MSAADA: Safari ya kisiwa cha Reunion

MSAADA: Safari ya kisiwa cha Reunion

Braza, Reunion ipo chini ya Ufaransa umejiandaa vizuri na vielelezo vingine vya Visa?
 
Reunion Embassy in Dar es Salaam ; Address. Ali Hassan Mwinyi Road /Angle Kulimani Road P.O. box 2349 Dar es Salam Dar es Salaam Tanzania ; Phone. +255-22-219-88- ...
Kk najuwa lkn mm natak nikafte lufe uko natak niende kiujanja tu nipitie nchi jirani mpk nitimbe lkn sjaelewa njia vzr ndomn nlikuwa naomb msaada anielekeze jins yakutengeneza saffar yangu
 
Bro mm staki visa natak nkifika nisem mm mkimbizi tu ndomn ntak niende comoro kisha Madagascar mpk nifike uko
 
Bro mm staki visa natak nkifika nisem mm mkimbizi tu ndomn ntak niende comoro kisha Madagascar mpk nifike uko
Unahitaji ushauri nasaha, unachowaza wala hakina uhalisia, hivyo visiwa alivyonunuwa Mfaransa ukatafute maisha yepi? wafaransa wenyewe wamejaa roho mbaya tu na ufuska.
 
Nahitaji kufahamu kwa mtu anayejua bei za safari ya kwenda kisiwa cha Reunion kwa kutumia boti. Natamani nipitie Comoro, Madagascar mpaka Reunion

Msaada wenu juu ya safari hiyo kuhusu bei za nauli mpaka nifike huko, ndege sitaki kutumia.
Hatari sana chief, chonga mtumbwi laki saba, nunua engine ya milioni tatu, malizia na life jacket ya 15,000. Hapo unabakiza misosi tu
 
Mi nilitaka kwenda kisiwa Cha seychelles kipo hapahapa East Africa ila mambo yakawa mengi vikwazo kibao nikaacha
 
Kk najuwa lkn mm natak nikafte lufe uko natak niende kiujanja tu nipitie nchi jirani mpk nitimbe lkn sjaelewa njia vzr ndomn nlikuwa naomb msaada anielekeze jins yakutengeneza saffar yangu
Kama hujitajiki kuwa na visa, kwanini uingie kimagumashi?
 
Back
Top Bottom