Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
HahahahaBasi hamia kwa kiumbe anayeitwa Mwanaume!! [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Kaleft huyu😂😂😂Pole sanaa..Sasa unataka msaada gani....?
Wee unaona apewe ushauri gani huyu kiumbe? [emoji23][emoji23][emoji23]Hahahaha
Ivo yaan....ifikie hatua watu waonee huruma mioyo yao....Furaha yako kwanzaMaisha yako, maamuzi yako na chaguo lako. Wewe ni wewe kama umeamua hivyo hatutii neno
Itakuwa ww una c 3 zilizobalance😅😅Wee unaona apewe ushauri gani huyu kiumbe? [emoji23][emoji23][emoji23]
Ngoja nimuite huyo bibiwanawake tunaishi navyo hivo hivo ijalishi mzungu,mwarabu,mchina,mu asia au faizafoxy. jikaze kama unavyo muona mama yako yupo mpaka leo na baba yako
Tena Phys, Chem, na Math, PCM ya pointi 9.Itakuwa ww una c 3 zilizobalance[emoji28][emoji28]
Astaghfirullah astaghfirullah dunia imeisha hiiBasi hamia kwa kiumbe anayeitwa Mwanaume!! [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
HahahahaTena Phys, Chem, na Math, PCM ya pointi 9.
Wee huogopiiii. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Hongera sana, ila kamari nayo si nzuri. Ila unakaribia utakatifu kwa kushinda tamaa kubwa ya kimwili.Na sio tu mwanamke, bali sioni kabisa umuhimu wa kujihusisha kwenye suala zima linaloitwa ngono, iwe ya aina yoyote ile
Mwaka jana nilianza kama masihara hivi, nilikuwa kataa ndoa tena mwanachama kindaki ndaki, baada ya hapo nikasajiliwa kwenye chama cha kataa genye, hapo nikaamua rasmi kuachana na mapenzi na kujaribu mambo mengine ya msingi kama vile betting e.t.c
Miezi kadhaa ikiyopita nilikuwa najishtukia kuwa tofauti na binadamu wengine, lakini kwa sasa hata kule kujishtukia hakupo tena. Yaani akili yangu haina taswira ya kitu kinachoitwa ngono, nilikuwa mwanachama wa chaputa kwa muda mrefu sana, ikafikia hatua nikawa sitekelezi kabisa matakwa ya chama kama itakiwavyo, na huko nako nikafukuzwa. Sasa hivi nimekuwa mfano wa robot, hata umchukue binti unifungie chumbani nikiwa naye, usishangae ukarudi asubuhi ukakuta no mtanange wowote ulioputiwa, yaani ni mara mia tu nilale kwa kweli
Hili kweli sio tatizo? Kwani kuna ulazima wa kufanya mapenzi duniani? Kama ni muhimu naombeni msaada wa kisaikolojia
NB: Viumbe nilivyovichukulia ni mashetani, kwa sasa hata kwenye ubongo wangu vimefutika kabisaaa, ubongo wangu unaniambia Kitu mapenzi hakipo tena, wanawake hawapo kabisa
Shoga anajihusisha na ngono, yeye kasema hana tamaa za kingono za aina yoyote.Utakua shoga..shauri zako