Msaada: Simu gani ina rekodi sauti vizuri ambayo naweza kuitumia ku record content you tube?

Msaada: Simu gani ina rekodi sauti vizuri ambayo naweza kuitumia ku record content you tube?

TSh 130,000. Simu charging port typeC???

No wonder mnatapeliwa sana
 
Laki na 30 ila Mimi sihitaji camera nahitaji audio. Ninacho kizungumzia ni kuingia kwenye simu kwenye sehemu ya audio recording na kujirekodi sauti. Sijui kama unanipata vizuri mkuu
Unataka ujireķodi sauti ili uanze kupiga watu. Alisikika mlevi mmoja wa Mwananyamala Manjuju ambae alisapotiwa pia na mkaaza wa Makurunge kwa kivuzi
 
Nahitaji simu ya kawaida kabisa bajeti yangu laki na 30.

Kikubwa iwe ina uwezo wa kutoa audio inayo sikika vizuri. Iwe Type C ambayo inaweza kutumia vile vi microphone vya sh elfu 25.

Nakumbuka mwaka 2017 nilinunua kisimu cha promotion pale Mlimani City cha VODAFONE. Nilikinunua sh elfu themanini ila kilikuwa very useful strong and powerful na kilikuwa kinatoa sauti nzuri sana ukirekodi audio.

Nilienda kukiulizia tena mwaka jana nikakuta havipo tena stock limeisha.

Now natumia simu ya mkopo ambayo ninaweza nikasema ni kama nimepigwa. Gharama yake jumla ni kama sh laki 3 na themanini. Ila up to know simu imekufa sauti mtu akipiga hamsikilizani. Audio haifanyi kazi kabisa hata ukijirekodi sauti unasikika kwa mbali sana.

Ni simu ya kihindi hawa jamaa wauzaji nahisi watakuwq walikosa soko wakaamua kurudisha gharama zao kwa kutupiga kwa staili hiyo. Sasa nauliza bandugu je ni simu gani ya gharama nafuu ambayo ukirekodi sauti inasikika vizuri?

Kama una ijua naomba unifahamishe na gharama yake tafadhali na inapopatikana ndani ya Dar es salaam.

Asante sana
Bongotunacheza kweli wewe unacheza hilo fujo lako la 130K ndio utapata kitu kizuri cha high quality .Wabongo bwana dah cjui umezaliwa wapi cjui uko mkoa gani unaoneka bonge la mshamba na unatka kukurupuka tu ili na wewe uonakane unafanya iyo audio 130K watu wamombasa wanasema machezo ni khasara hebu tafuta pesa ufanye pesa at list una 500k unaweza kidogooo ukajisikia eti 2017 nilipata simu nzuriii.
 
Bongotunacheza kweli wewe unacheza hilo fujo lako la 130K ndio utapata kitu kizuri cha high quality .Wabongo bwana dah cjui umezaliwa wapi cjui uko mkoa gani unaoneka bonge la mshamba na unatka kukurupuka tu ili na wewe uonakane unafanya iyo audio 130K watu wamombasa wanasema machezo ni khasara hebu tafuta pesa ufanye pesa at list una 500k unaweza kidogooo ukajisikia eti 2017 nilipata simu nzuriii.
Usiogope mkuu naweza pata kwa chini ya hela hiyo mkuu.
 
Kama umesoma vizuri uzi wangu nimesema mwaka 2017 nili nunua Mlimani City simu ya elfu 80 na ilikuwa ina rekodi sauti vizuri tu.


Kingine nimesema hii simu ya mkopo nimepigwa kwa sababu hata sauti kuwasiliana na mtu hatusikilizani vizuri.
Anyway kila la kheri mkuu.
 
Watanzania wanajali content sio presentation yake na ukitaka kujua angalia content za vichekesho. Nyingi zipo natural tu, hakuna lighting wala sauti nzuri Ila watu wanajali kusikia, kuona na kucheka. So ni kawaida sana
Ni kweli unachosema .... watanzania ndio tushajizoesha hivyo...kwa mfano huo huo angalia comedy za wenzetu akina King Back Anwar Leon wa marekani vitu viko Systematic yani investment sasa sisi tushaozea hizo basi wacha tuendelee hivyo hivyo
 
Ndio maana uliporudi ukaambiwa hazipo.

2017 Whatsapp tu ilikuwa ukii download ilikuwa na 15MB

Saizi app hiyo ina 45+MB

Ushauri wangu ni kwamba utafute simu ambayo itakuwa na standard za kuendana au kukaribiana na usasa wa technology ambayo tupo.

Kwa maana usitafute simu Kawasababu tu ya kazi ya kurekodi audio halafu siku ukawa na mahitaji ya kuitumia Kwa mambo mengine ukajikuta unakwama Kawasababu Haina uwezo.

Ni ushauri tu.
Well said....[emoji119][emoji106]
 
Back
Top Bottom