Msaada: Sioni tena umuhimu wa kuishi na kiumbe anayeitwa mwanamke

Msaada: Sioni tena umuhimu wa kuishi na kiumbe anayeitwa mwanamke

Melki Wamatukio

JF-Expert Member
Joined
May 3, 2022
Posts
6,156
Reaction score
10,974
Na sio tu mwanamke, bali sioni kabisa umuhimu wa kujihusisha kwenye suala zima linaloitwa ngono, iwe ya aina yoyote ile

Mwaka jana nilianza kama masihara hivi, nilikuwa kataa ndoa tena mwanachama kindaki ndaki, baada ya hapo nikasajiliwa kwenye chama cha kataa genye, hapo nikaamua rasmi kuachana na mapenzi na kujaribu mambo mengine ya msingi kama vile betting e.t.c

Miezi kadhaa ikiyopita nilikuwa najishtukia kuwa tofauti na binadamu wengine, lakini kwa sasa hata kule kujishtukia hakupo tena. Yaani akili yangu haina taswira ya kitu kinachoitwa ngono, nilikuwa mwanachama wa chaputa kwa muda mrefu sana, ikafikia hatua nikawa sitekelezi kabisa matakwa ya chama kama itakiwavyo, na huko nako nikafukuzwa. Sasa hivi nimekuwa mfano wa robot, hata umchukue binti unifungie chumbani nikiwa naye, usishangae ukarudi asubuhi ukakuta no mtanange wowote ulioputiwa, yaani ni mara mia tu nilale kwa kweli

Hili kweli sio tatizo? Kwani kuna ulazima wa kufanya mapenzi duniani? Kama ni muhimu naombeni msaada wa kisaikolojia

NB: Viumbe nilivyovichukulia ni mashetani, kwa sasa hata kwenye ubongo wangu vimefutika kabisaaa, ubongo wangu unaniambia Kitu mapenzi hakipo tena, wanawake hawapo kabisa
 
Na sio tu mwanamke, bali sioni kabisa umuhimu wa kujihusisha kwenye suala zima linaloitwa ngono, iwe ya aina yoyote ile

Mwaka jana nilianza kama masihara hivi, nilikuwa kataa ndoa tena mwanachama kindaki ndaki, baada ya hapo nikasajiliwa kwenye chama cha kataa genye, hapo nikaamua rasmi kuachana na mapenzi na kujaribu mambo mengine ya msingi kama vile betting e.t.c

Miezi kadhaa ikiyopita nilikuwa najishtukia kuwa tofauti na binadamu wengine, lakini kwa sasa hata kule kujishtukia hakupo tena. Yaani akili yangu haina taswira ya kitu kinachoitwa ngono, nilikuwa mwanachama wa chaputa kwa muda mrefu sana, ikafikia hatua nikawa sitekelezi kabisa matakwa ya chama kama itakiwavyo, na huko nako nikafukuzwa. Sasa hivi nimekuwa mfano wa robot, hata umchukue binti unifungie chumbani nikiwa naye, usishangae ukarudi asubuhi ukakuta no mtanange wowote ulioputiwa, yaani ni mara mia tu nilale kwa kweli

Hili kweli sio tatizo? Kwani kuna ulazima wa kufanya mapenzi duniani? Kama ni muhimu naombeni msaada wa kisaikolojia

NB: Viumbe nilivyovichukulia ni mashetani, kwa sasa hata kwenye ubongo wangu vimefutika kabisaaa, ubongo wangu unaniambia Kitu mapenzi hakipo tena, wanawake hawapo kabisa
Toashi ...
 
Sio lazima, wala haukufa ila jikaze hivyo hivyo tusikusikie umesajiliwa CHAPUTA
 
Tatizo unaweza usione athari kwa sasa mpaka pale utapopata ugonjwa wa mfadhaiko kiasi cha kutamani mpaka mbuzi na kuwa dunga dunga kwenye madaladala.
 
Asubuhi jogoo hawiki? Akiwika anakukumbusha kuwa unahitaji kushare energy na mwenzako
 
Na sio tu mwanamke, bali sioni kabisa umuhimu wa kujihusisha kwenye suala zima linaloitwa ngono, iwe ya aina yoyote ile

Mwaka jana nilianza kama masihara hivi, nilikuwa kataa ndoa tena mwanachama kindaki ndaki, baada ya hapo nikasajiliwa kwenye chama cha kataa genye, hapo nikaamua rasmi kuachana na mapenzi na kujaribu mambo mengine ya msingi kama vile betting e.t.c

Miezi kadhaa ikiyopita nilikuwa najishtukia kuwa tofauti na binadamu wengine, lakini kwa sasa hata kule kujishtukia hakupo tena. Yaani akili yangu haina taswira ya kitu kinachoitwa ngono, nilikuwa mwanachama wa chaputa kwa muda mrefu sana, ikafikia hatua nikawa sitekelezi kabisa matakwa ya chama kama itakiwavyo, na huko nako nikafukuzwa. Sasa hivi nimekuwa mfano wa robot, hata umchukue binti unifungie chumbani nikiwa naye, usishangae ukarudi asubuhi ukakuta no mtanange wowote ulioputiwa, yaani ni mara mia tu nilale kwa kweli

Hili kweli sio tatizo? Kwani kuna ulazima wa kufanya mapenzi duniani? Kama ni muhimu naombeni msaada wa kisaikolojia

NB: Viumbe nilivyovichukulia ni mashetani, kwa sasa hata kwenye ubongo wangu vimefutika kabisaaa, ubongo wangu unaniambia Kitu mapenzi hakipo tena, wanawake hawapo kabisa
Pole sana

Zingatia kanuni ya kujipenda mwenyewe wanawake hawana shukrani,halafu mfanye kitu Cha ziada sio main Sana kwako!

Kinachotuumiza ni kuwa Hawa viumbe Huwa tunawachukulia Kwa uzito sana badala ya kuwachukulia kama bidhaa TU zinazouzwa Kwa Bei Fulani na ukifika bei anakua wako kwa wakati huo Hadi atakapopata mbadala!!

Hakuna umilele kwenye mahusiano Bali ni hamu ya muda Hadi pale itakapokata na ikikata unaishi name kama dada vile au mtu Baki na sio kama mtu muhimu coz anachoweza kuku offer Kuna mwingine anaweza kukupa Kwa bei fulani!!

Acha kuwachukulia Kwa uzito!
 
asikuongopee mtu maisha bila kuwa na mke,mpenzi, & demu siyo tu mazuri bali ni bora sana! unaChotakiwa jishughulishe, kuwa na mishemishe piga kazi vuna kipato chako, kula vizuri, vaa vizuri, lala pazuri mengne utaongezea.
 
Back
Top Bottom