Msaada tafadhali: Chuchu kuuma

Msaada tafadhali: Chuchu kuuma

IMG_20170628_173256.jpg
 
Ooh, hivi hata braa zinaweza kuchangia??.
zinachangia sanaaa,
chuchu zako zinauma na kuvimba au zinauma tu ukizibinya?,
pia kama huja duu siku nyingi nalo laweza kua tatizo, mpe shem hata romance tu halafu usikilizie,
lol.
 
Ndiyo yaume Siku zote!??? Yani kuna mda yanawashaa kweliiii
Ngoja nikutoe hofu mamii hata mimi kuna wakati huwa nawashwa chuchu kweli kweli. Nina kibrashi kidogo dogo huwa nakitumia[emoji3] Nikaja kujifunza kuwa labda ni eczema.
Huwa sichukulii serious sana maana hakuna vipele wala infection yoyote inayokuwepo
 
Ngoja nikutoe hofu mamii hata mimi kuna wakati huwa nawashwa chuchu kweli kweli. Nina kibrashi kidogo dogo huwa nakitumia[emoji3] Nikaja kujifunza kuwa labda ni eczema.
Huwa sichukulii serious sana maana hakuna vipele wala infection yoyote inayokuwepo
Eczema ni nini mi mbn sijui?!!![emoji124]
 
Moja ya sababu za kuwasha kwa chuchu ni kuongezeka ukubwa, pengine umeanza kunenepa au unatumia uzazi wa mpango. Ngozi inapoongezeka lazima iwashe.
 
Moja ya sababu za kuwasha kwa chuchu ni kuongezeka ukubwa, pengine umeanza kunenepa au unatumia uzazi wa mpango. Ngozi inapoongezeka lazima iwashe.
Hapana sijawahi kutumia uzazi wa mpango
 
zinachangia sanaaa,
chuchu zako zinauma na kuvimba au zinauma tu ukizibinya?,
pia kama huja duu siku nyingi nalo laweza kua tatizo, mpe shem hata romance tu halafu usikilizie,
lol.
Akuuu Hamna mapenzi nayo yachukia km mwanaume kunishika maziwaaa. Yani sipendiii sijui naona je.....
 
Habari za Eid wapendwa,

Naombeni ushauri kwa anayejua, ni nini kinasababisha chuchu kuuma, mwenzenu chuchu zinauma mno na kuwasha, kipindi cha nyuma zilikuwa zikiuma labda nikiwa MP lakini sasa hivi zinauma tu bila sababu, kwa wanawake wenzangu huwa mnakumbana na hii hali?

Naombeni msaada tafadhali;
cc: espy
Paprika
emmyta
Sakayo
Valentina
miss chaga
Miss Natafuta
Nifah
............
............
...........

Nawengine wotee ila kama wewe ni ke
Anti uling'atwa na nani?
 
Back
Top Bottom