Msaada tafadhali: Chuchu kuuma

Msaada tafadhali: Chuchu kuuma

Habari za Eid wapendwa,

Naombeni ushauri kwa anayejua, ni nini kinasababisha chuchu kuuma, mwenzenu chuchu zinauma mno na kuwasha, kipindi cha nyuma zilikuwa zikiuma labda nikiwa MP lakini sasa hivi zinauma tu bila sababu, kwa wanawake wenzangu huwa mnakumbana na hii hali?

Naombeni msaada tafadhali;
cc: espy
Paprika
emmyta
Sakayo
Valentina
miss chaga
Miss Natafuta
Nifah
............
............
...........

Nawengine wotee ila kama wewe ni ke

Zinahitaji kunyonywa hizo
 
Hapana hayana vipele wala hayajavimba, ila yanawasha sana alafu ukivishika vichuchu vyenyewe vinauma mnooo
Poleeee sana...

Kama hauna Mimba wala hauko Mp nenda hospitalini mapema...

Wakati mwingine tunakosea kuchukulia pouwa matatizo madogo madogo kama hayo..

Nenda hospitali mapema.
 
IMG_20170629_071241.jpg
IMG_20170629_071231.jpg

Jovitha zipo kama hizo?
 
mkuu tatizo bado linaendelea? kuna dawa nimeigundua
 
  • Thanks
Reactions: SDG
Habari za Eid wapendwa,

Naombeni ushauri kwa anayejua, ni nini kinasababisha chuchu kuuma, mwenzenu chuchu zinauma mno na kuwasha, kipindi cha nyuma zilikuwa zikiuma labda nikiwa MP lakini sasa hivi zinauma tu bila sababu, kwa wanawake wenzangu huwa mnakumbana na hii hali?

Naombeni msaada tafadhali;
cc: espy
Paprika
emmyta
Sakayo
Valentina
miss chaga
Miss Natafuta
Nifah
............
............
...........

Nawengine wotee ila kama wewe ni ke
Pole
 
Poleeee sana...

Kama hauna Mimba wala hauko Mp nenda hospitalini mapema...

Wakati mwingine tunakosea kuchukulia pouwa matatizo madogo madogo kama hayo..

Nenda hospitali mapema.
Oky
 
Kapime ujauzito,
Kama upo Dar, mwezi huu kuna kaubaridi... Chuchu zinasimama na kuuma kwenye baridi kama hujazoea hiyo hali ya hewa.
La sivyo nenda hospitali dear
 
Back
Top Bottom