Msaada tafadhali,Kipato cha binti cha mtoa nduki jamaa..!

Haijaelezwa ilikuwa vp tabia ya mwanamke nyie watu mwanamke(wengi wao) akikuzidi pesa akyamungu utakuwa mdogo kitu kidogo kama huwezi ishia! Kidogo nyodo...mara vile mara hivi..na mkigombana utasimangwa wewe mpaka utalia kimoyomoyo....yani ni hatari jamani mi siwezi kuishi na stress engine
 
kwa mtaji uo wengi hatutaolewa, au hakuna kumwonyesha mshahara tu..mpaka kieleweke
We bado hujaolewa tu ?? Hebu twende kule PM, maana mi nakuzimikia sana halafu nimekumiss ile mbaya.......Mzima lakini??
 
Nimekuelewa na hayo yapo mengi yanatokea,
Ila kwa ishu hii huyu dada hakuwahi kuonyesha tabia yoyote kati ya hizo ulizotaja,kiasi kwamba hata jamaa alishindwa kuamin alichokiona alipofika kwa huyo binti na ili kuthibitisha akataka kujua ana kipato gani,
Na ndo maana kabla ya jamaa kujua walikuwa wanapenda vizuri tu na binti alimheshimu jamaa kwa kiwango kikubwa,
Iweje yy kujua kipato tu,bila kuonyeshwa dharau au tabia yoyote ya kumshushia hadhi anaamua kukimbia?
 

kuna kaukweli fulani kananukia
 
Hivi huku kujiamini huwa kunakuja vipi?? Labda tuanzie hapo kwanza.
 

peer pressure ndo jibu hapo...aliogopa jamii itamwona kaolewa na ujue hili nalo tatizo? Yani kama mwanamke ana tabia njema pesa zake sio issue kwangu hzo ni zake...nilijua alishaanza kumsimanga
 

Though not an absolute but there is a lot of truth in what you say.
 
kukimbia demu sababu anazo huyo jamaa atakua mtoto wa watu,mwanaume unakoleza gemu mpaka unapewa mamlaka ya uprezidaa wa nyumba until futher notice
 
Mkuu you said it right. Wenye uzoefu wanajua kuwa kuna zile ups za kwenye sasa piga picha mtoto wa kike analeta kila kitu ndani halafu mko kwenye mgogoro, utakuwa kwenye nafasi gani??!! Japokuwa ni kweli inawezekana wapo wasichana wanaoweza kupenda na kuheshimu hata kama wamekuzidi pesa lakini kulingana malezi yetu kuamua kuwa binti wa dizaini hiyo ni kucheza na probability ndogo sana ya ku-enjoy uhusiano which is not worthy it considering the fact that kuna mizigo kibao ideal huko kitaa.
 
lack of confidence! Hela si zinatafutwa tu. Kwanini unamkimbia unayempenda sababu ya hela unless huna kichwa, mikono wala miguu ntaelewa. Vinginevyo ni kuchakarika tu
 
Mbu MWANAUME hawezi ogopa hata iweje,jukumu la MWANAUME ni kumuongoza mwanamke hata kama ana hela kama Oprah!
Sasa mkuu Eiyer si hadi huyo mwanamke awe anaongozeka?? Au unadhani mwanamke ni mashine unayoweza kui-tune kwa namna unavyopenda??!!! kwanza una uzoefu na hii hali au unaongelea theories??
 
mmh C hapo inawezekana jamaa alitafuta sababu baada ya kupata pato
Inawezekana maana wala hakuna ugomvi wala tatizo lingine alivyoona anapoishi binti na kujua kipato chake akakimbia!
 
peer pressure ndo jibu hapo...aliogopa jamii itamwona kaolewa na ujue hili nalo tatizo? Yani kama mwanamke ana tabia njema pesa zake sio issue kwangu hzo ni zake...nilijua alishaanza kumsimanga
Wala hakukuwa na tatizo na wala alikuwa hajui binti ana kipato gani,
Huyu alikosa kujiamini tu,kwan ktk mapenz unapenda kwa ajili ya jamii au kwa ajili yako mwenyewe?
Hapa naona km uanjitahidi kumtetea jamaa lol!
 
Correction, hawapendi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…