unafanya utakuwa unafanya sawa na kunya kinyesi halafu unakila tena
Kama utashindwa kujisimamia kuacha basi tsfuta mshauri nasaha mweleze kila kitu
Cha kufanya sasa
Kwanza usikae peke yako mda mrefu kama unalala peke yako basi tafuta hata rafiki umkaribisha uwe unalala naye
Pili kama unaangalia picha za ngono basi futa zote na ikiwezekana kama smartphone ni kikwazo iuze nunua simu ya kawaida
Tatu anza mazoezi asubuhi na jioni ili kuuchosha mwili na kama umeajiriwa basi jikite zaidi kufanya kazi ya mwajiri wako masaa hata baada ya kazi ili kuuchosha mwili
Nne tafuta mschana na ikiwezekana oa kabisa sababu kwa umri wako vijana wengi ndo huanzisha familia hata mm nlioa na miaka 28 nikiwa kazini mwaka mmoja.
Na mwisho lichukie sana hilo tendo maana ni machukizo kwa mwenyezi Mungu.
Mmemwonea dogo ila poa acha akakiwashe kwa uhuru sasaAkajichukulie huko room kwake,watu wanataka kuingia bafuni washindwe asee
Mi sijui hata nilikua siiingii huko bafuni kwao nilikua nakwazika tuuMmemwonea dogo ila poa acha akakiwashe kwa uhuru sasa
Kwani alipokuwa akimaliza alikuwa anaacha utelezi bafuni?