MSAADA: Safari ya kisiwa cha Reunion

MSAADA: Safari ya kisiwa cha Reunion

Ni ufaransa hapo. Ingekuwa hivyo basi kisiwa kingejaa.
Ni kweli besti. Re union na Mayotte ni ufaransa. French overseas territories kama, New Caledonia, Tahiti (French Polynesia) wallis and Futuna pacific. Pamoja Martinique na St Barts, Guadalupe, french Guiana carreban. Hivi ni badhi tu.

Hii Martinique na Guadalupe ndo kwa asili ya Thiery henry, Anelka, Wiltord sylvain, Anthony Martial. Yani ni waafrika lakini mabaguz kichiz

Kuingia huko lazima uwe na Schengen visa. Ukiingia kiholela ukaomba ukimbizi utapewa hifadhi kwa mda wakishughulikia case yako

Wengi kutoka Rwanda, Congo, Nigeria 2010 kurudi chini walipata hifadhi ya uki mbizi. Wakatai huo ilikuwa rahis hamna fingerprints. Ila sasa ni kugumu.

Navifaham vema visiwa vya Mayotte na Reunion. Re union kuna mashamba mengi sana ya miwa.
 
Ni kweli besti. Re union na Mayotte ni ufaransa. French overseas territories kama, New Caledonia, Tahiti (French Polynesia) pacific. Pamoja na St Barts carreban.

Kuingia huko lazima uwe na Schengen visa. Ukiingia kiholela ukaomba ukimbizi utapewa hifadhi kwa mda wakishughulikia case yako

Wengi kutoka Rwanda, Congo, Nigeria 2010 kurudi chini walipata hifadhi ya up mbizi. Wakata huo ilikuwa raahis hamna fingerprints. Ila sasa ni kugunu.

Navifaham vema visiwa vya Mayotte na Reunion. Re union kuna mashamba mengi sana ya miwa.
Na ukitaka kwenda La Réunion visa unaombea ubalozi wa Ufaransa ulio nchini kwako.
 
Mbona huwa nakuona una upeo ila kwa hili unaniangusha.

Department overseas tangu lini ikawa ni Ufaransa?

Ingekuwa hivyo hivyo visiwa so ndio vingekuwa shortcut ya kuingia Paris?

Department overseas za Ufaransa vikiwemo hivyo visiwa vya Reunion siyo part of Shenghen, Reunion wana ubalozi wao Dar es salaam na Ufaransa INA ubalozi wake.
Watanzania tuachie kukatishana tamaa

Mwache alifanyie kazi wazo lake

Mimi binafsi namtakia kila la heri
 
All in all mleta maada kama.unajua lingala nenda jilipue kwa boti tu .Maana visa huwezi kupata. Na ujitahidi ujuwe vitu vingi kuhusu congo hasa province utakayasema umetoka.
 
Kama Reunion ni Ufaransa na Ufaransa ni part ya.Schengen .Why Reunion isiwe Schengen.Eti visa on arrival 🤣
All stupid questions ask Google, nimeshakwambia Reunion siyo part of Shenghen, ukienda Reunion ni kama unavyokwenda Nairobi tu au South Africa.

Inasikitisha mtu ambaye hujui kitu unaelekezwa na bado unashupaza shingo tu.

Cc: barafu Kiranga Pascal Mayalla
 
All stupid questions ask Google, nimeshakwambia Reunion siyo part of Shenghen, ukienda Reunion ni kama unavyokwenda Nairobi tu au South Africa.

Inasikitisha mtu ambaye hujui kitu unaelekezwa na bado unashupaza shingo tu.

Cc: barafu Kiranga Pascal Mayalla
Unapokwenda La Réunion lazima uombe visa ubalozi wa Ufaransa kwa nchi uliyopo. Ok sawa siyo.part ya Schengen. Ila ni part ya Ufaransa.
 
All stupid questions ask Google, nimeshakwambia Reunion siyo part of Shenghen, ukienda Reunion ni kama unavyokwenda Nairobi tu au South Africa.

Inasikitisha mtu ambaye hujui kitu unaelekezwa na bado unashupaza shingo tu.

Cc: barafu Kiranga Pascal Mayalla
Haya mambo mbona yako wazi mitandaoni tu?

 
Mimi huwa ninakwenda ubalozi wa Ufaransa kuomba visa. Wananipa visa.Nikifika Zurich nakaguliwa ila nikifika Charles de Gaule napita tu. So ni Schengen visa.
Kwahiyo umeshajiona kwamba unabisha kitu usichokijuwa?
 
Huyo Dada nimeshindwa kumuelewa anakomalia kitu asichokijuwa.
Unahitaji visa kwenda La Réunion. Si wewe unavyosema eti unapata visa on arrival. Kama wewe ni Mtanzania basi nenda ubalozi wa Ufaransa Tanzania ili upate visa kwenda la Réunion.
 
Back
Top Bottom