Msaada: Sioni tena umuhimu wa kuishi na kiumbe anayeitwa mwanamke

Msaada: Sioni tena umuhimu wa kuishi na kiumbe anayeitwa mwanamke

Basi hamia kwa kiumbe anayeitwa Mwanaume!! [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Ukipata pesa utarudi Tu mwamba. Ni suala la muda ukichanganya na stress
 
Na sio tu mwanamke, bali sioni kabisa umuhimu wa kujihusisha kwenye suala zima linaloitwa ngono, iwe ya aina yoyote ile

Mwaka jana nilianza kama masihara hivi, nilikuwa kataa ndoa tena mwanachama kindaki ndaki, baada ya hapo nikasajiliwa kwenye chama cha kataa genye, hapo nikaamua rasmi kuachana na mapenzi na kujaribu mambo mengine ya msingi kama vile betting e.t.c

Miezi kadhaa ikiyopita nilikuwa najishtukia kuwa tofauti na binadamu wengine, lakini kwa sasa hata kule kujishtukia hakupo tena. Yaani akili yangu haina taswira ya kitu kinachoitwa ngono, nilikuwa mwanachama wa chaputa kwa muda mrefu sana, ikafikia hatua nikawa sitekelezi kabisa matakwa ya chama kama itakiwavyo, na huko nako nikafukuzwa. Sasa hivi nimekuwa mfano wa robot, hata umchukue binti unifungie chumbani nikiwa naye, usishangae ukarudi asubuhi ukakuta no mtanange wowote ulioputiwa, yaani ni mara mia tu nilale kwa kweli

Hili kweli sio tatizo? Kwani kuna ulazima wa kufanya mapenzi duniani? Kama ni muhimu naombeni msaada wa kisaikolojia

NB: Viumbe nilivyovichukulia ni mashetani, kwa sasa hata kwenye ubongo wangu vimefutika kabisaaa, ubongo wangu unaniambia Kitu mapenzi hakipo tena, wanawake hawapo kabisa
Hongera sana, ila kamari nayo si nzuri. Ila unakaribia utakatifu kwa kushinda tamaa kubwa ya kimwili.
 
Back
Top Bottom