Msaada: Sioni tena umuhimu wa kuishi na kiumbe anayeitwa mwanamke

Umejaribu kuishi na mwanaume mkuu?
 
Sasa unataka msaada wa nini Mkuu na uko right track. Wewe enjoy chochote kile unachoenjoy!
 
Kuwa tu muwazi hutaki mwanamke bali unataka kupumuliwa/umeanza kupumuliwa nyuma
 
Kuwa tu muwazi hutaki mwanamke bali unataka kupumuliwa/umeanza kupumuliwa nyuma
Wajaaa mmewazaa mbaliii sanaa, Woiiiiiuh
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Dunia haiwezi kumhurumia mwanaume asiye na pesa, asiye na fani, asiye na muonekano wa mvuto kwa jinsia ke.Hawa wanawake atawachukia sana, siongezi neno nimeeleweka sana.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…